Dia unatafuta humu. Pole in advanceMi mgeni nilitafuta mwanaume wakutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani ,mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
karibu pmMi mgeni nilitafuta mwanaume wakutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani ,mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
So niwe katoto kazuri, niwe unique flower na sass swetycandy so all profiles are me sasa wewe unanitafuta nikuchambe nikikuchamba naona sina muda nikome kama ulivyokoma kule leba na uniheshimu kama mume aliyekufanya uitwe mama na ulivyokuwa leba unapiga mayowe kana chizi vile je ungekuwa mapacha jeUmekuja ki Unique Flower π€
Oo wow!So niwe katoto kazuri, niwe unique flower na sass swetycandy so all profiles are me sasa wewe unanitafuta nikuchambe nikikuchamba naona sina muda nikome kama ulivyokoma kule leba na uniheshimu kama mume aliyekufanya uitwe mama na ulivyokuwa leba unapiga mayowe kana chizi vile je ungekuwa mapacha je
Kwa hiyo mahari shilingi ngapi?Mi mgeni nilitafuta mwanaume wa kutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani, mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
Mkuu, hivi mtu ukiwa na tangazi lako, unataka liwe sponsored humu jamiiforums unafuata hatua zipi?Lipia tangazo
Umeanza patikana mida ya wangaKisa?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jamani siishi nae π khaaaUmeanza patikana mida ya wanga
Tuanzie hapo..hebu atujibu..tafadhali...[emoji3][emoji3]Waaaleikh msilaaam binti mwenye stara zake.
Khaifa?
Mume umepata?
Ah sasa wikend sii ndio unatakiwa kuvamia kwake ili uhakikishe kuwa utamu wako warembo hawakamatii. Oh wee mbona unakuwa sio mjanjaJamani siishi nae π khaaa
Mkuun usije piga avtar nyeto Ni hatar hyo unayoMkuu goroko77 una nia gan lakin kutugeuzia mattercall? SijakuelewaView attachment 2380251
Tacall km tacall
Hizo βMiyeβ ni ukwere/uzaramo mwingi
Lete Maneno....
By JK Wa Msoga Chalinze Tanzania
Huwezi Kula, Bila Kuliwa Kidogo
Watu Wanasema JK Hachomoi
Kwani Miye Nilichomeka Wapi Mpaka Nishindwe Kuchomoa
Mlisema Miye Mpole Dawa Kuleta Mkali
Nawaletea Chuma Hicho, Na SasA Kimeanza Kutema Che~Che