Kabila Joseph ulingoni tena kwenye siasa za uwazi za Congo DR.Hii imekaaje kwa mustakabali wa taifa hili chini ya utawala mpya wa Rais Tshekedi?

hapa
mimi ndo huwa sielewi kabisa hivi rais wa nchi analalaje usingizi mwonono huku akijua sehemu ya nchi yake haitawali?
 
Huyu Kabila yale yaliyomkuta baba yake ndio yatakuja kumkuta kwani ana tamaa sana ya madaraka na wacongomani wanafahamu vyema kuwa yeye ni mtu wa kuja tu.
 
Tokea kabila anaunda serikali ya mseto Fatshi alionekana loyal pekee kati ya wapinzani wengine. Nadhani akamuona ni lesser devil kuliko kuwaachia kina Fayulu/Katumbi et al.

Wanasema kinyago ulichotengeneza mwenyewe hakiwezi kukutisha!!
 
Kma yupo funded na mabeberu au yule jamaa wa jirani kwanini atumie waasi ilihali alikua na majeshi yote ya kumsaidia kuchota anachotaka?

Kikubwa zaidi anatumia waasi wa jamii ya kilendu na sio wale waliokuwa wanawatumia zamani wahema (Jamii ya Kitutsi) kweli Yule jirani adhamini vikundi vya wabantu na kuacha vya kitutsi??

Kuna vitu havijakaa sawa hapa, nadhani ni movie kali inachezwa
 
Ningekuwa Tshekedi, ningeshughulika na microphone anayotumia kabila bungeni, pia kiti anachokalia bungeni ningekifanyia mambo. Yani Mimi Rais alafu mtu anitishe hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii??
 
Mkimchagua magufuli basi ndugai anaenda kufanya maajabu ya usikteta nchi hii lkn mkimchagua Tundu Lissu basi ndugai atatenguliwa hata ubunge wake maana Lissu haamini mtu kuwakilisha wananchi ambao hawajakuchagua....
 
Hizi katiba zilizoandikwa na nchi za ulaya ni za kutunza wanasiasa badala ya kuhudumia wananchi.
Si wanajua kuwa watawahitaji kwa matumizi ya baadae!!!
Nadhan hiz nchi ambazo tuliachiwa uhuru bila fujo, inawezekana kuna some sorts of agreements tuliafikiana na wakoloni kiroho safi like we have to be paying some dews kila muda fulani then wao wakajiweka kando kuendelea na mambo mengine.

Kuna clip flan acha niitafute nikupandishie hapa, kuna mama mmoja msomi (nadhan ni m senegal) anapiga kelele namna nchi yao inalipa pesa nyingi kwa mwaka kwa aliekuwa mkoloni wao (france kama sikosei)
 
Sawa Sawa!!!ningekuwa Mimi,siku akienda hospitali kutibiwa,harudi tena.Zizi Moja madume mawili.noo
Kwakua na yeye ana experience ya kuwaondoa watu kwa namna moja au nyingine , am sure hiz ni mbinu ndogo sanaa ambazo hata yy tayar ana precaution dhidi yazo
 
Ningekuwa Tshekedi, ningeshughulika na microphone anayotumia kabila bungeni, pia kiti anachokalia bungeni ningekifanyia mambo. Yani Mimi Rais alafu mtu anitishe hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii??
Kumbuka huyu jamaa ame serve kama mwanajeshi pale congo pia ameshakua sponsor wa "tiss" yao kwa miaka mingi huoni kama hiz ni issue ambazo anazijua nje ndani maana mara nying mbinu huwa hazibadilik sana kiviiilee
 
Asubiri kulinywa. Atapigwa risasi kama Baba yake.
 
Mkimchagua magufuli basi ndugai anaenda kufanya maajabu ya usikteta nchi hii lkn mkimchagua Tundu Lissu basi ndugai atatenguliwa hata ubunge wake maana Lissu haamini mtu kuwakilisha wananchi ambao hawajakuchagua....
Kote kote hakueleweki mkuu, Lissu naye ana shaka(mashaka) zake zinazoondoa matumaini hasa ukizingatia ukaribu uliopo kati yake na mataifa ya nje.
Rejea ziara zake na mikutano katika mataifa ya ulaya na marekani.
Na Magufuli naye upande wa bunge na spika Ndugai nako kuna giza tupu. Kitendo cha spika kuondolewa kinga ni hatari sana hasa ukipata spika asiye na busara.
 
Duuu.... Sio kwamba ccm na magufuli ndo wenye ukaribu na mataifa ya nje..... Mbona mikataba ya madini yote wamesainiana nao. Mbona ndege zimenunuliwa canada kwa usiri mkubwa.....
Sasa lissu kaifanya kitu gani mkuu mbona km tunajitoa ufahamu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…