Waliotaka kumpa sumu Mangula kama unawafahamu nenda polisi katoe ushahidi wako ili wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
Waliompiga Lisu risasi chadema na dereva wa Lisu wanaijua hiyo ishu ndio maana wamemficha dereva ili asije akakamatwa akahojiwa na baadae wahusika kujulikana, mpaka hapa hakuna ubishi kuwa ishu ya Lisu imekaa kichama zaidi ndio maana Mbowe na genge lake walikimbilia kumficha dereva.
Kuhusu raisi Samia ki ukweli alijitahidi kuonesha utu wa kutaka kushirikiana na wapinzani, lkn wapinzani wa Tanzania hawana utu. Wameitumia nia hiyo ya mama kujaribu kumkwamisha kwa kuanzisha mambo yasiokuwa na tija, mara operetion haki, mara tutamnyoa na wembe tulionyolea mtangulizi wake, mara wapange maandamano ambayo hata hivyo jeshi la polisi lilipiga marufuku, mara sijui walazimishe katiba nk.