Kabla na baada ya ndoa

Kabla na baada ya ndoa

Anavuta mda baadae hutaweza muacha, umri utaenda, nguvu itaisha na hutakua na la kufanya, narudia hakiki malengo yake, ukiyaelewa maliza mchezo, hizo samahani zisizofanyiwa kazi ni ishara tosha kabisa, nakupa kanuni nyingine, nayo ni hii : kwanza Mimi hunyooka na kunyoosha maelezo na kuwa mkweli, siwezi kupandishiana sauti na m mke najua hapa maisha yameisha simuwezi, ana hoja aweke mezani makelele siyataki, zingatia nyooka wewe kwanza vichaka vyote utaviona, Kisha akipanda wewe Rudi chini, hapo utaona mwanga na utajua ni timing, kama kama ana hoja kwa nini asiziweke mezani, usifikir atakiri kwamba hakutaki, Bali makosa anafanye yeye sababu anakutaftia wewe
Huyu mwamba alichokosea hakumchunguza mwanamke! Hakujipa muda wa kuchunguzs past yake, hakujipa muda wa kuchunguza marafiki zake, hakujipa muda wa kuchunguza familia ya binti anayotoka. Hakujipa muda wa kuchunguza kupitia sehemu ambayo mwanamke anayofanyia kazi angalau kuwauliza mwenendo wake upoje!

Halafu angejipa muda wa kusikilizia huku anamchunguza. Katika hayo lazima kuna kitu angekigundua! Angeliliepuka tatizo mapema. Si kila mwanamke wa kuolewa!
 
Pole sana mkuu. Nenda naye taratibu kushughulikia hiyo past yake.

Mi wa kwangu alikuwa anapenda sana kugomba na lugha ya matusi. Nikajua chanzo cha hiyo tabia yake. Nikawa nafanya kumwelimisha taratibu kila anapogomba au kutoa lugha ya matusi. Huu mwaka wa tatu, amebadilika sana.

Anapobadilika positively usiache kumsifia.

Nilimwoa single mother, tuko na amani sana
Hongera
 
Mie sijawahukumu single mothers wengine... Nimemuhukumu huyu wangu. By the way nilivyoanza nae alikuwa material kwelikweli nikafunika kombe... Ila weeee
Ulikuwa mtego huo ili uingie mzima mzima kwa hiyo ameshakuona umenasa mwili wote sasa anakuonyesha rangi zake halisi na anajua huna cha kumfanya ameshajua madhaifu yako yote huwezi kuchomoka utajifanya kuja kuomba ushauri huku ili ukachukue action ukiingia naye ndani unafyata kimya unakuwa mpole kama sio wewe
 
Ni rahisi sana kuzungumza ila kiuhalisia ni kazi ngumu mno... Nadhani ni moja ya kosa pia nililojaribu kulifanya kwa kipindi chote hiki mpk naleta huu uzi kwenu

Mimi kama kichwa cha familia natakiwa kuleta uelekeo chanya wa familia na wakaniheshimu. Ujuaji wa mwanamke sasa ni shida... Nikimzidi kwa hoja anaishia kulia mpk unabaki unajiuliza shida iko wapi.

Kinachonikera zaidi ni mgumu sana kuomba msamaha... Mpaka tubishane sana au niamua kureact kwa vitendo ndiyo samahani inakuja baada ya kuzunguka sana
Be strong brother at your crossroad. You will eventually win the battle soon or later.
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Shida ya vijana mkiwa humu mnajidai kuwaponda Single Maza lakini ndio hao hao mnawamendea. Kiukweli ni watamu.

Mkuu mechi iluanza na 0 kwa ngapi vile?
 
Nimechunguza nikagundua ndivyo alivyo lakini pia past yake imechangia kumfanya awe hivyo alivyo
Mkuu hawa wenzetu wanapitia Past ngumu sana ambazo zinaacha makovu kwenye mioyo yao.

Wewe ndio Dawa yake. Be patient hui mwaka mmoja sio mkubwa
 
Hakuna cha past, we past yake inakuhusu nini au inahusu nini kwenye maisha yenu ya sasa? Kama anaipenda sana past akaishi nayo, piga chini
Kama hujaingia kwenye ndoa unaweza ona ni rahisi kuachana au kuwa na mchepuko ndo kutakupa furaha. Furaha haipatikani kwa kuchepuka Bali kuchukua maamuzi magumu.

Huenda kwako inakuwa vigumu kuachana nae kwaajili ya uchumi. Kuna wengine wanaandikaga majina ya wake zao kwenye Mali walizonazo, sasa ukimuacha ghalfa unafilisika. Sidhani kama angekuwa nae mpka sasa kwa hivyo visa kama kungekuwa na ishu za kiuchumi.

Ushauri wangu...
1. Kama Kuna share za kiuchumi ambazo ukimuacha basi imekula kwako , Anza kwanza hapo kushughulikia swala la uchumi awe hawezi kujimudu kiuchumi. Mwanamke akijiweza kiuchumi ujue umeisha wengi hawawezi kuwa mlaini tena lakini akiwa tegemezi ananyenyekea anakuwa mpole.

2. Kama haiwezekani kushughulikia mambo ya kiuchumi ( yaani haiwezekani kbsaa) basi ukubali kuanza upya kwa furaha na Amani ya moyo wako.

Ndoa isiwe sababu ya kukosa Amani . Maana lengo la mwanzo la ndoa ni Utulivu, kama Utulivu hakuna na lengo lishapotea, utataka kuitafuta furaha Yako sehemu nyingne ambazo zikakuzamisha kwenye majanga makubwa.

Kama mwanaume ni kuoneshwa msimamo wako uko wapi, nataka hiki na hiki sitaki, ikiwezekana unamhama Hadi kitanda hata chumba. Unakuwa serious na unamaanisha.

Ukimya hauta saidia Chochote ataona yeye yupo sawa na wewe unazingua kumbe yeye ndo anazingua.
 
Watoto, na jicho la wananzengo lakini pia misingi ya kiuchumi nilivyoiseti ndiyo nilizingua zaidi maana ujasiri wa kumfurusha nautolea wapi wkt nae anajiona ni sehemu ya umiliki halali wa vile alivyonikuta navyo

Nilipozingua: wkt anakuja kwenye maisha yangu ile kindaki ndaki na akiwa wa moto, mahaba kama yote, future njema niliona nimtunuku uaminifu kwa kumpa codes zote za kiuchumi. Kwa sasa najuta
Hawaaminikagi hao jitathmini sana usuushi kwa kuwaza watu watakuonaje kwa sababu wewe ndio unaexperience uhalisia na sio wao.
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Endelea kuishi naye... pengne Kuna sababu inafanya anakuwa hivo Anza kumfatilia pengne utagundua
 
Muombe Mungu jaribu kushirikisha viongozi wa Dini ...pia hakuna mkamilifu wewe pia una changamoto zako anakuvumilia
 
Kila siku humu mnapewa somo juu ya kuoa bikra hamuelewi ,sasa wewe huyu single maza wako alikuonyesha mahali alipozikwa mume wake wa kwanza au mada za humu mnaona wanaozichapisha ni akina shilole sio? Basi kaza home boy huu ni ushauri mzuri kabisa
 
Back
Top Bottom