1. Hebu ongelea pato la kila taifa katika hayo uliyoainisha juu msomi wa ukweli. 90% manual? Fafanua tafadhali.
2. Kwa hiyo unadhani ukienda jeshi la marekani utakuwa wanaotumia vifaa ya kiteknolojia ni wasomi wenye digrii tu? Hebu katafiti tena. Tena wachina ndo wanatisha zaidi, mpaka madaktari darasa la saba wapo! Tena ni wazuri sana. Wasomi ni muhimu katika kila nyanja, lakini suala ni jinsi gani unapata wanaoendana na majukumu yanayokukabili. Si kila kipaji kitafiti popote (hasa jeshini kuna exceptions).
3. Ile sio kauli bali ni role ya infantry duniani. Hii hapa exerpt kutoka jeshi la Australia, Canada na Marekani tuijadili:
Infantry is the primary combat arm of the Australian Army. The role of the Infantry is to seek out and close with the enemy, to kill or capture him, to seize and hold ground, repel attack, by day or by night, regardless of season weather or terrain. To carry out this role the Royal Australian Infantry Corps (RAInf) relies heavily on skilled tactics, effective teamwork and cooperation with other corps.
Umeona regardless of season, weather or terrain? Unadhani askari wa miguu anawezaje kutekeleza jukumu hili? Akiwa amekaa nyuma yacomputer? Au labda imepitwa na wakati au hawa jamaa wamejisahau kwamba wana technolojia? Hivi ni kwa nini wamarekani na waingereza walikuwa na askari wengi wa miguu Iraki? Je askari wote walikuwa na PHD na vipaji maalum? Think big.
Kukimbia milimani na nguvu? Nadhani una matatizo ya akili wewe. Hizo unmanned aircraft ni mataifa mangapi ya afrika yanazitengeneza? Ukiajiriwa jeshini leo utaweza kuzitengeneza wewe? Mpika majungu mkubwa wewe!
4. Unajua nini kama si kueneza uongo na majungu tu? Je, ni nini sababu za madaktari wa hospitali zilizoendelea saana za kiraia kugoma? Je, unadhani jeshi liko nje ya mfumo wa serikali? Je ni nani anayetenga bajeti ya afya ya jeshi? Je, ni raia wangapi wanaonufaika na tiba za jeshi? Hebu eleza vizuri unachokijua.
5. Je, unadhani ni kwa nini madaktari waligoma? Je, si kweli kwamba walilalamikia pia hali ya kuwa hawapati nafasi ya kutumia kile wlichojifunza kwa sababu hakuna vifaa husika? Jeshi limekukosea nini Msomi wa ukweli?
6. Unalijua vizuri jeshi wewe? Mbona hapa tayari umeonyesha wazi kuwa una machungu ya kufukuzwa TMA? TMA sio tatizo, tatizo ni aina ya wasomi wanaokwenda TMA. Jeshi haliwezi kubali misingi yake kuwafuata weak individuals bali "wasomi wa ukweli" wabadilike kuendana na misingi ya jeshi. Na kwa hiki ulichoonyesha hapa, kama umesoma, basi hujaelimika. Nadhani ni kizazi cha dijitali. Hufai kabisa kuwamo kwenye utumishi wa uma (rumour monger). Ni heri tu ufe na usomi wako.
7. Wenye macho wanaona. Wanafurahi kuishi kwenye nchi salama. Wenye chuki binafsi mnapiga majungu 24/7. Get off your ass and do something useful.
8. Illogical, I can't comment.
9. Nadhani wewe hata mavi ulilishwa kabisa. You have quiet a story to tell! C'mon elezea kila kitu. So members you can easily tell ni watu wa aina gani hawa wanaofukuzwa Monduli. Hukumuni wenyewe, ni jeshi gani lingempokea mpuuzi kama huyu? Lets face the truth, will you hire a person of this kind to be part of the team in your company?