Huyu mwamba alichokosea hakumchunguza mwanamke! Hakujipa muda wa kuchunguzs past yake, hakujipa muda wa kuchunguza marafiki zake, hakujipa muda wa kuchunguza familia ya binti anayotoka. Hakujipa muda wa kuchunguza kupitia sehemu ambayo mwanamke anayofanyia kazi angalau kuwauliza mwenendo wake upoje!Anavuta mda baadae hutaweza muacha, umri utaenda, nguvu itaisha na hutakua na la kufanya, narudia hakiki malengo yake, ukiyaelewa maliza mchezo, hizo samahani zisizofanyiwa kazi ni ishara tosha kabisa, nakupa kanuni nyingine, nayo ni hii : kwanza Mimi hunyooka na kunyoosha maelezo na kuwa mkweli, siwezi kupandishiana sauti na m mke najua hapa maisha yameisha simuwezi, ana hoja aweke mezani makelele siyataki, zingatia nyooka wewe kwanza vichaka vyote utaviona, Kisha akipanda wewe Rudi chini, hapo utaona mwanga na utajua ni timing, kama kama ana hoja kwa nini asiziweke mezani, usifikir atakiri kwamba hakutaki, Bali makosa anafanye yeye sababu anakutaftia wewe
HongeraPole sana mkuu. Nenda naye taratibu kushughulikia hiyo past yake.
Mi wa kwangu alikuwa anapenda sana kugomba na lugha ya matusi. Nikajua chanzo cha hiyo tabia yake. Nikawa nafanya kumwelimisha taratibu kila anapogomba au kutoa lugha ya matusi. Huu mwaka wa tatu, amebadilika sana.
Anapobadilika positively usiache kumsifia.
Nilimwoa single mother, tuko na amani sana
Ulikuwa mtego huo ili uingie mzima mzima kwa hiyo ameshakuona umenasa mwili wote sasa anakuonyesha rangi zake halisi na anajua huna cha kumfanya ameshajua madhaifu yako yote huwezi kuchomoka utajifanya kuja kuomba ushauri huku ili ukachukue action ukiingia naye ndani unafyata kimya unakuwa mpole kama sio weweMie sijawahukumu single mothers wengine... Nimemuhukumu huyu wangu. By the way nilivyoanza nae alikuwa material kwelikweli nikafunika kombe... Ila weeee
usijipe moyo,hakuna single mama anayejitambua.Mkuu, usisahau kuna single mothers wengine wanajitambua.
Huwezi kuwahukumu single mothers wote kwa makosa ya baadhi ya single mothers.
Asante mkuuHongera
Wapo mkuu. Unataka kunambia single mothers wote wanaleta shida kwenye ndoa?usijipe moyo,hakuna single mama anayejitambua.
Hakuna cha past, we past yake inakuhusu nini au inahusu nini kwenye maisha yenu ya sasa? Kama anaipenda sana past akaishi nayo, piga chiniNimechunguza nikagundua ndivyo alivyo lakini pia past yake imechangia kumfanya awe hivyo alivyo
Be strong brother at your crossroad. You will eventually win the battle soon or later.Ni rahisi sana kuzungumza ila kiuhalisia ni kazi ngumu mno... Nadhani ni moja ya kosa pia nililojaribu kulifanya kwa kipindi chote hiki mpk naleta huu uzi kwenu
Mimi kama kichwa cha familia natakiwa kuleta uelekeo chanya wa familia na wakaniheshimu. Ujuaji wa mwanamke sasa ni shida... Nikimzidi kwa hoja anaishia kulia mpk unabaki unajiuliza shida iko wapi.
Kinachonikera zaidi ni mgumu sana kuomba msamaha... Mpaka tubishane sana au niamua kureact kwa vitendo ndiyo samahani inakuja baada ya kuzunguka sana
Shida ya vijana mkiwa humu mnajidai kuwaponda Single Maza lakini ndio hao hao mnawamendea. Kiukweli ni watamu.Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu
KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani
Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani
Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito
Nazimiss sana nyakati zile
BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu
Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana
Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa
Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi
Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani
Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.
Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu
Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya
Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Mkuu hawa wenzetu wanapitia Past ngumu sana ambazo zinaacha makovu kwenye mioyo yao.Nimechunguza nikagundua ndivyo alivyo lakini pia past yake imechangia kumfanya awe hivyo alivyo
Kama hujaingia kwenye ndoa unaweza ona ni rahisi kuachana au kuwa na mchepuko ndo kutakupa furaha. Furaha haipatikani kwa kuchepuka Bali kuchukua maamuzi magumu.Hakuna cha past, we past yake inakuhusu nini au inahusu nini kwenye maisha yenu ya sasa? Kama anaipenda sana past akaishi nayo, piga chini
Kakuzidi miaka mingapiUtaongea nini ambacho atahisi hajui.. Labda kwa sababu kanizidi umri
Hawaaminikagi hao jitathmini sana usuushi kwa kuwaza watu watakuonaje kwa sababu wewe ndio unaexperience uhalisia na sio wao.Watoto, na jicho la wananzengo lakini pia misingi ya kiuchumi nilivyoiseti ndiyo nilizingua zaidi maana ujasiri wa kumfurusha nautolea wapi wkt nae anajiona ni sehemu ya umiliki halali wa vile alivyonikuta navyo
Nilipozingua: wkt anakuja kwenye maisha yangu ile kindaki ndaki na akiwa wa moto, mahaba kama yote, future njema niliona nimtunuku uaminifu kwa kumpa codes zote za kiuchumi. Kwa sasa najuta
Endelea kuishi naye... pengne Kuna sababu inafanya anakuwa hivo Anza kumfatilia pengne utagunduaNipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu
KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani
Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani
Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito
Nazimiss sana nyakati zile
BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu
Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana
Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa
Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi
Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani
Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.
Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu
Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya
Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830