Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.
2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.
3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.
4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.
5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?
Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.
Huwa makalio yangu yanafikiri kwa kina zaidi kuliko kichwa chako, na wewe unajua hilo ndio maana uka refer!Sio siasa fikiri kwa kutumia akili kichwa na sio ma...
Kwanza kabisa nasikitika sana kwa kauli zako za kipumbavu na za mtu asiyeelewa kile anachokizungumzia. Wewe uko nje ya mfumo wa kijeshi unafahamu nini kuhusu jeshi wewe? Hivi unajiona wewe ni bora kiasi gani kuliko wasomi walioko jeshini? Kweli mjinga atabaki mjinga tu hata kama akipitia chuo. Hizo kauli ulizozitoa zinadhalilisha taaluma yako. Jeshi ni mfumo unaojiendesha kwa utaratibu wake, na ndio maana mtu anakuwa tayari kukutana na adui ambaye hata kama wewe ungekuja na kipaji chako (cha kupiga majungu??) ungeishia kupoteza fahamu. Hiyo peke yake ni profession, ambayo ina mfumo wake. Sasa kama unafikiri kuwa na vipaji maalum ndio kufit jeshini, ni heri ukafunga domo lako na ukamwaga heshima kwa watu waliojitolea kukulinda mburura kama wewe. Si tu kwamba hufai jeshini, ni kwamba hata kwenye ajira binafsi hutofaa kwa vile huna nidhamu na pia uelewa wako ni mfinyu mno. A fool at his best!
inaonekana kama ulifukuzwa monduli...,
kwa kifupi, pamoja na kipaji ulichonacho nidhamu ndiyo pillar ya mafunzo yako,, jeshi ni nidhamu, period! Na nidhamu ndio inaleta ufanisi kwenye uwanja wa vita, unapotoa amri mfuasi akatumbukize hand grenade kwny kifaru cha adui, hatakiwi kujiuliza hata kwa sekunde moja.., na hii nidhamu inajengwa kwenye mafunzo, ndio maana jeshini kuna adhabu za kipuuzi kabisa,, mfano unaambiwa umwagilie maua wakati mvua inanyesha,,, ukileta mambo ya logic utaona kua mkufunzi wako ni mpuuzi hana akili,,,, lakn thts part of disciplining you,, ufanye ulichoamrishwa hata kama hupendi,, na hii sio kwa jwtz tu, proffesional armies zote wana namna mbalimbali ya kufundisha nidhamu..,
Kuhusu kuajiri vipaji,,, kwa hili nakubaliana na ww kabisa kwamba japo jeshi linaajiri wasomi na siku za karibuni wanaajiri kwa wingi zaidi, ila bado kuna upungufu mkubwa sana wa wasomi wa fani mbalimbali,, lakini pia tutambue jwtz ipo kwenye transition period,,, kuna individuals ambao hawapendi kabisa hawa watoto wasomi wanaingia na kutoka na manyota fasta,, resistance kwenye change lazima iwepo, ila in general jeshi limeamua liwe dogo na la kisomi na ndio maana kwa sasa hakuna std 7 anaajiriwa wote ni form four and above unless ni mwanamichezo au ana kipaji flani cha sanaa...,
Ukiondoa isolated incidents za wakufunzi wachache kuwachukia wasomi,,, wakuu ngazi za juu wanataka jeshi dogo la kisasa na la wasomi..., na pale monduli bana ukichukiwa na wakufunzi,,, chances za kumaliza ni ndogo sana,,,
Nawaasa watakaopita interview inayokuja hivi karibuni,, pale monduli jishushe,, ni yes sir, yes staff, hata kama task ulopewa logically doesnt make sense
Apart from being best comment it is also a balanced comment!For me, this is the best comment
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hii ndiyo namba gani?? Nyie ndiyo mnaliharibu jeshi letumapato ni zaidi ya 1,5,000,00/= nyota mbili
For me, this is the best comment
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Moshe Dayan najua when it comes to mambo ya JWTZ uko very deep.
Swali langu kwako ni hili, kama kweli jeshi linafanya reform na kuanza kuajiri wasomi wengi lakini kwa utaratibu wa jeshi hao wasomi lazima wafaulu shughuli ya monduli, na huko monduli ndiko kunatuhumiwa kuwa na matrainer wanoko hasa wale wa vteo vya chini.
JWTZ inafanya juhudi gani kuondoa huo unoko/uonevu ili wataalamu/waomi hao watumie taaluma zao kwa manufaa ya jeshi na nchi kwa ujumla.
Na kwa nchi zilizoendelea wasomi wanaojiunga na majeshi wanakuwa treated ''kinyaninyani'' kama mnavyowafanyia monduli?
Asante Nyenyere,
Kama maandishi hayatoshi, picha imefunga kazi! Tatizo la wasomi vijana la kujiona bora kuliko wengine haliko jeshini tu! Hata uraiani ni hivyo! Maofisini ndo kabisa, na bahati mbaya huko wanadekezwa. Pelekeni hoja Serikalini, vijana wote wasomi waende jeshi miezi 4 kabla ya kupata ajira si serikalini tu bali hata Makampuni binafsi.