Mimi sijui.lakini alivyosema kabendera kuwa alipigwa risasi na magufuli mwenyewe haiingii akilini kabisa.
..Kabendera anadai Magufuli alipandwa hasira aka-loose control na kumpiga risasi Ben Saanane. Pia anadai Magufuli alijutia tukio la kumpiga risasi na kumuua Ben Saanane.