miss gisenyi
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 699
- 496
haya mpendwaNaomba nisijibu hapa. Ila jua kuna wanawake wazuri na wa kawaida kawaida. [emoji40][emoji40]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya mpendwaNaomba nisijibu hapa. Ila jua kuna wanawake wazuri na wa kawaida kawaida. [emoji40][emoji40]
Kuna msemo pale Karatu wanasema guest nyingi kuliko nyumba za kuishi.Yes wanapatikana Mbulu na Karatu....yaani ukipita Endamarariek...Bashay, Kambi ya nyoka, Hydom, Mang'ola ndio mahali pao pa kujidai...
Habarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Katesh, hanang',bbt, bashinet, mang'ola etcYes wanapatikana Mbulu na Karatu....yaani ukipita Endamarariek...Bashay, Kambi ya nyoka, Hydom, Mang'ola ndio mahali pao pa kujidai...
Kuna msemo pale Karatu wanasema guest nyingi kuliko nyumba za kuishi.
Anzia kwa sulle Miami yote ile aseeh hawa madesiri waache tu.
Katesh, hanang',bbt, bashinet, mang'ola etc
mkuu mimi huo utani wa ngumi sihusiki aiseeTukutane mgombani kukata fito jombaaa
Desi kahohoooSaitaaa
Eeeh nasubiria pengine pakufuatiaWairaki=wairaqw tuanzie hapa
Hahahaha we subiri tuEeeh nasubiria pengine pakufuatia
Sio vizuri desiri..yaani nisubiri tu! Unamaana ganiHahahaha we subiri tu
Umesahau mkuu na nyie ni wanafiki,wambeya,waongo,wafitini,na uzuri wote ni wenu makabila mengine ni wabaya,mmesahau kuwa hamkutokea hapa?ukifanya kazi na hili kabila ni shida sana tena nyie ni wakabila na watu wabaya kabisa!Habarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Mung'u nani?Seyuu
Duuuh mbona mimi hizo tabia sina mkuuUmesahau mkuu na nyie ni wanafiki,wambeya,waongo,wafitini,na uzuri wote ni wenu makabila mengine ni wabaya,mmesahau kuwa hamkutokea hapa?ukifanya kazi na hili kabila ni shida sana tena nyie ni wakabila na watu wabaya kabisa!
[emoji15] mmmmmmh ndugu yangu!!! una ugomvi nao nn??Umesahau mkuu na nyie ni wanafiki,wambeya,waongo,wafitini,na uzuri wote ni wenu makabila mengine ni wabaya,mmesahau kuwa hamkutokea hapa?ukifanya kazi na hili kabila ni shida sana tena nyie ni wakabila na watu wabaya kabisa!