Yop. ...naona issue unaijua haswa...Huyu huyu aliyenae K L hao wengine nawajua mkuu. Huyo Lilian si alikuwa analiwa na Macha ndio kisa cha mzee kugombana na Macha?
Nawe umekurupuka amesema kua huyu k-lyin hizo pesa hakufight mwenyew kapata kwammewe huyo huwez hata kumfananisha na jaydee ashukuru papuchi imempa mtajiUnajua maana ya danga au unaongea tu popompo wewe. Ina maana hata baba yako ni danga kwa mama yako au sio?. Watu wamependana wameoana tatizo lipo wapi? Na huo udanga umetoka wapi? Usitake kuandika hapa ili watu wakuone na wewe umeandika kitu
Swala ni kumuita Mengi Danga si sahihi kabisaNawe umekurupuka amesema kua huyu k-lyin hizo pesa hakufight mwenyew kapata kwammewe huyo huwez hata kumfananisha na jaydee ashukuru papuchi imempa mtaji
Odemba na millen wamefanya nini zaidi ya kugawa vyandarua vilivyotiwa dawa na malapa?
Alikuwa na watatu si wawili.. Wawili ndio wamebakiYupo mkuu mengi alishawahi Kuoa na Ana watoto wawil mmoja kafa mmoja yupo hai
Madam Rita alizingua akaona isiwe tabu kamvua klyne fastaMimi huwa nawaza tu Mengi alimfata direct au alitumia dalali au bi mdada alijirengesha, anyway kila la kheri kwake
HahahahaNawe umekurupuka amesema kua huyu k-lyin hizo pesa hakufight mwenyew kapata kwammewe huyo huwez hata kumfananisha na jaydee ashukuru papuchi imempa mtaji
Acha uongo wewe.. 2006 alifariki mtoto wake MutieMke wa kwanza wa Mengi alifariki 2006 na kuzikwa nyumbani kwa mengi machame kilimanjaro.
Jinyonge dogo.. Au tafuta pesa na wewe ufaidiUmenichekesha sana mkuu.
Hiyo inaitwa nyota ya nzi
Wivu na chuki...[emoji16] [emoji16] [emoji16] ....watu wanasifia tuu! Wengine tuna mafile yao ya kufa mtu.... Hata Wema ana nafuu sema ndo hivo lilia bahati sio uzuri!!!
Hakuna binadamu asiye na machafu yake.. Jack pamoja na hayo aliyoyafanya aliweza kulinda fame yake na hakuwahi kuandikwa kwa tabia za kijinga jinga.. Zaidi ya Kinje ebu niambie wewe ni nani mwingine amedate na huyo?? Sana sana utasema oooh sijui wazungu, sijui alikuwa anajiuza Kempinski na blah blah nyingine..Kempinski...alikuwa keshajikatia tamaa! Ila sasa hivi ni maadam[emoji40] [emoji40] [emoji40]...sina milioni saba asee
Hahahahaha kwahiyo kuimba nyimbo na Bluu na huyo Bushoke basi ndio alijiuza kwao. Hapa naona unaongea kwa wivu tu na chuki. Wewe ulitaka asiwe kwenye relationship Mengi amkute bikra au??Mzungu ...
Bushoke..
Bluuu..
Kin.e[emoji379]
Madanga
Machache
ONGEZEA shost...[emoji379] [emoji379] [emoji379]
Huu uzi kuna single mothers naona wanaumia sana na life la Jack.. Muwe mnaangalia watu wa kuwabebea mimba hahahahaha.. Maana ukifikiria kupata pesa ya ada au maziwa ya mtoto mpaka ukapanue paja wakati Jack watoto wanashinda kwenye First Class angani wakibadilisha tu nchi za kutembeaUnajua maana ya danga au unaongea tu popompo wewe. Ina maana hata baba yako ni danga kwa mama yako au sio?. Watu wamependana wameoana tatizo lipo wapi? Na huo udanga umetoka wapi? Usitake kuandika hapa ili watu wakuone na wewe umeandika kitu
Macha yupi? Hans Macha auHuyu huyu aliyenae K L hao wengine nawajua mkuu. Huyo Lilian si alikuwa analiwa na Macha ndio kisa cha mzee kugombana na Macha?
Kwanini rwanda na sio burundi?
Screpa nimekupenda ghafla yaaan umejuaje? Wale ng'ombe wana misuse resources zao [emoji85] !Huyu ndio alichagua fursa, yaani hata akiamua akae ndani anaangalia tv tu anauhakika wa kula bata hadi anakufa. Sio wale vinuka mkojo wanaopoteza muda kwa vitoto vikina Harmonize. We waache tu fainali uzeeni
I love u too baby🙂Screpa nimekupenda ghafla yaaan umejuaje? Wale ng'ombe wana misuse resources zao [emoji85] !
Macha yupi? Hans Macha au