K - Lyn ni mtu wa ku -spend ama kutafuta maisha?

K - Lyn ni mtu wa ku -spend ama kutafuta maisha?

Jamii ni social judges,ukiolewa na mtu mzee..

.akafariki uko guilty!....ndivyo ilivyo,

the same kwa wasioolewa,waliozalia nyumbani et

c...…………………………...tunawa label na kuona kama second class citizens hawapaswi kuwa na sauti…

.ila akina Regina no mater how ndoa ya baba yenu iliwaumiza,amezaa na baba yenu,wale ni wadogo zenu...na msiunderestimate the happiness Jack brought to your dad,even though it was short lived...
Amen.
 
Mie alivyoolewa nilimtetea sana humu watu walikua wanamsema ni gold digger ..kwa jinsi matukio yanavyokwenda I don't know where i stand... 😳🙄
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
 
Window shopping 🛍 ni lazima utamani kitu/vitu na kutumia kile ambacho hukupanga.

Nilikua kazini, nilikutana na mama mmoja yeye ni cleaner. Alinielezs kesho yuko off, nikamuuliza umepanga kuitumiaje off yako. Alinijibu nitalala nikiamka nisafishe nyumba. Mimi nilimjibu kama jua linatoka mimi ninapenda kutembea madukani. Alinijibu yeye huenda madukani akihitaji kununua kitu. Aliendelea kuwa kama huna plan na hela uatajza mavitu wakati nyumba na gari huna.
 
Shamim Mwasha alikua anapost vitu unavyovitaka.... leo yuko central siku ya kumi nadhani.. ananyea debe
Huyo Jack nilimdharau toka nimfollow insta sabab anapost mapicha yaleyale tu ya maslay queen yaan nilitgemea kwa level yake angekua mhamasishaji flani au anapost baadhi ya projects kuhamasisha vijana.... ni mtu wa bata tu nadhani hajabadilika mtazamo
 
Back
Top Bottom