Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
inaandikwa wairaqw mpendwa,,saitah
Eti hawa raia nao ni watz kama wale wabeba fito wangu...not fair at all
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaandikwa wairaqw mpendwa,,saitah
Eti hawa raia nao ni watz kama wale wabeba fito wangu...not fair at all
WrongWambulu wao wanaongea kwa kusita ila wairaki wanachanganyia kama mandolin
AidomaaaSayuu...
Wrong
Watz mix wasomaliMbona u mzuri hivi asee...hivi na nyie mnajiita watz?
Watz mix wasomali
Ila nyie wazuri saana bwana.wairaqw ni watanzania halisi,origin yao ilikuwa kwa wahabesha wa ethiopia
Kwa hiyo babu mimi na uzee huu nadanganya?Wrong
Ila nyie wazuri saana bwana.
Kwa hiyo babu mimi na uzee huu nadanganya?
(I know)
ni kama umuite msukuma mmwanza au mtabora badala ya asili yakeWairaqw ni waraiqw na hawapendi kuitwa wambulu....utanunua ugomvi ukiwaita hivyo
Me nachojua wairaq ndo hao hao wambulu na wanaongea kitu kimojaIla nyie wazuri saana bwana.
Kwa hiyo babu mimi na uzee huu nadanganya?
(I know)
Ila ndo hao hao wanasema mbulu wilaya kabila ndo wairaq ila wanapatikana mbuluuWairaqw ni waraiqw na hawapendi kuitwa wambulu....utanunua ugomvi ukiwaita hivyo
hahahaha fito tenamkuu, hawa raia wapo vizuri sana....tutabanana hapa hapa...uchagani nitaenda nikitaka fito za uzio.
Ila nyie wazuri saana bwana.
lol ni wajomba zangu but ntawajibia,,uzuri ni subjective inategemea wapenda nini kwa mwanamke
Upo sahihi mpendwa niliamua kumchanganya muuliza swali tu.Me nachojua wairaq ndo hao hao wambulu na wanaongea kitu kimoja
Habarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Mimi nabaki hapa kuwasubiria dada zako tu mkuu.
Saita...
Hata majimengi, nimemsikia hivyo hivyo!
Ila ndo hao hao wanasema mbulu wilaya kabila ndo wairaq ila wanapatikana mbuluu
hahahaha fito tena