K - Lyn ni mtu wa ku -spend ama kutafuta maisha?

Amen.
 
Mie alivyoolewa nilimtetea sana humu watu walikua wanamsema ni gold digger ..kwa jinsi matukio yanavyokwenda I don't know where i stand... 😳🙄
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
 
Window shopping 🛍 ni lazima utamani kitu/vitu na kutumia kile ambacho hukupanga.

 
Shamim Mwasha alikua anapost vitu unavyovitaka.... leo yuko central siku ya kumi nadhani.. ananyea debe
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…