K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

Mi nimekuelewa sn!!
 
Nancy hakuna na nyota ya nini?.....ha ha ha labda huyo Hoyce ndo sijui ishu zake
Hoyce Temu hajawahi kuwa na sifa ya umalaya ila alikuwa na kaumbea umbea flani hivi akiwa anaishi fire kule Arusha karibu na kina Joh Makini Daraja 2...

nakumbuka siku moja machalii wadogo wa Arusha walimpiga maskini kisa umbea.

Baadaye ndio kaja kutulia Dsm na amekuwa mtu mzima na anajielewa.

Zaidi sana namwona mwenye utu sana wa kujali bin'adamu wengine.
 
Ha haa haa eti umbea mbea... Inawezekana ana kahulka hako manake bidada ni talkative sana..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah...hahahaha,
 
Sehemu kama hiyo hawezi kualikwa yule demu anaetembea na wanamuziki wa WCB wanamuita kigodoro......hapo nawaona mamiss wenye heshima zao tu ndio wamelikwa.
 
Habari zao mpaka Ununue Business Times,The Guardian utawakuta kwenye economic Forums..........sasa wewe ukijiloga ukanunua ''Wikienda''.......Ni Habari za ............. na vigodoro.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kweli kabisa. Nimemsifu Mrs. Mengi kwa kuchagua kampani safi
 
Yaani liwema linaniboaga hadi basi, hivi we kile kiidrisa ni cha kumpanulia liharage lake kweli?!?[emoji15] [emoji15] ....ukikutana nacho kina mambo ya kitoto toto halafu kishamba flani hivi amazing!!!... Nikajisemea khaa wema anayaweza asee...
Tatizo.la wema ni hapo

Hachagui habagui

Angetafuta danga lake la maana atie heshima dar
 
Jack sio makin ila kabahatika kupata mme makin
 
Huyu dada anajitambua sana. Hongera sana. Hii fursa ya kuolewa na bilionea ingemkuta Sepetunga angeweuka angepigania kuandikwa tu kwenye vigazeti uchwara na mambo ya kishenzi. Anatoka na vijamaa vyenye visenti tu vya mboga lakin mtaani hatunywi maji. Hongera sana Dada Jacline unajitambua na unajiongeza pia
 
Only CK ndo danga lake la ukwee...wengine wote vitoto na futureless, ila wote funika bovu ni Wolper asee...kile kitoto si kinanuka maziwa halafu kidunchu hata kiganjani hakitoshii[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hahaaaaa wolper katisha

Halafu anavyojibebisha hadi aibh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…