MC7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 592
- 489
Team insta, telegram n. k wataona wametengwa.team inayojielewa, safi sanaaaaaa
Yani team nzma wana pete vidoleni mwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team insta, telegram n. k wataona wametengwa.team inayojielewa, safi sanaaaaaa
Rodny alikua mtu wa bata sana huyuu!Watatu wawili wapo mmoja ndio marehemu....Regina,Abdiel, Motie(R.I.P).
***Hali ikirudi kwenye mstari hiyo taasisi atamkopesha nani pesa
Unajitakaaa?!!Kuna watu wana nyota ya kutosemwa yani hii couple ingekuwa bi couple nyingine age difference na ndoa ya mzee ya awali basi ingesemwa hatari.
Lakini ajabu kwao kila mtu anamsifia k lyn
Hahahahaaa sipati hill varangati na Mzee alivyo mtaratibu kweli papuchi is ruining the world.Hii ni kweli alipitia dirishani ni baada ya kumfumania mzee ilikuwa pale Kinyata drive.
When you play with fire someone is gonna be burn't.Unajitakaaa?!!
Hahaahhahaha uo uzinduz wke sasa.. Kila page uko insta ingepambwa na front cover ykeAngefanya madame sepetunga pasingetosha.
Umenichekesha sana mkuu.Hahaahhahaha uo uzinduz wke sasa.. Kila page uko insta ingepambwa na front cover yke
Una uhakika?wa kwanza mama yupi?Mama Rodney...yupo hi mpk sasa hivi?!!..Mke wa kwanza wa Mengi alifariki 2006 na kuzikwa nyumbani kwa mengi machame kilimanjaro.
WaliachanaMke wa kwanza wa Mengi yupo wapi?au alikuwa bado hajaoa!
Hawamgusi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mr.Machache toka enzi za Madam Rita,Jokate(japo sina uhakika sana)When you play with fire someone is gonna be burn't.
Najitaka
Flavian Matata alikua anafanya modeling kwenye agency ya Trump kuanzia miaka ya 2005 kwanza Trump ana kamrembo kake kalikua miss na Flavian nae keshaolewa na kifaru mmoja.Flaviana Matata amemganda TRUMP. Ngoja uone mpambano wake na Jacquiline, huku madafu huku dolali.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] ....watu wanasifia tuu! Wengine tuna mafile yao ya kufa mtu.... Hata Wema ana nafuu sema ndo hivo lilia bahati sio uzuri!!!Umeona eeeh!
Enzi zileeeee....!
Wit uko vizuri!
Shikamooo sanaa!mkongwe mwenzangu!
Ndo maana madam machache alimpeleka madam wa bang kwa kutoa picha za harusi yake bila idhini yakeHawamgusi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mr.Machache toka enzi za Madam Rita,Jokate(japo sina uhakika sana)
Kempinski...alikuwa keshajikatia tamaa! Ila sasa hivi ni maadam[emoji40] [emoji40] [emoji40]...sina milioni saba aseeNgekewa hiyoo!!
Kadanga sana pale Kilimanjaro[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
umeona eeehhh!!![emoji16] [emoji16] [emoji16] ....watu wanasifia tuu! Wengine tuna mafile yao ya kufa mtu.... Hata Wema ana nafuu sema ndo hivo lilia bahati sio uzuri!!!
yaah nakumbuka sema sijui iliisha wapi ile kesi!Ndo maana madam machache alimpeleka madam wa bang kwa kutoa picha za harusi yake bila idhini yake
shogaas[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kempinski...alikuwa keshajikatia tamaa! Ila sasa hivi ni maadam[emoji40] [emoji40] [emoji40]...sins milioni saba asee
Waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
Mzungu ...shogaas[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]