Kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi

Kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi

Mi mgeni nilitafuta mwanaume wakutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.

Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani ,mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .

Aslam alyekum
Alamsik
Dia unatafuta humu. Pole in advance
 
Mi mgeni nilitafuta mwanaume wakutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.

Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani ,mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .

Aslam alyekum
Alamsik
karibu pm
 
So niwe katoto kazuri, niwe unique flower na sass swetycandy so all profiles are me sasa wewe unanitafuta nikuchambe nikikuchamba naona sina muda nikome kama ulivyokoma kule leba na uniheshimu kama mume aliyekufanya uitwe mama na ulivyokuwa leba unapiga mayowe kana chizi vile je ungekuwa mapacha je
 
Mi mgeni nilitafuta mwanaume wa kutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.

Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani, mwanamke mwenye heshima na upendo.

Humu sitafuti stress .

Aslam alyekum
Alamsik
Kwa hiyo mahari shilingi ngapi?
 


Lete Maneno....

By JK Wa Msoga Chalinze Tanzania

Huwezi Kula, Bila Kuliwa Kidogo

Watu Wanasema JK Hachomoi
Kwani Miye Nilichomeka Wapi Mpaka Nishindwe Kuchomoa



Mlisema Miye Mpole Dawa Kuleta Mkali
Nawaletea Chuma Hicho, Na SasA Kimeanza Kutema Che~Che
 

Lete Maneno....

By JK Wa Msoga Chalinze Tanzania

Huwezi Kula, Bila Kuliwa Kidogo

Watu Wanasema JK Hachomoi
Kwani Miye Nilichomeka Wapi Mpaka Nishindwe Kuchomoa



Mlisema Miye Mpole Dawa Kuleta Mkali
Nawaletea Chuma Hicho, Na SasA Kimeanza Kutema Che~Che
Hizo “Miye” ni ukwere/uzaramo mwingi
 
Back
Top Bottom