Kabila lako limetoa mtu gani maarufu?

Kabila lako limetoa mtu gani maarufu?

"Moyo unatamani nimtaje "Bashiru "ila uso na nafsi vinaona aibu sana , basi bwana dada zetu wa sokota , magomeni, Sudan na Ohio pale posta , naona wanatuwakilisha japo kwa uchafu ila ni maarufu sana ., bora hao kuliko wanasiasa waliosahau kwetu kabisa mpaka aibu kupataja.
"Dah munganyire obwigusi bojo "
 
Rick Ross .....alikuwa anaitwa Erick mwalyosi

Mwaka Trump

Mwaputin

Mwabiden

Prof. Mwandosya

Mwakyembe

Rayvany mwakyusa

Mwaitege

Mwakamala......aka Kamala haris makamu wa biden
 
Back
Top Bottom