Kaa na ujenge nami

Pambana kaka pambana sanaaa tutatoboa
 
Nikupe hongera lakini ngoja nikuulize kitu mbona unachafua mazingira
 
Hongera sana. Kujenga ni heshima mjini. Hata ukikosa kipato au luku ikaisha hakuna wa kukuambia kitu! Utapanda matembele na mchicha hukosi mboga au utafuga Bata hukosi kitoweo!
mkuu lile jambo letu vipi,
 
Mie nilitumia mawe kujenga shimo , fundi alitumia fumo wa kupanga mawe bila cement kisha anafunga mkanda baada ya kozi . aliweka kozi 5 na mawe trip 9 zilitumika . kufunika alitumia ndondo 18 , 12mm. Ni very strong sana.
 
Mie nilitumia mawe kujenga shimo , fundi alitumia fumo wa kupanga mawe bila cement kisha anafunga mkanda baada ya kozi . aliweka kozi 5 na mawe trip 9 zilitumika . kufunika alitumia ndondo 18 , 12mm. Ni very strong sana.
Wapi huko jamani? Mwanza ama
 
Mh tofari nchi 6 kwa 1200, seriously? .huku kwetu nchi 6 no 1700 kwa ratio ya 30 Hadi 32
 
Wapi huko mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…