Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa inasema wakuu wa majeshi wameongezewa mshahara....so Hawa wanajeshi wa kawaida baadhi Yao wanaweza kuanzisha minong'ono ndani ya jeshi letu.Kuligawa jeshi kwa namna ipi mkuu?
Nipe elimu/maarifa Boss wangu
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kama ni uzushi ni bora kuukomeshaKuna vitu vingine ni vya kuupuzia tu, tayari JWTZ kupitia kwa msemaji wake wamekanusha mimi nafikiri inatosha, habari za kumtafuta ni intimidation sasa!
atafutwe ashikishwe adabu, wamekuja mpaka jeshini? Wamezoea uzushi pumbavu kabisaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema taarifa iliyosambazwa na mtandao wa kijamii wa Tanzania Abroad TV (TAT) kwamba Wanajeshi wa ngazi za juu wa JWTZ wameongezewa mshahara ni taarifa ya uzushi na upotoshaji na tunamtafuta.
Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano Makao Makuu JWTZ Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amesema “Taarifa hiyo imeeleza kuwa ongezeko hilo limelipwa tarehe 18 Agosti 2023, JWTZ inaujulisha Umma kuwa taarifa hiyo ni ya uzushi na upotoshaji kwa Jamii hivyo Watanzania waipuuze kwani ina nia ovu”
“Ukweli ni kwamba hadi leo tarehe 19 Agosti 2023 kwa JWTZ haijafika tarehe ya kulipwa mshahara, aidha hakuna ongezeko lolote la mshahara au malipo yoyote kwa Wanajeshi wa ngazi yoyote wa JWTZ yaliyofanyika tarehe 18 Agosti 2023 kama ilivyotajwa na mtandao huo”
Wasiishie TAT tu, wapitie pitie na hapa JF, kuna wapotoshaji wengi sana.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema taarifa iliyosambazwa na mtandao wa kijamii wa Tanzania Abroad TV (TAT) kwamba Wanajeshi wa ngazi za juu wa JWTZ wameongezewa mshahara ni taarifa ya uzushi na upotoshaji na tunamtafuta.
Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano Makao Makuu JWTZ Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amesema “Taarifa hiyo imeeleza kuwa ongezeko hilo limelipwa tarehe 18 Agosti 2023, JWTZ inaujulisha Umma kuwa taarifa hiyo ni ya uzushi na upotoshaji kwa Jamii hivyo Watanzania waipuuze kwani ina nia ovu”
“Ukweli ni kwamba hadi leo tarehe 19 Agosti 2023 kwa JWTZ haijafika tarehe ya kulipwa mshahara, aidha hakuna ongezeko lolote la mshahara au malipo yoyote kwa Wanajeshi wa ngazi yoyote wa JWTZ yaliyofanyika tarehe 18 Agosti 2023 kama ilivyotajwa na mtandao huo”
Yuko Japan jinsi location feature inavyofanya kazi kwenye Twitter? Soma hii tweet yake ya zamani. 👇Mwenye hiyo media mwenyewe yupo Urusi kwa Putin ambae wanamuunga mkono sijui itakuwaje sasa
Sio ameleta mzaha kwenye ukweli?ameleta mzaha kwenye utani
Kwani ni ajabu nchi hii kuwa na utofauti wa mishahara? Watakua wao wa kwanza? Wewe nawe ni mtu wa hovyo sana.Nia ovu ya kuwagombanisha jeshi na kada nyingine za kiraia. Ionekane kwamba wanapendelewa
Awamaanishi Hicho walichokisemaHilo nalo ni kosa la kumsaka mtu!
AahaaaaApakatwe mara moja huyo raia.
Labda wameongezwa na DP WORLD! Kapata Zembwela na Kitenge sembuse waoJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema taarifa iliyosambazwa na mtandao wa kijamii wa Tanzania Abroad TV (TAT) kwamba Wanajeshi wa ngazi za juu wa JWTZ wameongezewa mshahara ni taarifa ya uzushi na upotoshaji na tunamtafuta.
Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano Makao Makuu JWTZ Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amesema “Taarifa hiyo imeeleza kuwa ongezeko hilo limelipwa tarehe 18 Agosti 2023, JWTZ inaujulisha Umma kuwa taarifa hiyo ni ya uzushi na upotoshaji kwa Jamii hivyo Watanzania waipuuze kwani ina nia ovu”
“Ukweli ni kwamba hadi leo tarehe 19 Agosti 2023 kwa JWTZ haijafika tarehe ya kulipwa mshahara, aidha hakuna ongezeko lolote la mshahara au malipo yoyote kwa Wanajeshi wa ngazi yoyote wa JWTZ yaliyofanyika tarehe 18 Agosti 2023 kama ilivyotajwa na mtandao huo”
Labda awe ameenda baada ya Tamko ila namjua na ndie 🤪🤪🤪🤪🤪🤪Yuko Japan jinsi location feature inavyofanya kazi kwenye Twitter? Soma hii tweet yake ya zamani. 👇