Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
Weka picha ya kibwengo basi upunguze usumbufu.Mi mgeni nilitafuta mwanaume wa kutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani, mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
Mimi natafuta mpenzi wakudumu awe serious kama yupo mbali awe anaweza kusafiri nakuja nilipo siwezi taja naishi mkoa gani hapa jukwaani.Waaaleikh msilaaam binti mwenye stara zake.
Khaifa?
Mume umepata?
Eeeeh 😳😳😬Mkuun usije piga avtar nyeto Ni hatar hyo unayo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hellow mamito uko api??? Umeng'ara mtyotyo hiyo mipaja khatareeeeeMi mgeni nilitafuta mwanaume wa kutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani, mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
Njoo taratibu my wangu bado ujakutana na manguli, na majinamizi ya HUMU ndani mbona utajaa nusu sekundeMi mgeni nilitafuta mwanaume wa kutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani, mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
Fety hapa umefunua ukweli wakoMi mgeni nilitafuta mwanaume wa kutulia naye. Sasa shida iko hivi kabla sijaweka picha kwenye avatar walitokea wachache ila nimeweka picha wametokeza wengi sana.
Mimi sio huyo kwenye picha mie nitofauti na huyo dada mie nina stara fulani, mwanamke mwenye heshima na upendo.
Humu sitafuti stress .
Aslam alyekum
Alamsik
🙆Muwowane huko huko mkoaniMimi natafuta mpenzi wakudumu awe serious kama yupo mbali awe anaweza kusafiri nakuja nilipo siwezi taja naishi mkoa gani hapa jukwaani.
Mwanamke mwenye heshima ni yule mwenye tako tuu