jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,404
- 4,973
Haa!najua sio habari nzuri kwako hata kidogo, manake hupendi kabisa uhusiano uwe mzuri;
Ila hii nikawaida sana hata askali wa Tanzania wanakuja huku kwa mafunzo mbalimbali, chuki zilizopo ni sababu ya watu binafsi, ila some of you mntaka kuonyesha kwamba ni uhasama wa nchi na nchi na kujaribu ku incite wa Tanzania yet nyie ni waNyaRwanda tu mliokimbilia huko;
ENGLISH – UMUSEKE – Rwanda Defense Forces Command and Staff College/Intake Two Launched
sawa tu chief. Uhusiano wetu Tanzania na Rwanda ni mzuri sana.:becky: