Amen.Jamii ni social judges,ukiolewa na mtu mzee..
.akafariki uko guilty!....ndivyo ilivyo,
the same kwa wasioolewa,waliozalia nyumbani et
c...…………………………...tunawa label na kuona kama second class citizens hawapaswi kuwa na sauti…
.ila akina Regina no mater how ndoa ya baba yenu iliwaumiza,amezaa na baba yenu,wale ni wadogo zenu...na msiunderestimate the happiness Jack brought to your dad,even though it was short lived...
Mambo ya kukogana yanawapeleka puta dada zetu. Juzi kati binti mmoja kachukua hela zake zote za mshahara na viakiba vyake kaenda Sauzi ili awakoge wapinzani wake wa Instagram na Facebook!
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamoMie alivyoolewa nilimtetea sana humu watu walikua wanamsema ni gold digger ..kwa jinsi matukio yanavyokwenda I don't know where i stand... 😳🙄
Nilikua kazini, nilikutana na mama mmoja yeye ni cleaner. Alinielezs kesho yuko off, nikamuuliza umepanga kuitumiaje off yako. Alinijibu nitalala nikiamka nisafishe nyumba. Mimi nilimjibu kama jua linatoka mimi ninapenda kutembea madukani. Alinijibu yeye huenda madukani akihitaji kununua kitu. Aliendelea kuwa kama huna plan na hela uatajza mavitu wakati nyumba na gari huna.
Sana mkuu, hasa haya mambo ya designer brandWindow shopping 🛍 ni lazima utamani kitu/vitu na kutumia kile ambacho hukupanga.
Mbona kama huyu mama kafanana na mumewe mzee wa msoga au macho yangu??View attachment 1089819
Hili jicho la mama Salma says alot.
Ndoa ikiwa ya kheri mnaishia kufananaMbona kama huyu mama kafanana na mumewe mzee wa msoga au macho yangu??
Mbona ushaenda upande tayari[emoji28][emoji28][emoji28]Mie alivyoolewa nilimtetea sana humu watu walikua wanamsema ni gold digger ..kwa jinsi matukio yanavyokwenda I don't know where i stand... 😳🙄
aiseeee too much on clothes per time aiseeeMmoja nilikutana nae Mlimani City analipia shopping ya nguo million 3 dada aliitoa cash
Nilikuwa sijui aseeh ndo maana naonaga ndoa za wazee wengi wamefanana!Ndoa ikiwa ya kheri mnaishia kufanana
Du hawezi kumsahau mzee Mengi, kupelekwa Paris na Dubai shopping.
Kweli na mbaya zaidi watu hawana hata shobo nae mfiwa
Alinunua mkoba unauzwa milion ngapi vileHuyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
Nimeona kwa Millard Ayo mama Salma hakumpa hata mkono wa pole.Kweli na mbaya zaidi watu hawana hata shobo nae mfiwa
Nimeona kwa Millard Ayo mama Salma hakumpa hata mkono wa pole.
Au ana kijicho kuona mtoto mdogo alikula maisha na Bilionea waliopishana naye miaka!?Nimeona kwa Millard Ayo mama Salma hakumpa hata mkono wa pole.
Anafahamu mengi na ana hasira. Ninaona anapiga picha Jakaya apate miss Tanzania 😂😂Au ana kijicho kuona mtoto mdogo alikula maisha na Bilionea waliopishana naye miaka!?
Umeona eenh!!!Anafahamu mengi na ana hasira. Ninaona anapiga picha Jakaya apate miss Tanzania 😂😂
Du hawezi kumsahau mzee Mengi, kupelekwa Paris na Dubai shopping.
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo