Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Ukichunguza sana hata hutamkwa, jitahidi kuchunguza kwa kiasi, mambo mengine si unamrekebisha tu, hakuna mkamilifuKuwa na mahusiano na mtu ni kama kuwa mpelelezi tu
ukishajua tabia zake unaamua kumuacha
au kuzivumilia au kuzikubali