Kaa mbali na Mwanamke asiyejua kuandika jina lake kwa usahihi

Kaa mbali na Mwanamke asiyejua kuandika jina lake kwa usahihi

Kaa mbali sana na mwanamke anayeandika jina lake kwa staili hii akiamini amelipatia

- Mtu anaitwa Lilian yeye anajiandika Lilyan/Liliani au Lylyany.

- Janeth yeye anaandika Janethi/Janeti/Janethy

- Mary au Maria yeye anaandika Marry/Merri/Meli/Malia

- Priscilla/Priscillah anaandika Prisila/Pilisila/Plisla

- Mariam yeye anaandika Maryam/Mariamu/Maliam/Malyam

Watu dizaini hii mara nyingi wana uelewa (IQ) mdogo sana ama wa kurithi au wa wao wenyewe kukosa shule au exposure ya kutosha na ukikomaa naye labda kwa sababu ana kalio la kuvunja chaga basi lazima mtasumbuana tu hapo mbeleni.

Chukua hii utakuja kunishukuru.
Nikiwa km mchambuzi mkuu,
Nimejaribu kuyatizama haya majina huko Facebook ambayo inasadikika kuwa sio sahihi, lkn nimekuta mamia ya watu wanayatumia ndani na nje ya Africa!
Sasa bas" ili kuepuka sintofaham, unatakiwa kuzipitisha threads zako kwangu kwanza ili nizithibishe kuwa ziko sawa au lah!.
Ahsante.
 
Kuna wale wanaandika lugha kama hizi:
  • xaxa, vipix mambox
  • mekula, melala,meshiba
  • ukimuuliza mambo anakujibu p.

Hao nao tuwafanyaje ?🐒
 
Demu asiyeweza kushika namba yake ya simu kichwani.
 
Kuna wale wanaandika lugha kama hizi:
  • xaxa, vipix mambox
  • mekula, melala,meshiba
  • ukimuuliza mambo anakujibu p.

Hao nao tuwafanyaje ?🐒
Haahaa hawa nao ni majanga
 
Back
Top Bottom