JWTZ: Tunamsaka aliyesema tumeongezewa Mshahara

Wametoa taarifa polisi au wanamsaka wao wenyewe?
 
Kupewa taarifa ya KUSAKWA na JESHI si mchezo na sio hawa wavaa KHAKI.. hapana ni wale wazee wa MABAKA MABAKA.
 
Na nyie mmekuwa kama machawa wa CCM, hamna jipya,
Seals Dogo kama hilo, ilibidi kutoa tamko LA kuelimisha, sio vitisho, unaweza ukakuta hata huyu msemaji, cheo chake kakipata kwa kubebwa tu,
Badala ya kwenda kusaidia kusaka magaidi, wa Boko Haram, isis nk,
Mpaka Leo, huwezi kusafiri usiku kutoka kahama mpaka lusaunga! Kisa majambazi
 
Bibi anashambuliwa kila kona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…