Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Yaaani unaamini kuwa Ben Saanane yu hai?
Kweli mwaka 2025 vichaa wameongezeka!
Kweli mwaka 2025 vichaa wameongezeka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....and might be the smartest move ever.Atawaambia "nilifanya makusudi ili waachiliwe na dola warudi mtaani"
nani huyo aliyemuuaSasa Kama Jiwe alimpiga mwanae wa kumzaa hadi kifo unategemea Azory na Saanane wawe hai ?
Sio hivyo tu naskia hata mkewe ashawahi kumbebesha kifusi cha mchanga.Sasa Kama Jiwe alimpiga mwanae wa kumzaa hadi kifo unategemea Azory na Saanane wawe hai ?
Namsikiliza hapa, the guy is well informed. Anajua anachosema na alichoandikaErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Very very smart....and might be the smartest move ever.
Msikilize Kabendera ujue ni MTU wa Aina gani, sio mwandishi KanjanjaErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Hahahaha alisemaje kumbe??Kuna na ile interview ya profesa wa jalalani na Har talk ya BBC, ni kama ulimi uliteleza kumuhusu Azory vile? Anyway, Mungu anajua
NakaziaWarudisheni sasa hao watu ili mjisafishe
Tofauti yako na Lucas Mwashambwa ni moja tu, wewe unafangasi ubongoni yeye ana ukurutu ubongoniErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
I tell you from vivid source .... Sjui kuhusu Ben but azori hatakuja kuonekana hapa dunian....Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Nchi kurudi upya kama zamani ni ngumu sana. Maana hata mama naye anawajaza wavaa makobazi na kupendelea visiwani. Yaani kila tenda anawapa waarabu, kuanzia Serengeti, KIA mpaka Bandari na TISS wapo. Teuzi za ajabu mpaka unashangaa ? Magu aliwafanya binamu zake kina Biteko wawe na nguvu hadi akawapa Uwaziri. Mama amewaweka watoto wake na familia. Mara ya kwanza Tanzania mkwe kapewa uwaziri. Hata kikwete aliogopa kuweka ndugu japo alipendelea washikaji wake. Anaekuja ata-refer kwa rais aliyepita ni mwendo ule ule.Sio hivyo tu naskia hata mkewe ashawahi kumbebesha kifusi cha mchanga.
Niliamini nchi hii TISS imekufa pale jiwe alivyoweza kuwa Rais. Tunaishi kwa kudra za mwenyezi Mungu Watanzania
Ataita media ile ile aliyotumia na kuomba masamaha lakini pia ataomba radhi na kuandika kitabu kingine kwa Jina la Lies in the name of the President = memories of the jailed Journalist.Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Ila kuaminika na uhakika ni vitu viwili tofauti...ukisema una ushahidi wa kuaminika na ukisema una ushahidi wa uhakika ni tofauti ahahahaLabda vyanzo vyake ni vya kuaminika.
Haa haa ha; hapana kaka, tuyache tuHahahaha alisemaje kumbe??
Siyo mpaka hao jamaa warejee, hata Sasa hivi ni muongo nambari moja Kwa upande wa Tanzania.Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Yoda yupo more logical. Mwashambwa yeye ni mwanasiasa..Tofauti yako na Lucas Mwashambwa ni moja tu, wewe unafangasi ubongoni yeye ana ukurutu ubongoni