Na wanaume siku hizi hawataki mwanamke mchovu.
We nawe kwa kupenda pesa; ahaa! Haya bwana, kwanza hata wanafunzi vyuo vikuu wanapewaga allowance; seuze wewe practical trainee... andaa claim form kabisa bila kusahahu kuambatanisha na payment voucher!
Naona ushatoweka hewani, anyway, sio issue... kesho tukikutana hapa jamvini, jambo la kwanza ni hiyo kesi... nadhani masharti na vigezo vitazingatiwa... hakuna wazee wa baraza wala karani wa mahakama... kesi haitasikilizwa hadharani bali kwenye court chamber!Mapenzi pesa si nilishakwambia.....
Utakuta kila kitu kilishaandaliwa tayari...
Kesi yako bado yakusubiri ujue
Napenda mwenzangu, tumpokeen kwa kweli
Naona ushatoweka hewani, anyway, sio issue... kesho tukikutana hapa jamvini, jambo la kwanza ni hiyo kesi... nadhani masharti na vigezo vitazingatiwa... hakuna wazee wa baraza wala karani wa mahakama... kesi haitasikilizwa hadharani bali kwenye court chamber!
Shoga yako ile gari imeshachukuliwa hebu fanya unitumie no yake nimsitiri asije fukuzwa kwenye hiyo nyumba
Nani huyo tena?
Mwenye pepo la mauti
Hahahaha, gari kanyang'anywa na nani?
We bhana wakati mwingine sijui vp... nimetia timu nikiwa na imani nitakukuta kumbe haupo, aaaaaargh! I hope nikija tena nitakukuta au nitakuta ma-file tayari yapo court chamber! Isije ikawa leo unaingia kama Guest User kwa kuwa tulishakubaliana kuhusu kesho halafu unataka kuleta sound zako !!Nakusubiri court chamber lol..
warumi
Hahahahaaa wazee huwa hawatongozi, ni kutolewa dinner tu na mshiko basi kamaliza.
Msiniulize nimejuaje jama nimewahi kuhadithiwa sound za wazee kama machache zilivyo.