JWTZ wakamilisha kazi mashariki mwa DRC na kuagwa kwa heshima kubwa

JWTZ wakamilisha kazi mashariki mwa DRC na kuagwa kwa heshima kubwa

I don't know what people are celebrating here.. rotation ya vikosi ni kitu cha kawaida .There have been around 9 rotations in Somalia sector ii since 2012.Kdf 10th battle group ndo wanaenda kumaliza kazi Somalia ...wakiongozwa na brigadier Nyaga ambaye sasa ndiye atakuwa Amisom sector ii commander.
Brigadier Nyaga was involved in the first move into somalia.. then as a Lt Col.
He has gone to finish what he started.
Tulia JWTZ ije kuwasaidia kumaliza Al-shaabab cz wanawake kdf wameshindwa.
 
Kutoka mwaka 2015 wanajeshi wa JWTZ wamekuwa wakifa kila mwaka. 2020 ikabidi Magu mwenyewe aongee kwa kushangazwa na mauaji ya wanajeshi wake.
Ilibidi wanajeshi wa JWTZ waekwe chini ya wanjeshi wa nepal kutoka mwaka 2019 ili wapone makali ya watoto wa DRC ma wanamgambo kutoka Uganda.
Tulia Jeshi La Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lije kuwasaida kumaliza Al-shaabab cz Kenya Dumb Force (KDF) limeshindwa.
 
Most Elite Special Forces Around The World.

These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.

Yeah, pity the fools who get on the wrong side of any of these elite fighting forces. Please keep in mind that this list is in no particular order.

Tanzanian Special Forces In Congo.

Wooiii naona ukweli ushaanza kuchukua nafasi yake, mkuu ipeleke na kule waumie vzr [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

My Take: Africa tuko pekeetu, naomba msiumie jirani.
 
Nazan kabla ya kusifia sana taasisi kama jeshi,ni bora usome na uone kazi zao wakiwa in action ndo utapata majibu, Jaribu Jaribu kuangalia JWTZ ilivyooenda kuongoza Kuwatoa waasi wa comorros kizembe, no body armours, no life jackets, no drone za kuona upande wa pili, no amphibious vehicles za kuwapeleka upande wa pili vizur,and walikua armed kawaida sana,walikua too exposed, kama wale waasi wa comorros wangalikua na training nzur,na wangejipanga along ile landing Zone Yao vizur, ingekua ni d-day nyingine,hali ingekua mbaya, At least ukiangalia Kenya walivyocheza na Alshababi na equipments walizokuwa wanatumia, kwa mtazamo wangu walikuwa way better kuliko sisi tulioenda comorros.
Leta ushahidi km walienda kizembe, we mpumbavu kweli wewe yn uende vitani kizembe, unaelewa maana ya vita wewe?
 
2015: Tanzanian UN peacekeepers killed in DR Congo near Beni

2017:UN honours 14 peacekeepers killed in eastern DR Congo

2020:Magufuli 'shocked' by killings of Tanzanian soldiers in DRC

Yani huko drc hao wanaitwa special forces walipewa kichapo cha mbwa kuingia msikitini na watoto walio kuwa na mapanga
[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Most Elite Special Forces Around The World.

These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.

Yeah, pity the fools who get on the wrong side of any of these elite fighting forces. Please keep in mind that this list is in no particular order.

Tanzanian Special Forces In Congo.

 
Nazan kabla ya kusifia sana taasisi kama jeshi,ni bora usome na uone kazi zao wakiwa in action ndo utapata majibu, Jaribu Jaribu kuangalia JWTZ ilivyooenda kuongoza Kuwatoa waasi wa comorros kizembe, no body armours, no life jackets, no drone za kuona upande wa pili, no amphibious vehicles za kuwapeleka upande wa pili vizur,and walikua armed kawaida sana,walikua too exposed, kama wale waasi wa comorros wangalikua na training nzur,na wangejipanga along ile landing Zone Yao vizur, ingekua ni d-day nyingine,hali ingekua mbaya, At least ukiangalia Kenya walivyocheza na Alshababi na equipments walizokuwa wanatumia, kwa mtazamo wangu walikuwa way better kuliko sisi tulioenda comorros.
wewe ni mkenya acha kuigiza kuwa ni mtz.
 
Nyinyi mlishindwa na watoto al shabaab mtawezana?
Nashangaa Sana kdf ,yaani kile kigenge Cha alshabab kinavyo wachezesha kwata kila siku.huwa mnajitapa humu mnavifaa bora,mala jeshi imara!! Kumbe majigambo yote ni bule kabisa.kenya defense force ni jeshi dhaifu kabisa hakuna ubishi hapo.alshabab they're torturing you day after day,mwisho wataanza kuoa dada zenu kwa nguvu ,kwa udhaifu wenu!!? after all kdf ni jeshi oga historically!! Kama alshabab wanawa pigisha kwata kwa Karne hii,je mngepigana na idd Amin dada enzi zile,nadhani muda huu tunapoongea Kenya mngekuwa under uganga empire chini ya Amin Dada!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
After such a heroic and brilliant performance of our JWTZ, the time is due to help our noisy neighbours from the lethal claws of Al Shabab. If things go unchecked, all signs point irresistibly to the possibility of Al Shabab demarcating a Kenyan area neighbouring Somalia and form a state of their own. Different sources speaking on a condition of anonymity have revealed that, Kenya is pleading with USA in order not to withdraw it's forces in Somalia, meanwhile, Kenyan authorities are on their knees requesting assistance of Tz "
Hehehe, nendeni huko Somalia. Hakuna aliyewazuia majirani! 🤣
✌️
 
Failures walio pigwa mapanga na child soldiers wa Congo, historia iko wazi tu[emoji28][emoji23][emoji23], mnajitekenya na kucheka eti, juzi juzi tu wana mgambo wa Mozambique wamewaibisha mtaongelea aje Al shabaab wanao tumia technology with M16s n missiles, na warriors wa South Sudan?., kule Congo rebels ni watoto wamelazimishwa kupigana, kisha unapiga kifua eti mmeshinda vita kumbe ni watu wenye silaha hafifu, rebels wenye mapanga na ak za mbao ndio mpinzani[emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] ., get a life nanii, mko idle sana [emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa na kumbukumbu vizuri, hao alshabab wa mozambique walifulumushwa tanga na kibiti ndio wakakimbilia msumbuji, unasemaje kuwa wamewashindwa?
 
Nashangaa Sana kdf ,yaani kile kigenge Cha alshabab kinavyo wachezesha kwata kila siku.huwa mnajitapa humu mnavifaa bora,mala jeshi imara!! Kumbe majigambo yote ni bule kabisa.kenya defense force ni jeshi dhaifu kabisa hakuna ubishi hapo.alshabab they're torturing you day after day,mwisho wataanza kuoa dada zenu kwa nguvu ,kwa udhaifu wenu!!? after all kdf ni jeshi oga historically!! Kama alshabab wanawa pigisha kwata kwa Karne hii,je mngepigana na idd Amin dada enzi zile,nadhani muda huu tunapoongea Kenya mngekuwa under uganga empire chini ya Amin Dada!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto wa DRC walitwanga JWTZ mpaka magu mwenyewe akashtuka. Huko msumbiji navy ya JWTZ walipigwa mpaka mashua yao ya kuvulia samaki ikalipuliwa. Wacha kujidanganya Al shabaab hamtawezana nao. Mapanga mlishindwa iwe makombora na bunduki?
 
Watoto wa DRC walitwanga JWTZ mpaka magu mwenyewe akashtuka. Huko msumbiji navy ya JWTZ walipigwa mpaka mashua yao ya kuvulia samaki ikalipuliwa. Wacha kujidanganya Al shabaab hamtawezana nao. Mapanga mlishindwa iwe makombora na bunduki?
Kdf yenu,ilijua kumikiki vifaa ndio kushinda vita[emoji23][emoji23][emoji23],Sasa ona missile,na ndege mnazo lakini alshabab wako na ak47 wanawa torture every day.
 
Kdf yenu,ilijua kumikiki vifaa ndio kushinda vita[emoji23][emoji23][emoji23],Sasa ona missile,na ndege mnazo lakini alshabab wako na ak47 wanawa torture every day.
Walishambuliwa na wanamgambo ndani ya nusu saa wakapoteza battalion nzima na ukumbuke walikuwa full loaded.
 
Walishambuliwa na wanamgambo ndani ya nusu saa wakapoteza battalion nzima na ukumbuke walikuwa full loaded.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom