Kabla sijazaliwa Tanzania nilikuwa mzungu niliyeishi Marekani

Kabla sijazaliwa Tanzania nilikuwa mzungu niliyeishi Marekani

Patamu hapooo...kama ulikuwa :
1.Mwanaume ukifa unazaliw Mwanamke.
2.Hufikishi wanawake kileleni,ukifa unazaliwa mwanamke na wewe hufikishwi kileleni.
3.Kama ulikuwa shababi wa kugegeda madem kibao ,ukifa unazaliwa mwanamke na unagegedwa kwa fujo na mabwana wengi.
4.Kama ulikuwa unapenda kuomba 0713 wakat wa mgegedo,ukifa unazaliwa mwanamke na wewe utaombwa 0713.
5.Ulikuwa hupendi kuhonga,ukifa utazaliwa mwanamke na huhongwi na mgegedo utatoa.
Duh wanaume tubadilike kama ni kweli kuna kuzaliwa twice basi tutakufa na presha kulipia tabia zetu..teh
Pumba+pumba
 
Weeeee apiaa....duuuh usirembe mkuu huyo mama akikupigia mwambie tuu "am still alive" afu kama vipi rudi tuu ughaibuni,...ila sasa tatizo colour au unywe maji ya ray kigosi ili upokelewe tena home.....hahaha cjui hii nayo kengewa auu..
 
Dogo umeamua kutufanyia sinema sio?umechukua kisa cha india na kukifanyia mapichax2...
 
NOTE Kama unavuta bangi acha na uvute shuka maana ndo inakuaribu kichwa
NOTE kama unakunywa soda acha maana ndo inakutoboa meno.
Halafu ukiwa unaota usisahau kupiga selfie na hai ndg zako halafu utupostie.....
 
Ndiyo tatizo la kuvuta bangi iliyochanganywa na ugoro na kunywa dumu zima la gongo ya Malawi, jamaa mpaka unajiona unajua Kiingereza bila hata kujifunza!
 
NOTE Kama unavuta bangi acha na uvute shuka maana ndo inakuaribu kichwa
NOTE kama unakunywa soda acha maana ndo inakutoboa meno.
Halafu ukiwa unaota usisahau kupiga selfie na hai ndg zako halafu utupostie.....
Post za humu ndani fuluuu vicheko[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Habari za sikukuuu wapendwa,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 nimezaliwa ktk familia ya kawaida tu hapa tz tangu nipo ktk umri mdogo nimekuwa nikiota na kukumbuka mambo mengi ambayo kiuhalisia sijawahi kuyafanya tangu nimezaliwa.

Nimekuwa nikiota mara kwa mara ndoto nipo ktk mazingira tofauti ya ughaibuni na umbo pia na rangi tofauti na mimi yaani white person ikafikia kipindi usiku ninaota ndoto fulani hivi niko na familia yangu ambyo ni watu wenye asili ya kizungu pamoja tupo tunaongea kwa lugha ya kizungu hiki kitu kimenisumbua sana toka nilipoanza kujitambua kwani ni watu wale wale ninawaotaa kila mara nimeombewa sana lakini wapi imefikia kipindi mpaka nikajua kiingereza japo mimi sikusoma kiivo lakini kizungu naongea vizuri.

Sasa katika kupitia zile ndoto ambazo naota na kwakuwa majina ya wale kupitia zile ndoto ninawajua nikaanza kuwatafuta katika mitandao ya kijamii nikiambatanisha na sehemu niliyokuwa naisikia mara kwa mara ndipo nilipopata confirmation ya hiyo familia na historia yao kiufupi kuwa the day mtoto wao pekee alipofariki ndio day mimi nilizaliwa.

Yaani the same year day mpaka saa nilishangaa sana nilipoona picha ya yule jamaa yaani tunafanana kabisa tofauti rangi, ningependa niwaoneshe picha but kutokana na hii JF ilivo sitoweza .

Yaani wale watu niliokuwa nawaota ndo wale wale niliowaona facebook yale mazingira kiufupi nahisi nilikuwa mwanzo naishi huko, nikaamua kutafuta mawasiliano nao nikapata, nikapiga simu niongee nao nilipopiga akapokea mama fulani iv alipopokea akaniita jina ambalo ninasikiaga ndotoni huku akilia akisema my son you still alive? yaani mpaka sasa sijielewi hii no inanitafuta kila mara sasa sijui nifanye nini.

Ushauri wenu plzzzz

Jichange nenda kaonane nao muongee zaidi.au wape vipande vya ukweli wakiviamini hata kuja wanaweza.ukikutana nao tu hizo ndoto zitaisha
 
Huyu hapa ndugu yake
0c29ba1ea223596beb154ab7d7557127.jpg
 
Kila siku nasema humu kuwa bange ni mbaya sana.Mimi sijawahi kuota kuhusu nje huko kama wee,hivyo mimi ndio first ku exist hivyo hakuna mtu aliyeishi kabla yangu na kwa kusema hivyo najithibitisha kabisa kuwa mimi huwa hapa bongo ni makusudi kabisa.
 
Hahahhah ili tuanze kukupa ushauri naomba ututhibitishie kwa picha ukiwa mzungu na sa hv ulivyo...pili kama kweli unajua kingereza bila kusoma hebu geuza uzi wako kwa kingereza,,,,nawasalisha hoja
[emoji133] [emoji133] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126]
 
Back
Top Bottom