tena alihustle sanaa manake huwa hapendi waswahili kabisaa yeye zake ilikua ni wazungu tuu ndio mana hakuweza kukaa na jimmy kabwe , kinje ilikuwa na mambo ya fwedha na jina hapa kwa mr machache ndo kigoma mwisho wa reli pesa ni sabuni ya rohoo!! kwa jinsi namjua wallah kama sio pesa wala asingethubutu kumpa hi huyu babu wee ana nyodo flani na wanaume weusi ila kwa mzee wa machalari kasurrender chezea franga wewe??
na kweli jamaa hataki mchezo unajua alikuwa ashapigwa kibuti na vitu vyake katolewa nje? sema siku chache baadaye akagundua kuwa ama mimba ya mzee ndo ikawa salama yake akarudishwa mjengoni bila ya wambea kujua kama bishost kibuti kilimpitia ashukuru mimba ilimuokoa sana vinginevyo kina mo dewji wangeelea kujisevia.Atulie tu alee ndoa maana mengi hatkagi mchezooo
na kweli jamaa hataki mchezo unajua alikuwa ashapigwa kibuti na vitu vyake katolewa nje? sema siku chache baadaye akagundua kuwa ama mimba ya mzee ndo ikawa salama yake akarudishwa mjengoni bila ya wambea kujua kama bishost kibuti kilimpitia ashukuru mimba ilimuokoa sana vinginevyo kina mo dewji wangeelea kujisevia.
na kweli jamaa hataki mchezo unajua alikuwa ashapigwa kibuti na vitu vyake katolewa nje? sema siku chache baadaye akagundua kuwa ama mimba ya mzee ndo ikawa salama yake akarudishwa mjengoni bila ya wambea kujua kama bishost kibuti kilimpitia ashukuru mimba ilimuokoa sana vinginevyo kina mo dewji wangeelea kujisevia.
Hawezi sema, ila alikuwaga muwindaji classic! unakumbuka ule usemi wa ukienda kariakoo utakutana na wa kariakoo na ukienda kempinsk utakutana na wanene. Sasa bidada enzi hizo most of the time alikuwa anaendaga lunch movenpick yani mara kibao. Mwenyewe ukimuona kauparaa alikuwa anapiga visuti vya kiofisi vikalii na mafaili juu, jamani mujini mipango. Shost wangu huyu simlipuwi bali ndo hivyooo umbea waniwasha babu eeh .
basi mida ya lunch enzi hizo movenpick palikuwa panajaa hatareee wee nguvu yako tuu wangine wanasubiri giza liingie wafanye mitoko ya dinner mwenzenu akha! na ndo alikompatia machache manake mr machache alikuwa hakosekani lunch pale kipindi hicho.
Hata jini kisirani alishatoaga gazeti refuuu kule u turn blog jinsi ya kupata lisamaki likubwa.
EEh jaman roho inapwita, kumbe alifukuzwa? JAman khaaa nilipitwaje mbona angekoma
Duh!zama hizi kutongoza kwa kutumia mashairi ya wimbo wa rangi ya chungwa inakuwa ngumu.
Duh! Yaani Mpwa unanijua kishenzi! Yaani in short ukiona natongoza demu halafu sijawahi kumwamgia mistari fahamu fika kwamba simpendi na sina mpango nae!! Kuhonga ni faradhi na wala sio sunna lakini hata nihonge vipi mashairi yapo pale pale!!! Sitanii mpwa...Ahahahah akina chige ndo wanaweza hayo mashairi, demu wa chige anakoma kwa maneno, sijui kwenye pesa yupo hvyo hvyo
Duh! Yaani Mpwa unanijua kishenzi! Yaani in short ukiona natongoza demu halafu sijawahi kumwamgia mistari fahamu fika kwamba simpendi na sina mpango nae!! Kuhonga ni faradhi na wala sio sunna lakini hata nihonge vipi mashairi yapo pale pale!!! Sitanii mpwa...
Mpwa muulize Heaven on Earth... kuna siku humu humu jamvini nilimwomba tufanye practical experiment fulani hivi... nikamtajia aina ya test tube zitakazotumika kwenye hiyo practical... bwaha eh, wacha atoke nduki... hadi sasa akiniona kwenye uzi hasogei... ndo kwanza ananitishia eti n'na kesi!!Yaliyomo yamo lakini? SIo maneno mengi kumbe engine haifanyi kazi, hahahh ahah natania