ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
SeyuuHabarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SeyuuHabarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Oooh[emoji23][emoji23][emoji23]Mwenyewe najua kidogo.
Ila nimesema naomba namba ya simu.
Lugha za kaskazini karibia zote najua jua...
Hawaui......uspokaa chonjo wanakuchukulia mtu wakoWanaua au
Jitahidi ujue kikwenu mkuu...Haidoma
Sema mi muiraq wa town
Najuaga mpaka hapo tuu
Mkuu ndo maana nkaandaa haka kauzi.Jitahidi ujue kikwenu mkuu...
Town sio tatizo. Ukiambiwa watu wengine wamekulia central halafu lugha zinapanda utashangaa.
Napenda kujua lugha nyingi saana ni raha pia. Hata kama uliishi mazingira yasiyozungumzwa hiyo lugha ila ungejitahidi hata shuleni kuongea na wenzako.
Idoma?Sayuu
Mimi garma aisee
IdoriiiiiiiAidomaaaa
Garmaæ kuninaaaWewe ni Desiri au Garmaæ kwanza nataka nijuê... khaë
Mimi nabaki hapa kuwasubiria dada zako tu mkuu.
Saita...
Huyo mwenye shati jeupe hapo kwenye avatar yako mbona kama namjuasasa hii si iko kwa avator inaonekana kila siku mkuu, lete ingine bana ikiwezekana tusilimu kabila maana hakuna namna sasa