Kabendera amechukua "risk" iliyopitiliza. Atawaambia nini watu endapo Ben Saanane au Azory Gwanda watarejea uraiani?

Kabendera amechukua "risk" iliyopitiliza. Atawaambia nini watu endapo Ben Saanane au Azory Gwanda watarejea uraiani?

Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Kwamba unategemea kuna siku watarudi uraiani au sio?
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
warudi kutoka wapi? muwe na huruma wapumzisheni wafiwa
 
Unajuaje hawajafa na wanaweza kurejea uraiani?
Mimi sijui kama hawajafa au wamekufa, Ni nguma kupata uhakika kwa 100% pia kama anayosema Kabendera ni kweli.
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Namuamini sana Kabendera kuliko serikali ya CCM na watu wake
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Kabendra ni muandishi wa habari za kiuchunguzi amejirizisha kama ni kweli
 
Mimi sijui kama hawajafa au wamekufa, Ni nguma kupata uhakika kwa 100% pia kama anayosema Kabendera ni kweli.
Ni ngumu kupata uhakika wa 100% kwamba hutakufa siku yoyote ile.

Je, hilo linamaanisha usiamke kitandani?
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Hana cha kupoteza huyo agent wa M15, CIA. Amehakikishiwa maslahi, ulinzi, nyumba, pesa kwa kazi iliyotukuka alioifanya kupigania maslahi ya USA na UK.

Ataendelea na kampeni yake ya kumchafua JPM na yoyote anayepigania kwa nguvu zote maslahi ya Taifa hili.
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Kama hamuysjui yaliyopo nyuma ya pazia basi bora kunyamaza, ishu ya Utete na Ikwiriri ilikuwa nzito na ilitakiwa maamuzi mazito. Swali huyo Azory Gwanda alikuwa anaripoti kwa nani?
 
Huwaga nahisi system zina joka mahalii kama chatu linameza watu unapotea bila trace yoyote...!
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Kilaza ktk ubora wako
 
Mkuu kitu mpaka kinachapishwa kitabuni sio masihara unless unafanya spinning au kuna habari unataka kutwambia

Kwa sasa unaweza i quote chochote kwenye hicho kitabu na usihojiwe popote ..

Kwa Mujibu wa Kabendera, alikuwa na ushahidi wa kutosha kutoka source mbali mbali alikiwa anaongea mpaka na 'majenerali' wa jeshi wastaafu.

Lakini zaidi anasema ana wanasheria zaidi ya 20 wa ndani na nje ya nchi ambao wame approve kitabu kichapishwe na kiuzwa kwa matumizi ya Umma
Nimesikiliza ile interview yake huko youtube, ni wazi jamaa hajakurupuka. Anyway, wacha tuone...
 
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.

Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Hahaha! Umenifanya nicheke kwakweli. Muda ni msema ukweli. Hivi Kabendera anaweza kusema hao jamaa wamekufa ikiwa hana ushahidi kabisa wa kutosha kwamba wamekufa? Wakiwa hai itabidi apewe adhabu ambayo haijawahi kutokea
 
Hahaha! Umenifanya nicheke kwakweli. Muda ni msema ukweli. Hivi Kabendera anaweza kusema hao jamaa wamekufa ikiwa hana ushahidi kabisa wa kutosha kwamba wamekufa? Wakiwa hai itabidi apewe adhabu ambayo haijawahi kutokea
Logic tu inakwambia wamekufa tayari hao mkuu hakuna mtu wakukufuga miaka 3 sijuii kama ni watu wabaya wamekushika wakiishi na wew muda mrefu siku 3.
 
Kuna jamaa kule Iraqi alipotea kwa miaka 25, amekutwa kwenye gereza mojawapo nchini Syria, Assad alipopinduliwa.
 
Back
Top Bottom