Wanawake hawako kwenye mood ya sex wakati wowote Kama sisi. Tena Kama unataka umfaidi anza kumpalilia kuanzia ukiwa kazini na vimeseji vitamtam, halafu unarudi na kijizawadi, sifia nguo aliyovaa, sifia chakula sana, ongelea mipango chanya na usiwe umekunywa pombe. Hapo utaipewa yote na nusu.
Lkn ukija na mipombe yako, chakula chake hujala, aisee ingia bafuni na mafuta mgando.