Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hujathibitisha.Relax my friend and keep on learning.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujathibitisha.Relax my friend and keep on learning.
Lini watarejea?....Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Hata serikali kupitia waziri wa mambo ya nje wa wakati ule, Palamagamba Kabudi iliwahi kukiri kuwa Azory Gwanda alikwishafariki..Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi
Ndiyo naamini alishakufa na aliuwawa na jiwe kwa mikono yakeWewe unaamini kwa 100% kabisa Ben Saanane amekufa?
Upatikane leo? Mzee mwaka huu umekuwa kichaa nini?Hata kama wamekufa, vipi mwili wa Ben ukipatikana lakini bila jeraha la risasi?
Ina maana katupa jiwe gizani? Lakini tunavuna tunacho kipanda Ndiyo madhala ya kuchelewa kwa majibu ya maswali jamii, CCM wanaunda tume nyuma ya mikamera Lakini majibu nyuma ya paziaErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Kama Yericko N. alichapisha makala za H. Hanga kama yeye ndiye muandaaji wa Makala Seuze kudurufu makala za kupika!Mkuu kitu mpaka kinachapishwa kitabuni sio masihara unless unafanya spinning au kuna habari unataka kutwambia
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Anaweza kua Muongo kupitiliza, lkn hawezi kumpita katelephone, Yule bwana ilitakiwa apewe tuzo yakeErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Atapeleka lawama zote kwa hao informers wakeIkitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
" Cloning" ni aghali mno, ijapokuwa inaweza kumtengeneza mtu "identical" na yule aliye halisia. Lakini ni rahisi kwa wa karibu kumshtukia mtu aliyekuwa "cloned"Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Endapo atarudi Tanzania anastahili kushitakiwa kwa kuichafua nchi.Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.