Kabla na baada ya ndoa

Kabla na baada ya ndoa

FB_IMG_17318563689028705.jpg
 
Mkuu nashindwa kusema huyo mwanamke hakufai kwa sababu binafsi sijaona jambo kubwa kama walivyo single mama wengine

1. Mkitoka out anasema mnaharibu pesa. Mkuu sisi sote tunataka wanawake wa aina hii na hatuwapati. Wanawake wenye uchungu na kidogo tunachokipata. Wanawake wanaotaman tutumze vipato vyetu kwa manufaa ya familia.

2. Kunyumbulika kitandani. Ninachojua mapenzi yote huwa matamu mwanzoni baadae huwa kawaida tu na kubaki mazoea ya huyu ni mke wangu. Miaka situ mkuu si haba, sio rahisi show ikabaki ileile. Ushauri jaribu kumtoa out hata wiki mwende viwanja kulala hoteli japo anasema pesa inapotea ila naweza kupata vihisia vipya.

3. Ukali kwa watoto. Mkuu kama hakukalipii wewe anakalipia watoto wengu huyo kama ana kosa ni dogo sana. Wamama wengi wana fail kwenye malezi kwa sababu sio wakali kwa watoto. Mtoto anakosea ila mama yupo “junior nitakuchapa” mtoto anakua ovyo ovyo tu.

Mkuu kero kubwa za single mama ni kibuli, jeuri na kupasha viporo na wazazi wenzao kitu ambacho huyo wako hujasema kama anavyo. Mkuu komaa nae atakaa sawa tu. Sikuahauri kumuacha
 
We huoni hizi thread zimekuwa nyingi watu wanapigana matukio kichizi
Hata mimi naona mkuu ndiyo maana nikaona nisilaze damu huenda nami nimeandaliwa wadau kama wewe mje mniokoe kwenye hiki kisanga
 
Mwanamke kabla ya kutaka kumuoa hakikisha unajua past yake, familia yake ipoje! Mahusiano na wazazi wake yapoje na marafiki zake wapoje!

Ukikwama hapo utaangukia pabaya!
Hayo sikuyazingatia wakati naanza... Ndiyo yanayonigharimu... Basi tena, nimejaa kwenye mfumo
 
Huyu mwamba alichokosea hakumchunguza mwanamke! Hakujipa muda wa kuchunguzs past yake, hakujipa muda wa kuchunguza marafiki zake, hakujipa muda wa kuchunguza familia ya binti anayotoka. Hakujipa muda wa kuchunguza kupitia sehemu ambayo mwanamke anayofanyia kazi angalau kuwauliza mwenendo wake upoje!

Halafu angejipa muda wa kusikilizia huku anamchunguza. Katika hayo lazima kuna kitu angekigundua! Angeliliepuka tatizo mapema. Si kila mwanamke wa kuolewa!
Ni kweli, hata sipingani na wewe... Na hilo ndiyo limenigharimu sana.... Single mothers wanakuja na vitu special sana unapoanza nae mpk unajikuta unasahau kuzingatia mambo ya msingi. Dah ila ndiyo napambana
 
Ulikuwa mtego huo ili uingie mzima mzima kwa hiyo ameshakuona umenasa mwili wote sasa anakuonyesha rangi zake halisi na anajua huna cha kumfanya ameshajua madhaifu yako yote huwezi kuchomoka utajifanya kuja kuomba ushauri huku ili ukachukue action ukiingia naye ndani unafyata kimya unakuwa mpole kama sio wewe
[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
 
Mkuu hawa wenzetu wanapitia Past ngumu sana ambazo zinaacha makovu kwenye mioyo yao.

Wewe ndio Dawa yake. Be patient hui mwaka mmoja sio mkubwa
Kuwa dawa yake ndiyo tatizo maana unaanza na mtu unahisi kama mko pamoja kumbe yeye anakuchukulia kama kipoozeo kwa masaibu yaliyomkuta hapa napo pana shida, sijui kama na huyu wangu alikuwa na mtazamo huo ila ni shida tupu
 
Pumbavu.

Hustahili ushauri bali makofi ya kelbu mpaka akili yako izibuke.

Tulishasema single Maza sio wa kuoa.

Hamzingatii.

Mkishapigwa na vitu vizito huko, mnakuja hapa kulia lia na kuomba ushauri.

Sasa, komaa na huyo single Maza mpaka akuue.

Ufe uzikwe na ujinga wako wa kutozingatia maelekezo ya vikao vya wanaume.
 
Kama hujaingia kwenye ndoa unaweza ona ni rahisi kuachana au kuwa na mchepuko ndo kutakupa furaha. Furaha haipatikani kwa kuchepuka Bali kuchukua maamuzi magumu.

Huenda kwako inakuwa vigumu kuachana nae kwaajili ya uchumi. Kuna wengine wanaandikaga majina ya wake zao kwenye Mali walizonazo, sasa ukimuacha ghalfa unafilisika. Sidhani kama angekuwa nae mpka sasa kwa hivyo visa kama kungekuwa na ishu za kiuchumi.

Ushauri wangu...
1. Kama Kuna share za kiuchumi ambazo ukimuacha basi imekula kwako , Anza kwanza hapo kushughulikia swala la uchumi awe hawezi kujimudu kiuchumi. Mwanamke akijiweza kiuchumi ujue umeisha wengi hawawezi kuwa mlaini tena lakini akiwa tegemezi ananyenyekea anakuwa mpole.

2. Kama haiwezekani kushughulikia mambo ya kiuchumi ( yaani haiwezekani kbsaa) basi ukubali kuanza upya kwa furaha na Amani ya moyo wako.

Ndoa isiwe sababu ya kukosa Amani . Maana lengo la mwanzo la ndoa ni Utulivu, kama Utulivu hakuna na lengo lishapotea, utataka kuitafuta furaha Yako sehemu nyingne ambazo zikakuzamisha kwenye majanga makubwa.

Kama mwanaume ni kuoneshwa msimamo wako uko wapi, nataka hiki na hiki sitaki, ikiwezekana unamhama Hadi kitanda hata chumba. Unakuwa serious na unamaanisha.

Ukimya hauta saidia Chochote ataona yeye yupo sawa na wewe unazingua kumbe yeye ndo anazingua.
Yaani wewe hapo ndiyo umeingia mpaka ndani, ni kama umeona lifestyle ninayoishi nayo... Wkt naanza nae niliona kabisa huyu ndiye niliyepewa na Mungu, nikazama kwa hisia zaidi kiasi kwamba changu chake halafu chake chake[emoji57] kuna mali nilimmilikisha na hilo ndilo linalonigharimu... Nikiamua kuachana nae inabidi nikubali kuanza upya... Mambo ni mengi sana ila ushauri wako nimeuelewa sana
 
Pumbavu.

Hustahili ushauri bali makofi ya kelbu mpaka akili yako izibuke.

Tulishasema single Maza sio wa kuoa.

Hamzingatii.

Mkishapigwa na vitu vizito huko, mnakuja hapa kulia lia na kuomba ushauri.

Sasa, komaa na huyo single Maza mpaka akuue.

Ufe uzikwe na ujinga wako wa kutozingatia maelekezo ya vikao vya wanaume.
Kwenye kikao cha mwisho cha wanaume nahisi sikuhudhuria, nastahili hayo yote usemayo mkuu ila kiukweli nimechoka, moyo umechoka, unauma
 
Mie sijawahukumu single mothers wengine... Nimemuhukumu huyu wangu. By the way nilivyoanza nae alikuwa material kwelikweli nikafunika kombe... Ila weeee
Natafuta Ajira and mockers njooni Mtandike huyu jamaa bakora.

Maana, Hazingatii ushauri wa wanaume.

Kila siku tunasema, Kataa single Maza, Single Maza ni mke wa mtu. Na hata kama mmewe alikufa, lazima uthibitishe kwa kuona death certificate na kaburi uonyeshwe ulione.

Mtajifunza lini?
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Pole sana.
Mtangulize Mungu
 
Pole sana mkuu. Nenda naye taratibu kushughulikia hiyo past yake.

Mi wa kwangu alikuwa anapenda sana kugomba na lugha ya matusi. Nikajua chanzo cha hiyo tabia yake. Nikawa nafanya kumwelimisha taratibu kila anapogomba au kutoa lugha ya matusi. Huu mwaka wa tatu, amebadilika sana.

Anapobadilika positively usiache kumsifia.

Nilimwoa single mother, tuko na amani sana
Very good, umeoa single Maza.

Siku alipo badilika, ulikomaa nae pia
Kumwelimisha, na una bahati alibadilika. Vizuri.

Shida ni kuoa single Maza wakati unajua kabisa anaweza kukubadilikia, Halafu akisha kubadilikia badala ya kukomaa nae, Mtu kama huyu mleta mada anaanza kulia lia kuomba ushauri.

Wakati tangu mwanzoni alijua kabisa anaona single maza.

Yani mtu akisha amua kuvaa bomu, Ajue kabisa muda wowote likilipuka, Atakomaa nalo.

Na ajue namna ya kukabiliana nalo.

Sio kuanza kuomba ushauri.
 
Natafuta Ajira and mockers njooni Mtandike huyu jamaa bakora.

Maana, Hazingatii ushauri wa wanaume.

Kila siku tunasema, Kataa single Maza, Single Maza ni mke wa mtu. Na hata kama mmewe alikufa, lazima uthibitishe kwa kuona death certificate na kaburi uonyeshwe ulione.

Mtajifunza lini?
Nilihudhuria kwenye mazishi ya mzazi mwenzie ila haiondoi ukweli ya kwamba nimezingua... Waje tu wanipe bakora
 
Back
Top Bottom