Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaahaaaaWanajeshi wana akili sana,si waseme tu wanataka nyongeza ya mshahara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaaaWanajeshi wana akili sana,si waseme tu wanataka nyongeza ya mshahara?
Absolutely hatima yake ikawa NigerUko sahihi...jeshi sio bendi ya mziki...taarifa kama hiyo inaweza kuligawa jéshi
Wazushi washughulikiwe...chawa wa mama yao haoApakatwe mara moja huyo raia.
Linaandikwa la china itakuwa la bongoHaya mambo ya kuandika habari za Geshi mitandaoni hayana afya kwa ustawi wa usalama wa nchi, zamani habari za Geshi zilibaki siri ya wenyewe tu
Kwani ni uongo kuwa wanajeshi kuwa wanahongwa kwa pesa Ili wasipindue nchi.Kuelewa huu hii hoja unahitaji kuwa na fikira pana kidogo, Jamaa wanaona hiyo itatengeneza fikira ya kwamba wanaongezewa mishahara ili wasipindue nchi.
Sifa za kijinga, kwa hiyo wanajeshi wanaona sifa kusaka raia asiye na silaha. Na ukifuatilia vizuri utakuta ni ukweli. Kama ni uongo jazba za nini?Haijajulikana wanamtafuta kwa sababu gani...hivyo akipatikana sababu itajulikana ya kumtafuta....huwezi kuamka kutoka kwako tu huko ukaanza kujiandikia mambo ambayo huna uhakika nayo....wacha wampate halafu waongee naye vizuri
Siri ni kwenye mbinu za kivita, sio mshahara.Haya mambo ya kuandika habari za Geshi mitandaoni hayana afya kwa ustawi wa usalama wa nchi, zamani habari za Geshi zilibaki siri ya wenyewe tu
🤣 Wanatumia tafsidaWanajeshi wana akili sana,si waseme tu wanataka nyongeza ya mshahara?
Atapewea mazoezi magumu ili ajue kwa nini inawapasa kuwa na mshahara mwingiKwa hiyo wakimpata itasaidia nini!
Wamekanusha inatosha...
Akili za hawa jamaa huwa ni kutumia maguvu tu.