Elections 2010 JWTZ waanza mazoezi ya kuzuia ghasia

Elections 2010 JWTZ waanza mazoezi ya kuzuia ghasia

Mbona sioni mtu akisema tunaomba ushaidi wa picture!
Unaweza vunjwa wewe na kamela yako

Mkuu huwatakii mema wananchi wenzako eeh!!!

Utakuta hauna taya hata kabla ya kumaliza kupiga!!! Watu wenyewe walivyo na hamu ya kupiga duh!!
 
msiogope wakuu. Wanajeshi kibao hawamsapoti jamaa. Acha wale mazoezi ya viungo kwa ajili ya afya lakini JK kama anategemea msaada wa jeshi ajue ameula wa chuya. Jamaa wanataka kumwonyesha wako pamoja naye ili kumjengea hope na baadae wamtose apatwe na presha.
 
msiogope wakuu. Wanajeshi kibao hawamsapoti jamaa. Acha wale mazoezi ya viungo kwa ajili ya afya lakini JK kama anategemea msaada wa jeshi ajue ameula wa chuya. Jamaa wanataka kumwonyesha wako pamoja naye ili kumjengea hope na baadae wamtose apatwe na presha.
tunaombea iwe kama unavyosema mkuu but mbona sijasikia kama anatafuta nchi ya kukimbilia!
 
Jk ajiandae sisi kumkabidhi kwa ICC kwa makosa ya mauaji ya halaiki hilo kamwe hataweza kulikwepa kwa uchu wake wa madaraka yasiyo na mipaka. Lakini safari hii atang'oka tu na kutuachia nchi yetu tuanze kuijenga upya.
 
Kheeee heee heeee...Eeeh!


NGURUWE pekee ndie anaweza kucheka huu uvunjifu wa amani kwa kutishia watu unaoandaliwa...

...NI KWELI LEO WALIONEKANA WANAKATIZA MAJIRA YA MCHANA MAENEO YA UPANGA WAKIWA KWENYE MAGARI MAPYA YA TANI TAU...MITSUBISHI WAKIELEKEA NADHANI LUGALO..AREAS....WOTE WAMEVALIA COMBATS....NA KOFIA NYEKUNDU....KIKOSI KILICHOPEWA KAZI HIYO NI KILE CHA MILLITARY POLICE.....

......NA ZILE OFISI ZA PSU pale Makumbusho ambazo kwa kawaida hulindwa na plain clothed agents...sasa zinalindwa na full combat men ..tangu mwezi huu uanze especially baada ya lile TAMKO!!!

NCHI IPO VITANI DHIDI YA HAKI ZA RAIA....NI WAZI WATU WATAOGOPA KABISA...NA NADHANI SIKU YA KUPIGA KURA ..WATATANGAZA AMRI YA KUTOTEMBEA OVYO BAADA YA SAA 12 ...ILI KUWEZESHA KILE KOKOSI CHA CHAKACHUA ....KINACHOENDELEA KUFANYA MAZOEZI....KUIBA KURA .,NA WENGINE WATAONDOKEA PWANI YA BUNJU KUELEKEA ZANZIBAR..KWA KAZI HIYO HIYO..LENGO LAO NI KUWEZA KUHALALISHA REPORT YA REDET YA LEO KUWA ...KIKWETE ATAPATA ASILIMIA 71%,SLAA 12%....NA WIMBO WAO KUWA ATAKUWA NAFASI YA 3 UTATIMIA...........NA KUWAACHA NA MAKOVU ...MOYONI............

WAZEE HIZI NI ZA JIKONI LIVE!!!!
 
kama ni hivyo basi na sisi ngoja tuanze mazoezi
Kwani unazana au ile manati yako...wana-tisha tu hata wao wanapingika kwani huju mishahara yako...mara ngapi tuna pishana nao wanapeleka kwa fundi viatu vya kazi(Buti), je ni kweli na kubali kuwa piga baba zao,mama,shangazi, wajomba, ndugu zao kisa kumfurahisha kikwete sitaki kuamini hivyo....
 
CCM JWTZ wataivuruga nchi kwa matakwa na faida zao, lakini wajue kuwa ni wao wanaoishi kwenye nyumba za vioo, wao wanachakupoteza zaidi, kuliko masikini walalahoi wa Taifa hili, watu wanaanza kukataa tamaa kua Ballots haiwezi kuwa suluhisho la matatizo ndani ya Taifa, watu wanaanza kutamani jambo tofauti, watu wanaambiana kwenye Bar, kwenye mabasi kuwa wasilale , waamke, kuna kitu kidogo hakipo sawasawa, kikikaa sawa, ni balaa la Taifa.
 
CCM wanalazimisha kuimiliki kwa nguvu nchi hii kwa maslahi yao....just as Federal Reserve Owners wanavyohaha kuendelea kuumiliki uchumu wa Marekani na dunia!!!! Teh teh teh..... watachemsha tu hapo 31/10/2010... when peoples voice itakapofanya kazi yake!!!!!

CCM samaki tu.... lazima waliwe......:llama:
 
Hehehe washapewa AMRI
hakuna wa kukataa wala kuhoji.
Naona mkulu anatumia kofia yake ambayo hawezi kujiuzulu nayo...

Well, Kikwete atakuwa wa kwanza kufikishwa International Criminal Court (ICC). Amuulize mwenzake Bashir wa Sudan hatembei kwa raha sasa!
Na hivi Kikwete anapenda kwenda nje itakuwa kazi rahisi tu! Zaidi hata akiingia kwa mabavu kwa gharama ya damu za Watanzania akimaliza kipindi chake ataijua ICC!
 
Katika hali ya kushangaza wanajeshi wa JWTZ wapo kwenye mazoezi makali, mithili ya yale ya FFU, bila shaka kujiandaa kwa kupambana na watakaopinga matokeo ya uchaguzi mkuu baada ya kuchakachuliwa kwa kura. Nimewashuhudia mimi mwenyewe pale Lugalo leo. Kwa kawaida mazoezi ya aina ile hufanywa na FFU. Kunani? Au ndio maelekezo ya Shimbo kutoka CCM?

Kama wana ubavu waende Somalia.......................Hapa hatuwahitaji. Polisi watasimamia makabidhiano ya madaraka bila matatizo yeyote!!
 
hata majeshi yakiletwa hayatafua dafu kwa nguvu ya umma! Kwa waliofuatilia vurugu za Thailand mwezi APril had May watakubaliana na ninachokisema kwamba wati wakiuchoka utawala wameuchoka! piga uwa galagaza. Ni jambo la wakati tu na ukifika wenye nchi watajua cha kufanya! Wanaong'ang'ania madaraka watajiju simu kiama chao kikifika ingawaje siombei ysliyomkuta samwel doe na sadam hussein
 
Back
Top Bottom