Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usifananishe Modi na Mengi. Hawa ni watu wawili tofauti sana. Kisomi na ucha Mungu. Ukumbuke kuna biti pekee kwa MengiMengi hana Jeuri ya Kumuachia Klyn urithi mdogo hata kidogoo...!! Kwa wale mapacha kama Mondi amemwachia zari nyumba sasa Mengi si ataacha Mabillioni...
Lazima. Sio zote, kama watu wanadhani. Atapata za kula mpaka atakapo kufa, asipo olewa tena.Lazima na yeye atakuwa na fungu lake!!
kwa sa iv ataenda kuurudisha ili apewe hata 130000Milioni 7
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mimi juzi nimefanya shopping ya nguo za 150k Imeniuma kinyama, starudia tena kufanya huo uzwazwa
Mzee Mengi Ana watoto wakumbwa na wenye akili sana. Familia wakikaa na Mungu mambo yatakuwa mazuri tu.Kuna mtu anaitwa Abdieli anaonekana kichwa sanaunategemea mijihela yote atafanyia nini bado rambirambi,huyu dada ana nyota ya pesa,
Mkuu believe huyu atakuchukuliwa na mabosire wengine wenye pesa