Kabila lako limetoa mtu gani maarufu?

"Moyo unatamani nimtaje "Bashiru "ila uso na nafsi vinaona aibu sana , basi bwana dada zetu wa sokota , magomeni, Sudan na Ohio pale posta , naona wanatuwakilisha japo kwa uchafu ila ni maarufu sana ., bora hao kuliko wanasiasa waliosahau kwetu kabisa mpaka aibu kupataja.
"Dah munganyire obwigusi bojo "
 
Rick Ross .....alikuwa anaitwa Erick mwalyosi

Mwaka Trump

Mwaputin

Mwabiden

Prof. Mwandosya

Mwakyembe

Rayvany mwakyusa

Mwaitege

Mwakamala......aka Kamala haris makamu wa biden
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…