JWTZ: Tunamsaka aliyesema tumeongezewa Mshahara

JWTZ: Tunamsaka aliyesema tumeongezewa Mshahara

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema taarifa iliyosambazwa na mtandao wa kijamii wa Tanzania Abroad TV (TAT) kwamba Wanajeshi wa ngazi za juu wa JWTZ wameongezewa mshahara ni taarifa ya uzushi na upotoshaji na tunamtafuta.

Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano Makao Makuu JWTZ Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amesema “Taarifa hiyo imeeleza kuwa ongezeko hilo limelipwa tarehe 18 Agosti 2023, JWTZ inaujulisha Umma kuwa taarifa hiyo ni ya uzushi na upotoshaji kwa Jamii hivyo Watanzania waipuuze kwani ina nia ovu”

“Ukweli ni kwamba hadi leo tarehe 19 Agosti 2023 kwa JWTZ haijafika tarehe ya kulipwa mshahara, aidha hakuna ongezeko lolote la mshahara au malipo yoyote kwa Wanajeshi wa ngazi yoyote wa JWTZ yaliyofanyika tarehe 18 Agosti 2023 kama ilivyotajwa na mtandao huo”
Kama bunge wameongezewa itakuwa Jeshi
 
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema taarifa iliyosambazwa na mtandao wa kijamii wa Tanzania Abroad TV (TAT) kwamba Wanajeshi wa ngazi za juu wa JWTZ wameongezewa mshahara ni taarifa ya uzushi na upotoshaji na tunamtafuta.

Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano Makao Makuu JWTZ Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amesema “Taarifa hiyo imeeleza kuwa ongezeko hilo limelipwa tarehe 18 Agosti 2023, JWTZ inaujulisha Umma kuwa taarifa hiyo ni ya uzushi na upotoshaji kwa Jamii hivyo Watanzania waipuuze kwani ina nia ovu”

“Ukweli ni kwamba hadi leo tarehe 19 Agosti 2023 kwa JWTZ haijafika tarehe ya kulipwa mshahara, aidha hakuna ongezeko lolote la mshahara au malipo yoyote kwa Wanajeshi wa ngazi yoyote wa JWTZ yaliyofanyika tarehe 18 Agosti 2023 kama ilivyotajwa na mtandao huo”
Kumbe wameongezwa ila kosa la huyo ndugu ni kwa sababu tu wanajeshi hawajalipwa tarehe 18/8/2023..!
 
Waseme tu wanataka nao mgao wa DP World kwa njia ya nyongeza ya mshahara kama walivyopewa wabunge la sivyo watakuwa upande wa Wazalendo
 
Hii Habari hata haileweki, Inasikitisha Sana kuona Jeshi tunalo litegemea Linatoa Taarifa Kama Hii. Kuna Ubaya Kwenye Kuongezewa Mshahara? Mbona Ni Kama Wanajistukia? Like nini Kipo Nyuma kama Wao Wakiongezewa Mshahara huu Mwezi?

Taarifa imekanushwa Inatosha, Jeshi kusema Mnamtafuta ni kuonesha Udhaifu wa Hali ya Juu sanaa kama Hadi Sasa Hamjapata, Kama Jeshi linatumia muda mrefu hivyo kumpata mtu tuu aliye zusha Taarifa ambayo haina Mashiko kwenye Vitu Serious Je tutaweza kweli?

Kuna muda kukaa kimya ni Njia Nzuri
 
Hii Habari hata haileweki, Inasikitisha Sana kuona Jeshi tunalo litegemea Linatoa Taarifa Kama Hii. Kuna Ubaya Kwenye Kuongezewa Mshahara? Mbona Ni Kama Wanajistukia? Like nini Kipo Nyuma kama Wao Wakiongezewa Mshahara huu Mwezi?

Taarifa imekanushwa Inatosha, Jeshi kusema Mnamtafuta ni kuonesha Udhaifu wa Hali ya Juu sanaa kama Hadi Sasa Hamjapata, Kama Jeshi linatumia muda mrefu hivyo kumpata mtu tuu aliye zusha Taarifa ambayo haina Mashiko kwenye Vitu Serious Je tutaweza kweli?

Kuna muda kukaa kimya ni Njia Nzuri
Dogo, unaonaje kesho ukaenda ofisini kwao ukawaeleza kuhusu hilo? Naamini watakushuru sana!
 
NA nyie mnaocoment. Baadae mseme wanajeshi wakorofi. Endeleeni sasa .. tutamsaka mmoja baada ya mwingine
 
Watanzania waambieni jeshi lenyu likawapakate magaidi kwenye mpaka wenyu na Msumbiji,raia hawana hatia.
 
Kweli kabisa! Tena anaweza akawa ni Lissu huyu ndiye alieeneza uwongo. Akamatwe na ashughulikiwe mara Moja!
Usipende kutaka taja wanaume wa watu.
Huna mume wako umtaje?
Wake zao wanakuchukulia mdanganhaji mashuhuri.
Acha hizo aisee))
 
Nia ovu ya kuwagombanisha jeshi na kada nyingine za kiraia. Ionekane kwamba wanapendelewa
Kwa hivyo waalimu wakiongezewa mshahara Leo na ikatangazwa itazusha ugomvi na kada zingine?
 
Back
Top Bottom