Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi si wangeolewa tu na hao wanaohisi ndo wanawapenda sana? Kwani kuumiza hivyo watu wengine? Ndo unakuja kusikia mume amechinja mke na watoto..Mie nawafahamu kama watatu walioolewa na wasiowapenda waume zao na hata watoto hawajazaa nao, wamezaa na wengine hukooo. Najiulizaga wanaolewa ili iweje bado sijapata majibu.
Pesa mama.Hivi si wangeolewa tu na hao wanaohisi ndo wanawapenda sana? Kwani kuumiza hivyo watu wengine? Ndo unakuja kusikia mume amechinja mke na watoto..
Ndo wachaguage kimoja sasa ambacho hawawezi kuishi bila hicho. Mtaka yote kwa pupa......Pesa mama.
Sitafanya hii kitu aseehh!!!kama sikupendi nakuachaMie nawafahamu kama watatu walioolewa na wasiowapenda waume zao na hata watoto hawajazaa nao, wamezaa na wengine hukooo. Najiulizaga wanaolewa ili iweje bado sijapata majibu.
Hivi si wangeolewa tu na hao wanaohisi ndo wanawapenda sana? Kwani kuumiza hivyo watu wengine? Ndo unakuja kusikia mume amechinja mke na watoto..
Too much kaahh!!!huyo Dada ana laana aseehHata yeye anajua ex wake atataka amlale tu yaishe ila anampenda ex wake kama kitu gani. Imagine aligonga gari wakati tunaondoka tulipokuwepo badala ampigie mumewe amuambie akampigia simu ex wake eti bby nimegonga gari. Hapo mume kapiga simu kama 100 anazimute hajisikii kuongea nae
Inasikitisha nshakutana na Dada mmoja nae muda kidogo kama 11 nyuma alishatuambiaga tusiolewe kwa kulipa fadhila yeye anajuta sana kufanya hyo mistake hampendi mmewe hata kidogo
Aisee pole yao, maana kuishi na mtu usiyempenda ilhali nje kuna mtu unayehisi unampenda zaidi; ni mtihani si kidogo. Yani bora umuache tu, hakuna ndoa ya kumuonea huruma wala kulipa fadhila
Huyo Dada analipa fadhila kwa kua mkaka kamsaidia sana ikabidi aolewe...Mungu atusaidie kwa kweli ila moyo bwana unajifunza kupenda sema wengine wanakua hawataki kubadilika tu,kama hvyo ex yupo anamridhisha vitu km hvyo ila naimani kabisaa watu wanajifunza kupenda na ukapenda vzr haswaa kama huyo mwenzao anajua thamani ya mapenzi