JWTZ mpaka leo imeshindwa kuajiri wasomi wenye vipaji halisi, sababu hizi hapa...

JWTZ mpaka leo imeshindwa kuajiri wasomi wenye vipaji halisi, sababu hizi hapa...

kubal mkatae jeshn wamejaa vilaza hyo yote xabab ya ku2mia mifum yn ya kzaman nenden na muda hi n dunia inayoendeshwa na technologia na co hay manguv ynu mnayoyap kpaumbele...hat uwe na weny k2mia nguv bla mtaalam mtakuwa mnachekesha..
 
Haya nyie makanjanja mmelifanyia nini taifa? Au mpaka mpatb nafasi jeshini. Acheni upuuzi wenu, jeshi linao wasomi wengi tu. Habari za kuwaza mapinduzi ni akili zilizo choka. Wakati Foday Sanko anapindua aliongoza wasomi wangapi? Vipi kuhusu Samwel Doe? Mnadhani jeshini kila mmoja lazima awe na digrii? Mmeshindwa kushindana kwenye soko la ajira EA mmegeukia jeshi ambako hamkidhi vigezo, kisha mnaleta hoja za kutaka jeshi liendeshwe kiraia? Wacheni huo uzandiki. Kama kweli mnawazia mapinduzi, basi mmechoka vibaya.
Mbona unajibu kwa jazba umejuaje kama mimi kanjanja na hata kama ningekuwa kanjanja hapa tunajadili hoja hatujadili mtu ila uwezo wao wa kujenga hoja umenifanya nikujue wewe ni mtu wa upeo gani inawezekana una msongo wa mawazo au maisha unakusumbua jaribu kuwaona wataalamu wa akili watakusaidia
nakutakia kila la heri
 
Nasikitika kwa wale mnaopinga mnaopinga bila kujadili facts. Kuna mchangiaji amesema majeshi ya wenzetu kama USA, Israel, China yapo kitechnologia zaidi kuliko sisi ambao 90% tupo manually. Tunahitaji mabadiliko kivipi sasa bila kuangalia mambo ya msingi ambayo yatatuletea jeshi liwe kisasa na sio kisiasa kama lilivyo? Tunahitaji wasomi wa aina gani basi, kama waajiriwe kiraia kuna mazingira gani ya kuwezesha mbali ya kuunda hata kutumia basi tuweze. Ile kauli kuwa kazi yenu ni kumsogelea adui na kumuua ni kweli ( baada ya kumshinda kwa mizinga mikubwa na ndege ndo itawezekana na ni technology sio nguvu wala kukimbia milimani) lakini leo siyo hivyo ndege bila rubani zinafanya recce na kuleta taarifa sahihi nyinyi mmefikia wapi kama sio porojo tu. Najua sana kuhusu hospitali zenu na nimeeleza kifupi tu kuwa mko nyuma sana unaweza ukawa ulikuwa na hao wenye PHd lakini kwanini mpaka leo mabadiliko hayapo nina uhakika hata kipimo kidogo cha kawaida hapo hamfanyi (culture) nk. Kama TMA sio source shida iko wapi, bainisha mambo usiongee kijumla jumla, tunawajua vizuri! TAMBUENI KUWA JESHI NI UTUMISHI WA UMMA NUMBER MOJA IMPACT YAKE INATAKIWA IONEKANE NA SIO KUJISIFU TU BILA KITU KUONEKANA. Mengi tumeona yamewashinda huko Mbagala, Ngongolamboto nk. Kama jeshi lina mila na desturi zake ni zipi hizo za kuwafanya tusione mabadliko? Historia inaonyesha kuwa Rais wa Marekani Franklin R, alimfuata Albert Enstain ampe bomu akawalipua Japani na ndiomaana majeshi ya wenzetu yako mbali kwa kukubali challenges na sio kupinga kila kitu. Je kuoga mikojo ndo ujasiri?Badilikeni!!!!!!!!!!!!!!!!!!Dunia iko mbali sana.
 
Mbona unajibu kwa jazba umejuaje kama mimi kanjanja na hata kama ningekuwa kanjanja hapa tunajadili hoja hatujadili mtu ila uwezo wao wa kujenga hoja umenifanya nikujue wewe ni mtu wa upeo gani inawezekana una msongo wa mawazo au maisha unakusumbua jaribu kuwaona wataalamu wa akili watakusaidia
nakutakia kila la heri

Hujui usemalo. Sleep well. Mnaifanya JF kijiwe cha majungu badala ya kuleta hoja zenye mashiko. Mtiririko wa hoja zako unaonyesha upeo wako. Huelewi hata mipaka ya kiutendaji, nani anawajibika kwa lipi. Unarukia mifano ya Nigeria bila kujua hata katiba yao imekaaje. Eti wasomi wangehoji amri za jeshi kabla ya kuzitekeleza!!!!!!! Halafu unajifanya kujenga hoja.

Nenda kwenye maoni ya katiba mpya, yote yataanzia huko. But a word of warning: tafiti juu ya majukumu ya JW, kitu kinacholifanya jeshi lolote kuwa pamoja (unifying factor), Chain of command (cheki tu hata role models wako Nigeria), level zao za mafunzo, na madai yako kwamba hakuna wasomi huko usije jiaibisha mwenyewe. Tafiti kujua majukumu yao ya msingi kikatiba na majukumu ya ziada (aid to civil authority).

Jifunze ujue ni wakati gani jeshi linaweza kushika nchi. Tena uhakikishe unafahamu vema ni bajeti kiasi gani inatengwa kwa ajili ya matumizi mbali mbali ya jeshi, na ni vema ukalinganisha na ile ya nchi zinazotuzunguka. Kisha utafiti kujua ni chuo kipi afrika mashariki na kati na kusini kinaheshimika kwa kutoa mafunzo bora kabisa kwa wanajeshi. Ndipo uje sutoe mawazo yako ya kuboresha na sio majungu na stori za vijiweni.

Otherwise hao mnaodhani ndio wasomi wa ukweli ndio hao hao wanaosaini mikataba ya kifisadi halafu mnataka walundikane na jeshini. No way. Jeshi lina namna yake ya kuselct the best individuals, ndio maana hata likiingia nanasi ita-stand out. Haliwezi ku-blend na the rest.

Baada ya kuyafanyia kazi yote haya, nenda haraka ukatoe maoni yako!!!!!!! GO!!!!!!!
 
Nasikitika kwa wale mnaopinga mnaopinga bila kujadili facts.

1. Kuna mchangiaji amesema majeshi ya wenzetu kama USA, Israel, China yapo kitechnologia zaidi kuliko sisi ambao 90% tupo manually. Tunahitaji mabadiliko kivipi sasa bila kuangalia mambo ya msingi ambayo yatatuletea jeshi liwe kisasa na sio kisiasa kama lilivyo?

2. Tunahitaji wasomi wa aina gani basi, kama waajiriwe kiraia kuna mazingira gani ya kuwezesha mbali ya kuunda hata kutumia basi tuweze.

3. Ile kauli kuwa kazi yenu ni kumsogelea adui na kumuua ni kweli ( baada ya kumshinda kwa mizinga mikubwa na ndege ndo itawezekana na ni technology sio nguvu wala kukimbia milimani) lakini leo siyo hivyo ndege bila rubani zinafanya recce na kuleta taarifa sahihi nyinyi mmefikia wapi kama sio porojo tu
. 4. Najua sana kuhusu hospitali zenu na nimeeleza kifupi tu kuwa mko nyuma sana

5. unaweza ukawa ulikuwa na hao wenye PHd lakini kwanini mpaka leo mabadiliko hayapo nina uhakika hata kipimo kidogo cha kawaida hapo hamfanyi (culture) nk.

6. Kama TMA sio source shida iko wapi, bainisha mambo usiongee kijumla jumla, tunawajua vizuri! TAMBUENI KUWA JESHI NI UTUMISHI WA UMMA NUMBER MOJA IMPACT YAKE INATAKIWA IONEKANE NA SIO KUJISIFU TU BILA KITU KUONEKANA.

7. Mengi tumeona yamewashinda huko Mbagala, Ngongolamboto nk. Kama jeshi lina mila na desturi zake ni zipi hizo za kuwafanya tusione mabadliko?

8. Historia inaonyesha kuwa Rais wa Marekani Franklin R, alimfuata Albert Enstain ampe bomu akawalipua Japani na ndiomaana majeshi ya wenzetu yako mbali kwa kukubali challenges na sio kupinga kila kitu
. 9. Je kuoga mikojo ndo ujasiri?Badilikeni!!!!!!!!!!!!!!!!!!Dunia iko mbali sana.

1. Hebu ongelea pato la kila taifa katika hayo uliyoainisha juu msomi wa ukweli. 90% manual? Fafanua tafadhali.

2. Kwa hiyo unadhani ukienda jeshi la marekani utakuwa wanaotumia vifaa ya kiteknolojia ni wasomi wenye digrii tu? Hebu katafiti tena. Tena wachina ndo wanatisha zaidi, mpaka madaktari darasa la saba wapo! Tena ni wazuri sana. Wasomi ni muhimu katika kila nyanja, lakini suala ni jinsi gani unapata wanaoendana na majukumu yanayokukabili. Si kila kipaji kitafiti popote (hasa jeshini kuna exceptions).

3. Ile sio kauli bali ni role ya infantry duniani. Hii hapa exerpt kutoka jeshi la Australia, Canada na Marekani tuijadili:

Infantry is the primary combat arm of the Australian Army. The role of the Infantry is to seek out and close with the enemy, to kill or capture him, to seize and hold ground, repel attack, by day or by night, regardless of season weather or terrain. To carry out this role the Royal Australian Infantry Corps (RAInf) relies heavily on skilled tactics, effective teamwork and cooperation with other corps.

Umeona regardless of season, weather or terrain? Unadhani askari wa miguu anawezaje kutekeleza jukumu hili? Akiwa amekaa nyuma yacomputer? Au labda imepitwa na wakati au hawa jamaa wamejisahau kwamba wana technolojia? Hivi ni kwa nini wamarekani na waingereza walikuwa na askari wengi wa miguu Iraki? Je askari wote walikuwa na PHD na vipaji maalum? Think big.

Kukimbia milimani na nguvu? Nadhani una matatizo ya akili wewe. Hizo unmanned aircraft ni mataifa mangapi ya afrika yanazitengeneza? Ukiajiriwa jeshini leo utaweza kuzitengeneza wewe? Mpika majungu mkubwa wewe!

4. Unajua nini kama si kueneza uongo na majungu tu? Je, ni nini sababu za madaktari wa hospitali zilizoendelea saana za kiraia kugoma? Je, unadhani jeshi liko nje ya mfumo wa serikali? Je ni nani anayetenga bajeti ya afya ya jeshi? Je, ni raia wangapi wanaonufaika na tiba za jeshi? Hebu eleza vizuri unachokijua.

5. Je, unadhani ni kwa nini madaktari waligoma? Je, si kweli kwamba walilalamikia pia hali ya kuwa hawapati nafasi ya kutumia kile wlichojifunza kwa sababu hakuna vifaa husika? Jeshi limekukosea nini Msomi wa ukweli?

6. Unalijua vizuri jeshi wewe? Mbona hapa tayari umeonyesha wazi kuwa una machungu ya kufukuzwa TMA? TMA sio tatizo, tatizo ni aina ya wasomi wanaokwenda TMA. Jeshi haliwezi kubali misingi yake kuwafuata weak individuals bali "wasomi wa ukweli" wabadilike kuendana na misingi ya jeshi. Na kwa hiki ulichoonyesha hapa, kama umesoma, basi hujaelimika. Nadhani ni kizazi cha dijitali. Hufai kabisa kuwamo kwenye utumishi wa uma (rumour monger). Ni heri tu ufe na usomi wako.

7. Wenye macho wanaona. Wanafurahi kuishi kwenye nchi salama. Wenye chuki binafsi mnapiga majungu 24/7. Get off your ass and do something useful.

8. Illogical, I can't comment.

9. Nadhani wewe hata mavi ulilishwa kabisa. You have quiet a story to tell! C'mon elezea kila kitu. So members you can easily tell ni watu wa aina gani hawa wanaofukuzwa Monduli. Hukumuni wenyewe, ni jeshi gani lingempokea mpuuzi kama huyu? Lets face the truth, will you hire a person of this kind to be part of the team in your company?
 
Afande Nyenyere,
Saluti tena afande wangu. Yaani umefanya sahihi kiaskari kabisa: engaging the challenger and defeating him. Nakupongeza kwa sababu katika issue kama hii, ukimya ni kosa. Lazima ajibiwe, na wenzie wenye mawazo kama hayo wapate somo, waache kudanganyana kwa story za upuuzi za vijiweni. Kuna watu ambao the only thing they know about jeshi ni zile kombati wanazoona zimevaliwa na askari, labda wanaongezea walichoona kwenye sinema za Rambo!
 
Hujui usemalo. Sleep well. Mnaifanya JF kijiwe cha majungu badala ya kuleta hoja zenye mashiko. Mtiririko wa hoja zako unaonyesha upeo wako. Huelewi hata mipaka ya kiutendaji, nani anawajibika kwa lipi. Unarukia mifano ya Nigeria bila kujua hata katiba yao imekaaje. Eti wasomi wangehoji amri za jeshi kabla ya kuzitekeleza!!!!!!! Halafu unajifanya kujenga hoja.

Nenda kwenye maoni ya katiba mpya, yote yataanzia huko. But a word of warning: tafiti juu ya majukumu ya JW, kitu kinacholifanya jeshi lolote kuwa pamoja (unifying factor), Chain of command (cheki tu hata role models wako Nigeria), level zao za mafunzo, na madai yako kwamba hakuna wasomi huko usije jiaibisha mwenyewe. Tafiti kujua majukumu yao ya msingi kikatiba na majukumu ya ziada (aid to civil authority).

Jifunze ujue ni wakati gani jeshi linaweza kushika nchi. Tena uhakikishe unafahamu vema ni bajeti kiasi gani inatengwa kwa ajili ya matumizi mbali mbali ya jeshi, na ni vema ukalinganisha na ile ya nchi zinazotuzunguka. Kisha utafiti kujua ni chuo kipi afrika mashariki na kati na kusini kinaheshimika kwa kutoa mafunzo bora kabisa kwa wanajeshi. Ndipo uje sutoe mawazo yako ya kuboresha na sio majungu na stori za vijiweni.

Otherwise hao mnaodhani ndio wasomi wa ukweli ndio hao hao wanaosaini mikataba ya kifisadi halafu mnataka walundikane na jeshini. No way. Jeshi lina namna yake ya kuselct the best individuals, ndio maana hata likiingia nanasi ita-stand out. Haliwezi ku-blend na the rest.

Baada ya kuyafanyia kazi yote haya, nenda haraka ukatoe maoni yako!!!!!!! GO!!!!!!!
Kazi kubwa ya JWTZ ni kulinda nchi na mipaka yote tukiachana na uingizaji wa silaha na wahamiaji haramu ambao tunaweza kusema ni kazi ya uhamiaji unaelezea nini juu ya kukamatwa meli ya Magufuli iliyokamatwa baada ya doria iliyofanywa pamoja na majeshi ya Afrika Kusini hivi tunasubiri mpaka yaje majeshi ya nchi nyingine yafanye doria na kujua kuna watu wanafanya shuguri zao ndani ya mipaka yetu.Tatizo ni nini vifaa? au ni kukosa watu wa kuoperate hivyo vifaa kwa hiyo usikurupuke au kutetea tu
 
1. Hebu ongelea pato la kila taifa katika hayo uliyoainisha juu msomi wa ukweli. 90% manual? Fafanua tafadhali.

2. Kwa hiyo unadhani ukienda jeshi la marekani utakuwa wanaotumia vifaa ya kiteknolojia ni wasomi wenye digrii tu? Hebu katafiti tena. Tena wachina ndo wanatisha zaidi, mpaka madaktari darasa la saba wapo! Tena ni wazuri sana. Wasomi ni muhimu katika kila nyanja, lakini suala ni jinsi gani unapata wanaoendana na majukumu yanayokukabili. Si kila kipaji kitafiti popote (hasa jeshini kuna exceptions).

3. Ile sio kauli bali ni role ya infantry duniani. Hii hapa exerpt kutoka jeshi la Australia, Canada na Marekani tuijadili:

Infantry is the primary combat arm of the Australian Army. The role of the Infantry is to seek out and close with the enemy, to kill or capture him, to seize and hold ground, repel attack, by day or by night, regardless of season weather or terrain. To carry out this role the Royal Australian Infantry Corps (RAInf) relies heavily on skilled tactics, effective teamwork and cooperation with other corps.

Umeona regardless of season, weather or terrain? Unadhani askari wa miguu anawezaje kutekeleza jukumu hili? Akiwa amekaa nyuma yacomputer? Au labda imepitwa na wakati au hawa jamaa wamejisahau kwamba wana technolojia? Hivi ni kwa nini wamarekani na waingereza walikuwa na askari wengi wa miguu Iraki? Je askari wote walikuwa na PHD na vipaji maalum? Think big.

Kukimbia milimani na nguvu? Nadhani una matatizo ya akili wewe. Hizo unmanned aircraft ni mataifa mangapi ya afrika yanazitengeneza? Ukiajiriwa jeshini leo utaweza kuzitengeneza wewe? Mpika majungu mkubwa wewe!

4. Unajua nini kama si kueneza uongo na majungu tu? Je, ni nini sababu za madaktari wa hospitali zilizoendelea saana za kiraia kugoma? Je, unadhani jeshi liko nje ya mfumo wa serikali? Je ni nani anayetenga bajeti ya afya ya jeshi? Je, ni raia wangapi wanaonufaika na tiba za jeshi? Hebu eleza vizuri unachokijua.

5. Je, unadhani ni kwa nini madaktari waligoma? Je, si kweli kwamba walilalamikia pia hali ya kuwa hawapati nafasi ya kutumia kile wlichojifunza kwa sababu hakuna vifaa husika? Jeshi limekukosea nini Msomi wa ukweli?

6. Unalijua vizuri jeshi wewe? Mbona hapa tayari umeonyesha wazi kuwa una machungu ya kufukuzwa TMA? TMA sio tatizo, tatizo ni aina ya wasomi wanaokwenda TMA. Jeshi haliwezi kubali misingi yake kuwafuata weak individuals bali "wasomi wa ukweli" wabadilike kuendana na misingi ya jeshi. Na kwa hiki ulichoonyesha hapa, kama umesoma, basi hujaelimika. Nadhani ni kizazi cha dijitali. Hufai kabisa kuwamo kwenye utumishi wa uma (rumour monger). Ni heri tu ufe na usomi wako.

7. Wenye macho wanaona. Wanafurahi kuishi kwenye nchi salama. Wenye chuki binafsi mnapiga majungu 24/7. Get off your ass and do something useful.

8. Illogical, I can't comment.

9. Nadhani wewe hata mavi ulilishwa kabisa. You have quiet a story to tell! C'mon elezea kila kitu. So members you can easily tell ni watu wa aina gani hawa wanaofukuzwa Monduli. Hukumuni wenyewe, ni jeshi gani lingempokea mpuuzi kama huyu? Lets face the truth, will you hire a person of this kind to be part of the team in your company?

Mkuu nyenyere unaelekea kueleza ukweli ila sisi waleta hoja bado hatujaridhika. kuna mambo mengi sana ambayo yanafanyika na tunayaona thats whay tuna hoji. Hatupendi personal attack sababu ukituona kwa macho utatuogopa ila kwa kuwa ni kwenye mtandao you are free ila sio vizuri. Jadili hoja tujue na tujifunze kwa maelezo mazuri yenye hekima, that is the meaning of the great thinker. Tunaitaji michango mizuri, sector yangu nafanya vizuri sana na tunajitaidi kwenda na wakati. Sasa tunapohoji sector zingine msikasirike jibuni hoja. Tambueni hatuwezi kuwasifia wakati hatuoni kitu chochote. Kwamba TMA ndo chuo bora Afrika how? Upande upi specify au inamaana chuo chenu kinafundisha course zote? Msijisifie tu try to unlearn in order to learn. Jifunze elimu haina mwisho. Lazima ukubali kwamba vipaji vipo duniani ambavyo inatakiwa mvitumie kwa kuboresha jeshi letu. Hii ni lazima sio kuajiri kama zima moto or crash programme.
 
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
1. Waalimu waliopo vyuoni 90% ni kikwazo kwa wasomi wengi wanaojiunga na jeshi hilo, akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.

2. Trainning zao hazija base kutafuta vipaji vya kweli katika nyanja muhimu kitaifa, kama vile madaktari, Eng, nk. Mfano Nyumbu mpaka leo wameshindwa kuifanya iwe ya kizalishaji toka enzi za mwalimu. Lugalo mpaka leo hawana hata blood bank sababu wanasayansi tiba hawapo ndio maana wanashindwa kukabiliana na migomo ya MH, sababu huko wengi 80% ni AMO na CO.

3. TMA ni kikwazo kikubwa sana katika kuwapata wasomi wazuri ndani ya jeshi hilo, elimu ya rasilimali watu kwa waalimu inawezekana ikawa ni issue. So they are trying to reduce the number of students kwa visingizio vya nidhamu ambayo ukifuatilia kiundani sio nidhamu as such but ni kutojua ubaya wakumfundisha mtu at certain level na kumwachisha mafunzo. HILO N BOMU BAADAYE.

4. Mazingira dhaifu kuwawezesha wenye vipaji kubuni kwa uhuru na kutumia taaluma zao, kufanya tafiti chanya maeneo yao ya kazi, mpaka leo hatujaziona.

5. Officer aliyetokea uraiani moja kwa moja I mean those who have got a little knowledge kuwa mkufunzi, atafundisha nini kama sio kupika majungu na kukosa comfidence?

Hayo machache yaliyobainishwa hapo juu ni chanzo kikubwa cha jeshi letu kuwa kama lilivyo hivi leo.

Mkuu inaonekana wewe utakuwa ulifell kozi ya jeshi kama sikosei. Yaani umeongea kitu ambacho kwanza hujaonesha source yako imetoka wapi na hiyo research sijui uliifanya mwenyewe au laa!
Kama vip naomba ueleze shughuli zinazofanyika jeshini kama vile mambo ya logistic, usuluhishaji wa kesi kwenye mahakama za kijeshi huwa zinafanywa na watu gani. Unajua wewe unajiona kwamba umesoma kuliko hao wanajeshi lakini kumbuka kuna vitengo ambavyo jeshini ukipewa huwezi kumudu halafu usipende kuhukumu kitu ambacho huna uhakika nacho. Umethibitisha vip kwamba anayefukuzwa TMA sababu ni kuwa na elimu kubwa?
Kumbuka jeshi ni tofauti na taasisi zingine ndiyo maana kuna kitu wanaita kutii amri kama wewe uliingia na degree yako ukajiona ndo wewe matokeo yake ndo hayo unafukuzwa kwa utovu wa nidhamu.
Kwa msomi conservative lazima atashindwa tu maana akiambiwa kwenye parade ahesabu moja-mbili-tatu-moja yeye atalazimisha kusema nne kwa madai kwamba anajua hesabu but kijeshi inakuwa haiko hivo.
Ushauri kwako tu naona bora upige kimya kama jeshi hulijui na kama ulifukuzwa jeshi basi fanya michongo mingine usipige majungu.
 
'Nditolo' kazi ya jeshi sio ya kila mmoja..nidhamu ni msingi mkubwa wa utendaji ktk jeshi..inaonekana hukubahatika kumaliza kozi monduli..
 
Ukiangalia mfumo mzima wa ajira utabaini yafuatayo
akitokea mwanafunzi mwenye elimu kubwa hata Phd watafanya kila mbinu wamfukuze kwa kisingizio cha utovu wa nidhamu au watacomment kuwa kafeli.

Wacha uwongo wewe jeshi lina vichwa mtafute Major Gen Prof DR.Yadon M Kohi akuelimishe na ka-PHD kako.PHD jeshini unamtishia nyau nani?
 
Ukiwa jeshini inabidi uwe mtii na kupokea amri bila kuuliza wasomi siku zote ni wadadisi kabla ya kutii amri watajiuliza kama hiyo amri ni sahihi au la pia wasomi wasingefumbia macho ufisadi unaoendelea hapa nchini kama kuuza rasilimali za nchi na hayo wamejifunza toka jeshi la Nigeria ambalo lilikuwa likiajili wasomi matokeo yake kila mara nchi ikawa inapinduliwa

Duh! So what are you trying to say!

Kwamba jeshi limekua na litaendelea kuajiri mambumbu kwa sababu ya kukwepa hizo kero ulizoziainisha
 
hahahaaa,, pole sana, ni kweli, ajira ni hadi zitangazwe,, hakuna maombi ya mmoja mmoja

Mimi nina swali moja... kama umepata chance ya kuingia jeshini!! je kuna watu spesho wanapewa vitengo kama vya wanajeshi wa majini, angani au vikosi vya mizinga??? wanacheki vigezo gani???
 
upuuzi huu wasomi wapo wengi we piga majungu tu,ndo nyie mlikosa nafasi japo mna videgree vyenu.jitahidi pengine
 
Back
Top Bottom