Kabla hatujaingia barabarani kuandamana leo tarehe 24 Januari hebu tutafakari jambo hili

Kabla hatujaingia barabarani kuandamana leo tarehe 24 Januari hebu tutafakari jambo hili

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo.

So far viongozi wa ngazi ya juu CHADEMA waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi hazitabadilishwa.

Sheria jazijabadilishwa na rough kubwa zaidi zilifanyika.

Tuliona jinsi watu walivyopita bila kupingwa.

Lakini viongozi wakubwa ambao mostly waligombea ubunge waliendelea na uchaguzi.

Binafsi niliona kuwa uchu wa nyadhifa ndio uliwafanya viongozi wale wakiongozwa na Mbowe kushindwa kususia uchaguzi ule wa 2020 . Waliamini labda wataokota viti na kula mema ya nchi.

Ikawa kinyume chake wengi au wote wakapumzishwa siasa.

Sasa kwanini Tanzania yenye Mambo mengi mazito ambayo viongozi hawa wanahubiri majukwaani tusiandamane kwa hayo badala yake wanakimbilia kupinga Sheria mpya ya uchaguzi inayotarajiwa kutumika kwenye uchaguzi mkuu 2025?

Kwanini tuandamane kwa kukemea dhambi ndogo kabla ya kubwa?

Hii maana yake ni kwamba viongozi wa upinzani wapo kwa ajili ya kusaka vyeo (ubunge).

Mimi siandamani. Labda maandamano yangehusu katiba mpya, kushinikiza afya bure, au maji bure n.k
 
UVCCM mnateseka sana. Kwa kuwa wewe chawa huandamani unataka wote wasiandamane?

Hakuna mabadiliko yanayoletwa na wote kwa pamoja.

Baadhi wenye maono na hekima watajitoa kuonyesha njia, halafu wengine kama wewe wataelewa baadaye
 
So far viongozi wa ngazi ya juu CDM waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi .
Kuwasusia nyani shamba la mahindi siyo suluhisho. Watakula na kumaliza yote
 
Waache watu waandamane. Kama huandamani inakuuma nini kuona wenzako wanaandamana?
 
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo.

So far viongozi wa ngazi ya juu CHADEMA waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi hazitabadilishwa.

Sheria jazijabadilishwa na rough kubwa zaidi zilifanyika.

Tuliona jinsi watu walivyopita bila kupingwa.

Lakini viongozi wakubwa ambao mostly waligombea ubunge waliendelea na uchaguzi.

Binafsi niliona kuwa uchu wa nyadhifa ndio uliwafanya viongozi wale wakiongozwa na Mbowe kushindwa kususia uchaguzi ule wa 2020 . Waliamini labda wataokota viti na kula mema ya nchi.

Ikawa kinyume chake wengi au wote wakapumzishwa siasa.

Sasa kwanini Tanzania yenye Mambo mengi mazito ambayo viongozi hawa wanahubiri majukwaani tusiandamane kwa hayo badala yake wanakimbilia kupinga Sheria mpya ya uchaguzi inayotarajiwa kutumika kwenye uchaguzi mkuu 2025?

Kwanini tuandamane kwa kukemea dhambi ndogo kabla ya kubwa?

Hii maana yake ni kwamba viongozi wa upinzani wapo kwa ajili ya kusaka vyeo (ubunge).

Mimi siandamani. Labda maandamano yangehusu katiba mpya, kushinikiza afya bure, au maji bure n.k
Vyote vipo wee njoo kila kitu utakikuta kwenye maandamano na kila mtu aje na kero yake, yako tumeisikia.
 
Maandamano ya lenga mambo mawili

Hali ya ugum wa maish
Na sheria ya uchagz / katba
 
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo.

So far viongozi wa ngazi ya juu CHADEMA waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi hazitabadilishwa.

Sheria jazijabadilishwa na rough kubwa zaidi zilifanyika.

Tuliona jinsi watu walivyopita bila kupingwa.

Lakini viongozi wakubwa ambao mostly waligombea ubunge waliendelea na uchaguzi.

Binafsi niliona kuwa uchu wa nyadhifa ndio uliwafanya viongozi wale wakiongozwa na Mbowe kushindwa kususia uchaguzi ule wa 2020 . Waliamini labda wataokota viti na kula mema ya nchi.

Ikawa kinyume chake wengi au wote wakapumzishwa siasa.

Sasa kwanini Tanzania yenye Mambo mengi mazito ambayo viongozi hawa wanahubiri majukwaani tusiandamane kwa hayo badala yake wanakimbilia kupinga Sheria mpya ya uchaguzi inayotarajiwa kutumika kwenye uchaguzi mkuu 2025?

Kwanini tuandamane kwa kukemea dhambi ndogo kabla ya kubwa?

Hii maana yake ni kwamba viongozi wa upinzani wapo kwa ajili ya kusaka vyeo (ubunge).

Mimi siandamani. Labda maandamano yangehusu katiba mpya, kushinikiza afya bure, au maji bure n.k
Mnampa uhalali Mbowe na familia ya ukweni kuendekea kula ruzuku nyie mazezeta!
 
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo.

So far viongozi wa ngazi ya juu CHADEMA waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi hazitabadilishwa.

Sheria jazijabadilishwa na rough kubwa zaidi zilifanyika.

Tuliona jinsi watu walivyopita bila kupingwa.

Lakini viongozi wakubwa ambao mostly waligombea ubunge waliendelea na uchaguzi.

Binafsi niliona kuwa uchu wa nyadhifa ndio uliwafanya viongozi wale wakiongozwa na Mbowe kushindwa kususia uchaguzi ule wa 2020 . Waliamini labda wataokota viti na kula mema ya nchi.

Ikawa kinyume chake wengi au wote wakapumzishwa siasa.

Sasa kwanini Tanzania yenye Mambo mengi mazito ambayo viongozi hawa wanahubiri majukwaani tusiandamane kwa hayo badala yake wanakimbilia kupinga Sheria mpya ya uchaguzi inayotarajiwa kutumika kwenye uchaguzi mkuu 2025?

Kwanini tuandamane kwa kukemea dhambi ndogo kabla ya kubwa?

Hii maana yake ni kwamba viongozi wa upinzani wapo kwa ajili ya kusaka vyeo (ubunge).

Mimi siandamani. Labda maandamano yangehusu katiba mpya, kushinikiza afya bure, au maji bure n.k
Watanzania ujinga utawaangamiza, kuna mengi mno ya kuandamana acha ujinga, uvivu na woga!
 
UVCCM kaeni kwa kutulia tu. Haya nii maandamano ya chadema na wananchi wote.
 
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo.

So far viongozi wa ngazi ya juu CHADEMA waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi hazitabadilishwa.

Sheria jazijabadilishwa na rough kubwa zaidi zilifanyika.

Tuliona jinsi watu walivyopita bila kupingwa.

Lakini viongozi wakubwa ambao mostly waligombea ubunge waliendelea na uchaguzi.

Binafsi niliona kuwa uchu wa nyadhifa ndio uliwafanya viongozi wale wakiongozwa na Mbowe kushindwa kususia uchaguzi ule wa 2020 . Waliamini labda wataokota viti na kula mema ya nchi.

Ikawa kinyume chake wengi au wote wakapumzishwa siasa.

Sasa kwanini Tanzania yenye Mambo mengi mazito ambayo viongozi hawa wanahubiri majukwaani tusiandamane kwa hayo badala yake wanakimbilia kupinga Sheria mpya ya uchaguzi inayotarajiwa kutumika kwenye uchaguzi mkuu 2025?

Kwanini tuandamane kwa kukemea dhambi ndogo kabla ya kubwa?

Hii maana yake ni kwamba viongozi wa upinzani wapo kwa ajili ya kusaka vyeo (ubunge).

Mimi siandamani. Labda maandamano yangehusu katiba mpya, kushinikiza afya bure, au maji bure n.k
Bado hujasema
 
2019 Ulifanyika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Rough za wazi kabisa zilijitokeza. Maamuzi ya chama kikuu cha upinzani (CHADEMA) yalikuwa ni kususia uchaguzi ule. Yes , ikawa hivyo.

So far viongozi wa ngazi ya juu CHADEMA waliahidi kutokushiriki uchaguzi mkuu wa 2020 endapo kasoro kama zile au baadhi ya Sheria za uchaguzi hazitabadilishwa.

Sheria jazijabadilishwa na rough kubwa zaidi zilifanyika.

Tuliona jinsi watu walivyopita bila kupingwa.

Lakini viongozi wakubwa ambao mostly waligombea ubunge waliendelea na uchaguzi.

Binafsi niliona kuwa uchu wa nyadhifa ndio uliwafanya viongozi wale wakiongozwa na Mbowe kushindwa kususia uchaguzi ule wa 2020 . Waliamini labda wataokota viti na kula mema ya nchi.

Ikawa kinyume chake wengi au wote wakapumzishwa siasa.

Sasa kwanini Tanzania yenye Mambo mengi mazito ambayo viongozi hawa wanahubiri majukwaani tusiandamane kwa hayo badala yake wanakimbilia kupinga Sheria mpya ya uchaguzi inayotarajiwa kutumika kwenye uchaguzi mkuu 2025?

Kwanini tuandamane kwa kukemea dhambi ndogo kabla ya kubwa?

Hii maana yake ni kwamba viongozi wa upinzani wapo kwa ajili ya kusaka vyeo (ubunge).

Mimi siandamani. Labda maandamano yangehusu katiba mpya, kushinikiza afya bure, au maji bure n.k


Bila katiba mwendo wa nchi hauwezi kwenda kwa haraka. Tanzania sheria za sasa ziko nyuma kuanzia sheria za Ardhi, diaspora, umiliki wa mali etc. kuna nchi gani imeendelea mtu wa nje hawezi kumiliki nyumba🤔 hakuna nchi ya maana ina sheria za ajabu kama Tanzania.
 
Back
Top Bottom