Kabla hujasoma Kitabu cha Kabendera, nashauri sana tungesikiliza Mahojiano ya Ghassan na Kabendera

Kabla hujasoma Kitabu cha Kabendera, nashauri sana tungesikiliza Mahojiano ya Ghassan na Kabendera

Kuhusu Ben Saanane, anasema alianza kuwasiliana nae kwa kipindi kirefu, anasema hadi dakika za mwisho za Ben saa nane, kabendera alijua alikua wapi, na alikua na akina nani, na kwamba aliambniwa pia kuna mwili wa mtu mmoja ulifikishwa hospitali, anasema ilimnchukua mwaka mzima kujua huo mwili ulitoka wapi na ulifikanje hospitali, anasema walihoji watu 30 kwa nyakati tofauti, na kwamba mmoja wapo wa watu hao alimwamnbia kuwa aliyetenda jambo hilo ni bwana mkubwa na kwamba aliumia sana hadi kudondosha bastola yake baada ya kutenda tukio hilo...... anasema jamaa alipata mfadhaiko na kujutia tukio hilo.

Ngoja niishie hapa, sikilizeni wenyewe dakika ya 37 ya Youtube. Kabendera anasema alikua na kurasa 15 za kuandika tukio hili la Ben ila wamefupisha hadi kurasa tatu kutokana na ushauri wa wanasheria ikitokea mtu akapinga aliyoyaandika kuhusu hili.
Kuna taarifa kuwa Ben aliuliwa na bwana mkubwa mwenyewe kwa mikono yake. Mungu anamuona huko aliko.
 
Nimemsikiliza vizuri Kabendera. Nimefurahi sana kwa kuthibitisha kwamba yule Mwamba alikua chuma kuliko tulivyofikiria. Kwa nchi iliyopigwa kama ya kwetu,tulihitaji chuma kile kitawale hata miaka 20 angalau....
 
Sasa anakuja mtu katoka zake huko Isanjandugu Kala matoborwa anambishia Kabendera
Hahahahahaa eti kala matoborwa...... Huyu Kabendera hakua fala kama watu wanavyojiaminisha. Usalama wa taifa walikua wanamfahamu na seems nimesema na SEEMS walikua wanampa taarifa nyingi au yeye Kabendera alikua mbele ya wakati wa Usalama wa Taifa.
 
Nimemsikiliza vizuri Kabendera. Nimefurahi sana kwa kuthibitisha kwamba yule Mwamba alikua chuma kuliko tulivyofikiria. Kwa nchi iliyopigwa kama ya kwetu,tulihitaji chuma kile kitawale hata miaka 20 angalau....
Hautaelewa maumivu ni kitu gani hadi Ben Saanane awe kaka yako, Azory Gwanda awe baba yako, Tundu Lissu awe mjomba wako...

Hao wote wanafamilia, kuna siku itakujia utautamani utu badala ya SGR, utaitamani huruma badala ya Fly over..

Mungu anatenda kazi yake katika namna ya ajabu sana.
 
Hautaelewa maumivu ni kitu gani hadi Ben Saanane awe kaka yako, Azory Gwanda awe baba yako, Tundu Lissu awe mjomba wako...

Hao wote wanafamilia, kuna siku itakujia utautamani utu badala ya SGR, utaitamani huruma badala ya Fly over..

Mungu anatenda kazi yake katika namna ya ajabu sana.
umeongea vyema sana sana
 
Nakala yangu itawasili kesho hapa nilipo.

Nilikuwa naongea na mdau mmoja akasema jamaa kajiamini sasa kuandika lile tukio kulikoni nimemjibu kwa level ya Kabendera na huko alipo hawezi kuwa amekurupuka kuandika hivyo ni anao ushahidi kuhusu hilo ambao mimi na wewe hatuna .

Na akaenda mbele kuwa huenda familia na serikali zikaenda kortini kumshtaki nikamjibu sioni hilo likitokea kirahisi ila napenda litokee maana kupitia hilo tukio tutajua mengi zaidi hadi waliotumwa kumleta ikulu japo nina wasiwasi kama wote bado wako hai ila ni chain ndefu ya watu na matukio mengi hivyo serikali wala familia anytime soon sioni wakienda huko maana hata mtu mwenyewe character yake ilijionyesha hata kama hujakaa nae muda mrefu.
 
Nimesikiliza hayo mahojiano na sasa niko njiani kununua kitabu hicho.

Dikteta aliyekufa ni rahisi sana kumuandika lakini pia tuwe na ushujaa wa kuwaandika na hawa walio hai.
 
Wakuu , nimeona wengi tukiendeshwa na mihemko kuhusu kitabu cha Kabendera, wengi tukidhani kuwa jamaa aliandika tu kwa kukurupuka na kwamba hajui alichokiandika na hana ushahidi.

Nimefanikiwa kusikiliza mahojiano "adhimu" kati ya Mtangazaji mahiri sana Ndugu Ghassan, amemhoji na akampa muda Kabendera kujieleza; kwa kifupi
1. Kabendera anaijua historia ya kile alichokiandikia
2. Kabendera ni mwandishi wa habari za "kiuchunguzi" aliyebobea
3. Kabendera ana "vifaa" vya kazi vinavyomsaidia kufanya hizo habari za kiuchunguzi
4. Kabendera ana "network" kubwa sana na genuine na ya muda mrefu sana ndani ya serikali
5. Kabendera ni Msomi, na mpiganaji wa kada yake.
6. Uandishi wa kitabu hiki umepitiwa na wabobevu wengi "kimataifa" wahariri kati ya 40-50 worldwide
7. Ana ushahidi kutoka nchi mbali mbali na watu mbali kuhusu aliyoyaandika
8. Amefanya utafiti wa kutosha , around watu 250 wameshiriki kutoa maoni yao kuhusu kitabu chake wakati wa maandishi
9. Ushahidi na taarifa alizonazo angeweza kutengeneza kitabu chenye page nyingi sana
10. Wahariri wakubwa zaidi ya ishirini wamekisoma kabla ya final draft na printing kufanyika
11. LAKINI nililoelewa MIMi ni kwamba, jamaa ana taaluma ya USHUSHU kwa level kubwa sana na ana support kubwa kutoka anakokujua yeye.
12. Amefanya uchunguzi kuhusu Utakatishaji fedha kwa level ya kimataifa (huyu anajua mengi)
13. Jamaa ana historia ya matukio ya kutishiwa na serikali
Kuhusu Ben Saanane, anasema alianza kuwasiliana nae kwa kipindi kirefu, anasema hadi dakika za mwisho za Ben saa nane, kabendera alijua alikua wapi, na alikua na akina nani, na kwamba aliambniwa pia kuna mwili wa mtu mmoja ulifikishwa hospitali, anasema ilimnchukua mwaka mzima kujua huo mwili ulitoka wapi na ulifikanje hospitali, anasema walihoji watu 30 kwa nyakati tofauti, na kwamba mmoja wapo wa watu hao alimwamnbia kuwa aliyetenda jambo hilo ni bwana mkubwa na kwamba aliumia sana hadi kudondosha bastola yake baada ya kutenda tukio hilo...... anasema jamaa alipata mfadhaiko na kujutia tukio hilo.

Ngoja niishie hapa, sikilizeni wenyewe dakika ya 37 ya Youtube. Kabendera anasema alikua na kurasa 15 za kuandika tukio hili la Ben ila wamefupisha hadi kurasa tatu kutokana na ushauri wa wanasheria ikitokea mtu akapinga aliyoyaandika kuhusu hili.

View attachment 3192096
Nimemsikiliza hadi mwisho. Hajaelezea ya kwake binafsi (hasa sehemu ya msamaha) kama alivyoelezea kwa wengine
 
Pia kwa nyongeza kujiwezesha kiufahamu, Ili kusadiki baadhi ya masuala yaliyomo katika kitabu cha Eric Kabendera kuwa siyo riwaya ya kusadikika, kuna ukweli kwa vithibitisho, basi msikilize mwalimu huyu :

Jinsi mitandao ya simu inavyotumiwa na wasiojulikana kufuatilia nyendo za watu:

Jinsi ya Kuepuka Kutekwa nyara na watu wasiojulikana ambao pia hawajulikani na 'Serikali Nzima' - MORARA KEBASO AFICHUA


View: https://m.youtube.com/watch?v=inj9f4BUxVw
Kifaa chako cha kieletroniki kinavyoweza kuwasaidia watu wasiojulikana kukufuatilia kwa njia zifuatazo :
  • Trailing and surveillance
  • Triangulation
  • SIM CARD
  • IMEI
  • LUKU malipo ya umeme kujua makazi
  • APPS za mikopo kuruhusu kufahamu contacts /picha / mikopo chechefu unayodaiwa kama ipo n.k
  • Hacking Software
  • Text msg
  • Dating sites
  • SIMU kuwa ya moto bila kuitumia
  • Microphone ya simu
  • Camera ya simu kuchukua mazingira uliyopo
  • Hata simu za kiswaswadu si salama
  • N.k
 
Back
Top Bottom