Haa!najua sio habari nzuri kwako hata kidogo, manake hupendi kabisa uhusiano uwe mzuri;
Ila hii nikawaida sana hata askali wa Tanzania wanakuja huku kwa mafunzo mbalimbali, chuki zilizopo ni sababu ya watu binafsi, ila some of you mntaka kuonyesha kwamba ni uhasama wa nchi na nchi na kujaribu ku incite wa Tanzania yet nyie ni waNyaRwanda tu mliokimbilia huko;
ENGLISH – UMUSEKE – Rwanda Defense Forces Command and Staff College/Intake Two Launched
Ukiona Alumni yeyote ta tanzania iko katika nchi ya kigeni, basi ujue kuna mission za udukuzi za ki-intel zinafanyaka.. tanzania has nothing to learn from anycountry in the field ya militarism.
ukiona alumni yeyote ta tanzania iko katika nchi ya kigeni, basi ujue kuna mission za udukuzi za ki-intel zinafanyaka.. Tanzania has nothing to learn from anycountry in the field ya militarism.
..ni mafunzo ya Officer Cadet course ya mwaka mmoja inayotolewa Tanzania Military Academy, Monduli.
..zaidi ya askari toka CoW, nchi nyingine zilizofaidika na mafunzo toka kwa jeshi letu ni Seychelles, DRC, Mozambique, na Zimbabwe.
..habari hii inazima zile propaganda kwamba Tanzania ina mahusiano mabaya na majirani zake.
habari nzima soma hapa: Home
habari nyingine hii hapa:http://www.dailynews.co.tz/index.ph...congo-president-in-arusha-for-special-mission
cc lawmaina78, jMali, Ngongo, Nguruvi3, Bulldog, Kishimbe wa Kishimbe
Bila mchango wa Tanzania hasa mafunzo ya ulinzi Kenya ingesha kwenda na maji siku nyingi.
So what?? Cha ajabu kipi hapo??
So What? Mbona Ni Kawaida Mno Kijeshi? Mbona Na Wewe Askari Wako Huenda Mji Wa Gitarama Nchini Rwanda Kwa Mafunzo?
..ni jambo la kawaida lakini nani alikuwa anajua?
..nimeileta habari hii ile ku-balance habari mbaya zinazoandikwa dhidi ya Tz ktk magazeti ya wenzetu.
..kuna vyombo vya habari kama rwanda newtimes, the eastafrican magazine, na blog mbalimbali zimekuwa zikiwaaminisha wasomaji wao kwamba hakuna jema linaloweza kufanywa na Tanzania au Mtanzania.
..kwa mfano, kulikuwa na habari ya Tanzania kujitenga, na kutokuchangia chochote kile, ktk East Africa Standby Force. Sasa hailezwi kwamba Tanzania tayari tuko kwenye Souther African/SADC standby force, na zaidi imekuwa ikishirikiana ktk mafunzo na mazoezi ya pamoja na majeshi mbalimbali ya East Africa na Afrika kwa ujumla.
..lakini kitu cha ajabu, na ambacho sikukitegemea, ni reaction ya baadhi ya wachangiaji ambao ni ndugu zetu toka baadhi ya nchi majirani. michango yao inaonyesha kwamba wamekerwa sana na kitendo cha cadets wao kupata mafunzo toka kwa majeshi yetu.
cc mossad007, lawmaina78, waltham, Geza Ulole, Ab-Titchaz
..ni jambo la kawaida lakini nani alikuwa anajua?
..nimeileta habari hii ile ku-balance habari mbaya zinazoandikwa dhidi ya Tz ktk magazeti ya wenzetu.
..kuna vyombo vya habari kama rwanda newtimes, the eastafrican magazine, na blog mbalimbali zimekuwa zikiwaaminisha wasomaji wao kwamba hakuna jema linaloweza kufanywa na Tanzania au Mtanzania.
..kwa mfano, kulikuwa na habari ya Tanzania kujitenga, na kutokuchangia chochote kile, ktk East Africa Standby Force. Sasa hailezwi kwamba Tanzania tayari tuko kwenye Souther African/SADC standby force, na zaidi imekuwa ikishirikiana ktk mafunzo na mazoezi ya pamoja na majeshi mbalimbali ya East Africa na Afrika kwa ujumla.
..lakini kitu cha ajabu, na ambacho sikukitegemea, ni reaction ya baadhi ya wachangiaji ambao ni ndugu zetu toka baadhi ya nchi majirani. michango yao inaonyesha kwamba wamekerwa sana na kitendo cha cadets wao kupata mafunzo toka kwa majeshi yetu.
cc mossad007, lawmaina78, waltham, Geza Ulole, Ab-Titchaz
..ni jambo la kawaida lakini nani alikuwa anajua?
..nimeileta habari hii ile ku-balance habari mbaya zinazoandikwa dhidi ya Tz ktk magazeti ya wenzetu.
..kuna vyombo vya habari kama rwanda newtimes, the eastafrican magazine, na blog mbalimbali zimekuwa zikiwaaminisha wasomaji wao kwamba hakuna jema linaloweza kufanywa na Tanzania au Mtanzania.
..kwa mfano, kulikuwa na habari ya Tanzania kujitenga, na kutokuchangia chochote kile, ktk East Africa Standby Force. Sasa hailezwi kwamba Tanzania tayari tuko kwenye Souther African/SADC standby force, na zaidi imekuwa ikishirikiana ktk mafunzo na mazoezi ya pamoja na majeshi mbalimbali ya East Africa na Afrika kwa ujumla.
..lakini kitu cha ajabu, na ambacho sikukitegemea, ni reaction ya baadhi ya wachangiaji ambao ni ndugu zetu toka baadhi ya nchi majirani. michango yao inaonyesha kwamba wamekerwa sana na kitendo cha cadets wao kupata mafunzo toka kwa majeshi yetu.
cc mossad007, lawmaina78, waltham, Geza Ulole, Ab-Titchaz
..ni jambo la kawaida lakini nani alikuwa anajua?
..nimeileta habari hii ile ku-balance habari mbaya zinazoandikwa dhidi ya Tz ktk magazeti ya wenzetu.
..kuna vyombo vya habari kama rwanda newtimes, the eastafrican magazine, na blog mbalimbali zimekuwa zikiwaaminisha wasomaji wao kwamba hakuna jema linaloweza kufanywa na Tanzania au Mtanzania.
..kwa mfano, kulikuwa na habari ya Tanzania kujitenga, na kutokuchangia chochote kile, ktk East Africa Standby Force. Sasa hailezwi kwamba Tanzania tayari tuko kwenye Souther African/SADC standby force, na zaidi imekuwa ikishirikiana ktk mafunzo na mazoezi ya pamoja na majeshi mbalimbali ya East Africa na Afrika kwa ujumla.
..lakini kitu cha ajabu, na ambacho sikukitegemea, ni reaction ya baadhi ya wachangiaji ambao ni ndugu zetu toka baadhi ya nchi majirani. michango yao inaonyesha kwamba wamekerwa sana na kitendo cha cadets wao kupata mafunzo toka kwa majeshi yetu.
cc mossad007, lawmaina78, waltham, Geza Ulole, Ab-Titchaz
Mbona unaropoka tu kaka, nimekupa chamgamoto ulete angalau ushahidi mmoja kwamba wanajeshi wa Kenya wamepata mafunzo kutoka JWTZ, sasa umebaki kuzunguka zunguka tu huku ukitubeza na wenzio kwa taarifa za uwongo. Mimi nimekuonyesha hapo juu ushahidi kuwa askari wa JWTZ wameingia Kenya kupata darasa, pia na wewe fanya kama mimi, ilete taarifa.
JokaKuu
..mbona kwenye post yangu ya kwanza kuna link kwenda kwenye gazeti lililotoa taarifa za cadets wa Kenya kuhitimu Monduli? umekuwa na haraka kuniita mropokaji na muongo.
Aha... nimeiona hiyo link ya kwanza ambayo imejificha, mimi nilikua nimefuata ya pili. Haya huo ni ushahidi kuna Wakenya wanne wamepata mafunzo ya kijeshi Tanzania, sasa endeleeni mna uhuru wa kubeza, ila kumbuka na hapo juu nilikuonyesha wanajeshi Watanzania walioingia Kenya kupata mafunzo, ila sisi huwa hatuna haraka ya kubeza kama nyie.
..ku-highlight mahusiano mazuri kati ya Tz na Ky siyo kubeza hata kidogo.
..nikikwambia kwamba Tz ndiyo number 1 trading partner wa Ky ktk Afrika Mashariki nitakuwa nimekubeza??
..je nikileta taarifa za askari wa Tz na Ky kushirikiana ktk kumkamata mhalifu alitoroka Ky na kuja kujificha Tz nitakuwa nimeikashifu au kuibeza Ky?
Haa!najua sio habari nzuri kwako hata kidogo, manake hupendi kabisa uhusiano uwe mzuri;
Ila hii nikawaida sana hata askali wa Tanzania wanakuja huku kwa mafunzo mbalimbali, chuki zilizopo ni sababu ya watu binafsi, ila some of you mntaka kuonyesha kwamba ni uhasama wa nchi na nchi na kujaribu ku incite wa Tanzania yet nyie ni waNyaRwanda tu mliokimbilia huko;
ENGLISH UMUSEKE Rwanda Defense Forces Command and Staff College/Intake Two Launched