ngaboru
JF-Expert Member
- Mar 3, 2016
- 2,069
- 5,411
Jojo bana nilikuwa namuona mjanja ila kumbe ni walewale.Hawamgusi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mr.Machache toka enzi za Madam Rita,Jokate(japo sina uhakika sana)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jojo bana nilikuwa namuona mjanja ila kumbe ni walewale.Hawamgusi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mr.Machache toka enzi za Madam Rita,Jokate(japo sina uhakika sana)
Mmmhh!Simba mwenda pole huyooJojo bana nilikuwa namuona mjanja ila kumbe ni walewale.
Sasa ww unataka wakujengee nyumbaOdemba na millen wamefanya nini zaidi ya kugawa vyandarua vilivyotiwa dawa na malapa?
Ha ha ha "mbumbu"😛😛😛Zile mbumbu zao zinapiga kazi daladala cha mtoto
Ha ha haHabari zao mpaka Ununue Business Times,The Guardian utawakuta kwenye economic Forums..........sasa wewe ukijiloga ukanunua ''Wikienda''.......Ni Habari za ............. na vigodoro.
MERCY MENGI YU HAI NA ANAKAA KWENYE MANSION ...OYSTERBY. ..CHAKE CHAKE ST. NI MAMA MWENYE HEKIMA SANA MAANA AMETOKA KWENYE FAMILIA YA CHIEF SHANGALI. ...Mke wa kwanza wa Mengi alifariki 2006 na kuzikwa nyumbani kwa mengi machame kilimanjaro.
Hahahahaaa sipati hill varangati na Mzee alivyo mtaratibu kweli papuchi is ruining the world.
Ha ha ha yatakuwa maajabu ya bongoHata gigy money akija kutulia ataitwa madame
Kyln mbona hamshangai!!!Ha ha ha yatakuwa maajabu ya bongo
Huyo mwanamke unaye mwongelea sio lilian Kimaro? Maana alikuwa yeye baada ya Rita. ..huyu mama mapacha alichukuliwa baada ya Lilian kutupwa nje. ...Haki ya Mungu. ...pesa safi sana. ..Huyo mzee ni mwingi wa papuchi sana. Labda awe ameacha siku izi. Na ana wivu kupitiliza huyo binti kamuwekea kifaa kinakuwa kinamuonyesha alipo popote hata mzee akienda ulaya anamuona. Kuna siku huyu binti alikuwa na mchepuko ile anafika hitelini mzee akapiga simu na kumueleza alipo na nguo alizovaa binti alirudi kwenye tax hadi nyumbani. Hii ilitokea muda kidogo kama miaka nne iliyopita.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna watu humu wanaongea vitu wasivyovijua tena kwa uhakika, inashangaza sana. Mtu anasema fulani kafariki hadi mwaka anataja!MERCY MENGI YU HAI NA ANAKAA KWENYE MANSION ...OYSTERBY. ..CHAKE CHAKE ST. NI MAMA MWENYE HEKIMA SANA MAANA AMETOKA KWENYE FAMILIA YA CHIEF SHANGALI. ...
Unajua maana ya danga au unaongea tu popompo wewe. Ina maana hata baba yako ni danga kwa mama yako au sio?. Watu wamependana wameoana tatizo lipo wapi? Na huo udanga umetoka wapi? Usitake kuandika hapa ili watu wakuone na wewe umeandika kituhuyu dada kapata bingo tu.. na kajua kulitumia danga vizuri..
lakini yeye na kina mwafulani ndo wale wale..
angefanya kwa pesa zake kama kina odemba au millen tunge muelewa lakini huyo baba ni sponser kwake !
ambacho katufundisha ni kukamatia danga na kutulia kulichuna haswa.
Yaani nimeshangaa sana. ..jamani!Kuna watu humu wanaongea vitu wasivyovijua tena kwa uhakika, inashangaza sana. Mtu anasema fulani kafariki hadi mwaka anataja!
Wabongo walimuuaMERCY MENGI YU HAI NA ANAKAA KWENYE MANSION ...OYSTERBY. ..CHAKE CHAKE ST. NI MAMA MWENYE HEKIMA SANA MAANA AMETOKA KWENYE FAMILIA YA CHIEF SHANGALI. ...
umeona eeh!Kuna watu humu wanaongea vitu wasivyovijua tena kwa uhakika, inashangaza sana. Mtu anasema fulani kafariki hadi mwaka anataja!
Huyo mwanamke unaye mwongelea sio lilian Kimaro? Maana alikuwa yeye baada ya Rita. ..huyu mama mapacha alichukuliwa baada ya Lilian kutupwa nje. ...Haki ya Mungu. ...pesa safi sana. ..
Hahahaaa we jivunie tu pangaboy lako mwenzio anayo automatic AC kuanzia kwenye Gari mpaka garden.
Binamu miss you so much myUmeona eeh? Kitu cha first class, mama ubaya anakazana na akina snura kwenye vigodoro