Kabla hujatukana, kudhalilisha au kushuku wanawake, huwa unajua kuwa na mama yako ni mwanamke?

Kabla hujatukana, kudhalilisha au kushuku wanawake, huwa unajua kuwa na mama yako ni mwanamke?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
 
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
Upo sahihi mkuu
Wadogo zetu wa kiume wanatudhalilisha sana kaka zao humu,kila siku kupandisha nyuzi za kuwasema wanawake etc!kila siku!mwanaume halisi hamsemi mwanamke!anaishi nae kwa akili!inabidi sisi wazee tukae na hwa vijana kuwapa elimi
 
Ulichokiandika, Kaa Chinini Utafakari, Mwanamke ni Kiumbe mwingine kabisa na Viumbe Vyote.
Kama haujakutana na Matukio/ Show za Kibabe za Wanawake unaweza sema unavyoweza, Hata Hizi Ndoa. Kuna mengi wanaume wanayapitia ila watu wanakufa na Tai shingoni, mwanamke msikie tu kwa Jirani yako.
Ukitaka kufurisika Cheza na wanawake,Hata mke pia sio mtu wa kumuamini.
NOTE
Unaishi Nyoja ndani one day utakuja kuelewa kua mwanamke ni nyoka, na pia mwanamke anaushetani ndani yake.
Yakikufika hii iwe kumbukumbu yako.
 
Mkuu uko sahihi,lakin inatwgemeana wanasemwa mwa yepi.Wakati unawatetea dhidi ya kusemwa kwao kwa sababu ulizoziorodhesha,fikiria pia baadhi yao wanaujasiri wa kuwafanyia mabaya wanaume/baba zetu ilihali nawao wana wajomba,baba,babu,kaka na watoto wa kiume.Nadhani majukwaa kama haya ni muhim saana wahenga wa kiume wamwage ukweli unaohusu mwanamke ili vijana wa kiume wapate elimu muhimu,ukizingatia watoto wengi hawapati malezi ya wazaz wa kiume.
Pia tusiwe na dhana kwamba kusema ukweli kuhusu mwanake nikumdharirisha kwasababu sidhani hata Mungu aliye waumba anawaona malaika kama dunia inavyofosi tuwaone hivo.
 
Ulichokiandika, Kaa Chinini Utafakari, Mwanamke ni Kiumbe mwingine kabisa na Viumbe Vyote.
Kama haujakutana na Matukio/ Show za Kibabe za Wanawake unaweza sema unavyoweza, Hata Hizi Ndoa. Kuna mengi wanaume wanayapitia ila watu wanakufa na Tai shingoni, mwanamke msikie tu kwa Jirani yako.
Ukitaka kufurisika Cheza na wanawake,Hata mke pia sio mtu wa kumuamini.
NOTE
Unaishi Nyoja ndani one day utakuja kuelewa kua mwanamke ni nyoka, na pia mwanamke anaushetani ndani yake.
Yakikufika hii iwe kumbukumbu yako.
Huna hoja. Kwani unajua namna wanawake wanavyowaelewa wanaume? Je nao wakiwa vipofu na kufanya hitimisho la jumla juu ya wanaume utajisikiaje? Kama kweli hutaki kumwamini mkeo kwanini unamwamini mama yako wakati naye ni mwanamke? Jenga hoja badala ya kurejea yale yale ya kikale.
 
Mkuu uko sahihi,lakin inatwgemeana wanasemwa mwa yepi.Wakati unawatetea dhidi ya kusemwa kwao kwa sababu ulizoziorodhesha,fikiria pia baadhi yao wanaujasiri wa kuwafanyia mabaya wanaume/baba zetu ilihali nawao wana wajomba,baba,babu,kaka na watoto wa kiume.Nadhani majukwaa kama haya ni muhim saana wahenga wa kiume wamwage ukweli unaohusu mwanamke ili vijana wa kiume wapate elimu muhimu,ukizingatia watoto wengi hawapati malezi ya wazaz wa kiume.
Pia tusiwe na dhana kwamba kusema ukweli kuhusu mwanake nikumdharirisha kwasababu sidhani hata Mungu aliye waumba anawaona malaika kama dunia inavyofosi tuwaone hivo.
Hii ni kwa pande zote wanaume kwa wanawake sawa na binadamu wengine mwanangu.
 
Acheni kutumia hoja dhaifu hizo za Mama yako nae ni mwanamke, mara eti kwani Mama yako alikuwa bikra,.....kiufupi Wanawake inabidi wapondwe kwa lugha zote popote walipo ili dawa iwaingie.

Msihalalishe kosa moja kwa kosa jingine, Mwanamke sio kiumbe cha kukionea huruma kabisa maana hata Hoja ya kuzaa... nayo kwa upande mwingine sio hoja kabisa maana bila Mbegu za Mwanaume basi huyo mwanamke hawezi kuwa Mama.
 
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
Ukiona mtu hana keshima kwa wanawake elewa kuwa hata kwa mamake hana heshima.

Hao ni watoto wale wa kulelewa na mtaa mzima. usiku mama kazini, mchana kalala.
 
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
Never trust a woman hata kama ni mamaako elewa kenge wewe
 
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
KAMA SIO BIKRA USIOE
 
Mwanamme wa kweli anajiamini ktk uanaume wake hahitaji kushindana wala kumshusha au kudhalilisha mwanamke ili aonekane kidume

Ukiona mwanamme kila siku yeye ni kushindana na wanawake kuwaponda ili yeye aonekane ana maadili, ujue anashida kubwa anatamani kuwa wanawake na yeye
 
Hivi kwann hili suala la bikra limewauma kiasi hichi?ww kama ulioa mtumba kwa sifa ambazo ww zilikuridhisha na hukupangiwa na mtu yeyote, basi na wengine wana haki ya kuoa mwanamke kwa sifa anazo taka wao tuache kupangiana maisha.

Uzi wako una hoja dhaifu sana.
Kwa hiyo ww baba yako akiwa mwizi basi wizi ni halali kwa sababu umefanywa na mzazi wako?

Au wale wanawake wa Guinea waliojirecodi wakifanya uchafu, mmoja wapo angekuwa mama yako ungeona ni halali kwa sababu amefanya mama yako?

Huwezi kuhalalisha uovu fulani eti kwa sababu mama au baba yako waliufanya au ana ufanya.
Mama kama aliolewa bila hiyo bikra hilo lilikuwa juu yake na baba yangu na sio mm,maana maisha ya mama yangu sio yangu na yakwangu sio yake.
Mama ,dada,shangazi ,na ndugu zangu wote wa kike wao kuolewa bila bikra hakuwezi kuhalalisha tabia za mabinti wa siku hizi kuufanya uzinzi Kama fasheni.

Waafrica tusipo acha tabia ya kutopenda kuambizana ukweli tutazidi kuwa jamii ya hovyo.
 
Mwanamme wa kweli anajiamini ktk uanaume wake hahitaji kushindana wala kumshusha au kudhalilisha mwanamke ili aonekane kidume

Ukiona mwanamme kila siku yeye ni kushindana na wanawake kuwaponda ili yeye aonekane ana maadili, ujue anashida kubwa anatamani kuwa wanawake na yeye
Hakuna anaye wadhalilisha bali mnajidhalilisha wenyewe kwa matendo yenu wenyewe.

Ya kwamba ni uongo kuwa wanawake wa siku hizi huwezi kutunza miili yenu?

Na mojawapo ya ushahidi unao onesha nyinyi wanawake wa kisasa mlivyo watu wa hovyo ni video 400 zilizo vuja kuko gunea.
 
Hakuna anaye wadhalilisha bali mnajidhalilisha wenyewe kwa matendo yenu wenyewe.

Ya kwamba ni uongo kuwa wanawake wa siku hizi huwezi kutunza miili yenu?

Na mojawapo ya ushahidi unao onesha nyinyi wanawake wa kisasa mlivyo watu wa hovyo ni video 400 zilizo vuja kuko gunea.
Kuna wanaume watu wazima ovyo wabakaji wa watoto, wababa wasiohudumia watoto wao na wanaume wasioelewa jinsia yao. Pointi yako ni ipi haswa? Sijaona hoja yako hapa
 
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
Narudi kusoma andiko lako iwapo ukinijibu Wao wanaposema "wanaume wote ni mbwa" Huwa hawajui hata baba,kaka,wajomba zao ni wanaume pia?

Hoja zako ni dhaifu sana mkuu. Dhambi ni dhambi (kosa) hata kama awe kalitenda mama,shangazi,bibi, dada na shemeji ama binti yangu.


Na Kwa sababu ni kosa kama makosa mengine lazima likemewe Kwa gharama yoyote Ile Ili likome. Jitafakari upya
 
Si jambo geni hapa JF kusoma nyuzi zinazowadhalilisha, kuwahukumu, kuwahujumu, kuwabagua, na mambo mengine kama hayo.

Je wakati ukifikia uamuzi wa kufanya hayo hapo juu.

1. Huwa unajikumbusha kuwa hata mama yako ni mwanamke?

2. Wakati ukitaka wanawake wawe na bikra ila si wanaume, huwa unajiuliza kama bi mkubwa wako alipoolewa alikuwa nayo?

3. Huwa unajiuliza kuwa ungekuwa mwanamke ungetaka utenzwe vipi?

4. Huwa unajiuliza kuwa wanawake ni wanadamu kama wewe?

5. Je, huwa unajitathmini kuona kama uko sahihi au la?

6. Je, huwa unakumbuka kuwa bibi, dada, na shangazi zako pia ni wanawake?

7. Je, kuna aliyetuma maombi kwa muumbaji aumbwe alivyo?

8. Je, huwa unajua kuwa huu ni ubaguzi wa kijinsia?

9. Je, hukumu zako na wengine kama wewe ni majibu ya tatizo?

10. Je, dunia nzima ingekuwa ni wanaume watupu wewe ungekuwa wapi?
Hivi je? wanawake wanakuwa na hamu ya kupigwa miti?,mbona hukaa kimya mpaka tuwasotee halafu sitaki na taka na huku hakuna kipya waischokijua????
 
Mtu yeyote íwe ni Baba, mama, Mimi, wewe, Yule akitenda Jambo lolote ambalo ni baya anastahili kupewa maneno Mabaya, maneno ya kashfa, matusi, Kejeli n.k.

Unachotakiwa kushauri ni kuwa Mtu yeyote atende Mema ili asitukanwe

Lakini kuwa Mama au Baba haiepushi matusi kama ukifanya upumbavu.

Mama anayetenda Mambo Mema hawezi kuumia akisikia Wanawake wakitukanwa Ikiwa yeye hafanyi mambo mabaya.

So wacha mambo yaende kama yalivyo
 
Back
Top Bottom