Kabla sijamuoa nilikuwa sipangiwi tendo ila kumuoa tu napangiwa

Kabla sijamuoa nilikuwa sipangiwi tendo ila kumuoa tu napangiwa

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Ukisema nikimbilie huku kosa ili mradi tu, yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana. Kipindi sijamuoa mda wowote na wakati wowote napewa ili mradi asiwe kwenye siku zake.kaka shetani nikaona mda wa kuoa ndio wenyewe nifaidi kabisa wakijua kwao.

Kosa likaanza hapo, nilipoingiza ndani tu na mimba juu basi ndugu yenu tokea amejifungua ni mwendo wa ratiba. Tena kitoto sijui kinajua mda kitaanza kujiliza kuzuia hata hiyo ratiba yenyewe.

Nitaongeza mke kupunguza ujinga.
 
Ukisema nikimbilie huku kosa ili mradi tu,yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana.
kipindi sijamuoa mda wowote na wakati wowote napewa ili mradi asiwe kwenye siku zake.kaka shetani nikaona mda wa kuoa ndio wenyewe nifaidi kabisa wakijua kwao.kosa likaanza hapo nilipoingiza ndani tu na mimba juu basi ndugu yenu tokea amejifungua ni mwendo wa ratiba.
tena kitoto sijui kinajua mda kitaanza kujiliza kuzuia hata hiyo ratiba yenyewe.

nitaongeza mke kupunguza ujinga
Mke mmoja hudumaza akili...
 
Ukisema nikimbilie huku kosa ili mradi tu,yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana.
kipindi sijamuoa mda wowote na wakati wowote napewa ili mradi asiwe kwenye siku zake.kaka shetani nikaona mda wa kuoa ndio wenyewe nifaidi kabisa wakijua kwao.kosa likaanza hapo nilipoingiza ndani tu na mimba juu basi ndugu yenu tokea amejifungua ni mwendo wa ratiba.
tena kitoto sijui kinajua mda kitaanza kujiliza kuzuia hata hiyo ratiba yenyewe.

nitaongeza mke kupunguza ujinga
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] I
 
Ukisema nikimbilie huku kosa ili mradi tu,yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana.
kipindi sijamuoa mda wowote na wakati wowote napewa ili mradi asiwe kwenye siku zake.kaka shetani nikaona mda wa kuoa ndio wenyewe nifaidi kabisa wakijua kwao.kosa likaanza hapo nilipoingiza ndani tu na mimba juu basi ndugu yenu tokea amejifungua ni mwendo wa ratiba.
tena kitoto sijui kinajua mda kitaanza kujiliza kuzuia hata hiyo ratiba yenyewe.

nitaongeza mke kupunguza ujinga
We ni shetani
 
Ukisema nikimbilie huku kosa ili mradi tu,yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana. Kipindi sijamuoa mda wowote na wakati wowote napewa ili mradi asiwe kwenye siku zake.kaka shetani nikaona mda wa kuoa ndio wenyewe nifaidi kabisa wakijua kwao.

Kosa likaanza hapo, nilipoingiza ndani tu na mimba juu basi ndugu yenu tokea amejifungua ni mwendo wa ratiba. Tena kitoto sijui kinajua mda kitaanza kujiliza kuzuia hata hiyo ratiba yenyewe.

Nitaongeza mke kupunguza ujinga.
Dini inaruhusu?
 
Ukisema nikimbilie huku kosa ili mradi tu,yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana. Kipindi sijamuoa mda wowote na wakati wowote napewa ili mradi asiwe kwenye siku zake.kaka shetani nikaona mda wa kuoa ndio wenyewe nifaidi kabisa wakijua kwao.

Kosa likaanza hapo, nilipoingiza ndani tu na mimba juu basi ndugu yenu tokea amejifungua ni mwendo wa ratiba. Tena kitoto sijui kinajua mda kitaanza kujiliza kuzuia hata hiyo ratiba yenyewe.

Nitaongeza mke kupunguza ujinga.
Utasota kwenye foleni,mwingine anakula mdogo mdogobila hatakusumbuliwa
 
Ni kawaida hiyo wala usijali.

Muhimu i-keep busy akili yako katika kufikiri miradi ya maendeleo ya familia na kazi zako hutaona hilo dosari.
 
Back
Top Bottom