Kabla ya 'Bwege Nation' nanyi kuwapeleka Wenu Congo DR, waulizeni wa Kenya kinawakuta nini huko sasa kwa M23

Kabla ya 'Bwege Nation' nanyi kuwapeleka Wenu Congo DR, waulizeni wa Kenya kinawakuta nini huko sasa kwa M23

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wanajeshi wa Kenya waliosakiziwa na Rais wao Mgeni Madarakani kuwa waende Kuungana na Jeshi Bovu na Goi Goi la Congo DR ili Wapambane na Waasi wenye Akili Kubwa za Kitutsi wa M23 sasa Wanajuta kwanini walikurupuka kwenda huko kutokana na Kipigo Kitakatifu wanachokipata.

Nichukue Fursa hii Kuwapongeza sana 'Mabwege Nation' kwa Kutokurupuka kupeleka Askari Wao kama Walivyokurupuka wa Kenya kwani kwa jinsi ninavyowajua Walivyo dhaifu kwa Siku za Karibuni kama wakipelekwa huko 400 watakaorejea 'Bwege Nation' watakuwa ni Wawili au Watatu na hata hawa pia kutokana na Majeraha watakayokuwa nayo wanaweza Kuondokea mazima ICU Kwao.

Hakuna wa Kumuweza Mtutsi EAC!!!
 
Unamaana ndio yule mfalme juha mwenyewe
Ninachofurahi tu ni kwamba Unanichukia na hunikubali kwa lolote ila 24/7 uingiapo ( Log In ) tu hapa Jamiiforums ni lazima Usome Threads au Posts zangu na hata Kuzichangia na Kuzilaiki ( Like ) vile vile Kudadadeki.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Wanajeshi wa Kenya waliosakiziwa na Rais wao Mgeni Madarakani kuwa waende Kuungana na Jeshi Bovu na Goi Goi la Congo DR ili Wapambane na Waasi wenye Akili Kubwa za Kitutsi wa M23 sasa Wanajuta kwanini walikurupuka kwenda huko kutokana na Kipigo Kitakatifu wanachokipata...
Wewe subiri Bahima wenzako waendelee kula kichapo,mpaka wamtaje aliyewatuma.Tumeshawadagasaga na alshababu Sasa ni ndugu zako M Vingt-trois
 
Anaokoteza vihabari anajifanya ana taarifa hebu muulize hata ataje signal contacts za M23 au za EACRF ili tujue kweli ana taarifa za nini kinaendelea battlefield, hana hoja mpeni nafasi kishavurugwa huyo
Tutemane nae
 
Hivi yule jenerali mwenye kamdomo kekundu na anatembea na fimbo wa M23 aliyekimbilia Rwanda ndio karudi kufufua mapambano au .? Nimemsahau Jina nadhani aliitwa Sultani Makenge enzi zile.

Ningeshauri UN utumie jeshi la Rwanda kuwasakafia hao wajomba
 
BilgAte, malantu na smarte_r hapa GENTAMYCINE natukanwa hivi mmenyamaza na wala hamlalamiki ila nikijibu tu Mapigo yangu Makali na Takatifu Kwako mtajitokeza huko Mafuchoni mliko Kunilaumu na hasa hasa kuniombea nipigwe BAN ambayo huwa mnaiombea Kwangu kuliko hata mnavyomuomba Mwenyezi Mungu kwa Dua Kila Asubuhi na Jioni ( Usiku )

Cc: Cookie and Paw
Wewe unadhani nani anaogopa mapigo yako makali.?
 
Ninachofurahi tu ni kwamba Unanichukia na hunikubali kwa lolote ila 24/7 uingiapo ( Log In ) tu hapa Jamiiforums ni lazima Usome Threads au Posts zangu na hata Kuzichangia na Kuzilaiki ( Like ) vile vile Kudadadeki.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Mbona hauandiki Kwa fonttype yako. Au Ile Huwa unaitumia ukiwa kwenye mudi ya kufunga vijana matukano.
 
Mbona hauandiki Kwa fonttype yako. Au Ile Huwa unaitumia ukiwa kwenye mudi ya kufunga vijana matukano.
Wewe ni nani wa Kunishauri au Kulazimisha nifanye utakavyo? Mamlaka hayo kakupa nani dhidi yangu?
 
We fala unaonesha hujui historia vizur! Hao M23 hujui walichofanywa na JWTZ enzi za JK?? wapuuzi kama nyie ndo mnalala kwenye nyumba za dada zenu huku mkiwa mna ndevu! Huyo kagame hujui alichofanywa na JK had akaanza kulalamika kwamba hatuna ugomvi na watanzania!! Mbwa koko tu wewe
Absolute Rubbish.
 
Hivi yule jenerali mwenye kamdomo kekundu na anatembea na fimbo wa M23 aliyekimbilia Rwanda ndio karudi kufufua mapambano au .? Nimemsahau Jina nadhani aliitwa Sultani Makenge enzi zile.

Ningeshauri UN utumie jeshi la Rwanda kuwasakafia hao wajomba
M23 ni ya rwanda chini ya kagame, na hata huyo anae iongoza sasa kateuliwa na kagame, sasa iweje UN ishirikiane na rwanda kuitafuta m23!!? Kagame kaitaka m23 irudishe miguu nyumbani huku akihitaji suluhu ya mezani baada ya raisi wa kongo kutaka vijana wajiunge na jeshi, vijana zaidi ya elfu2 wamesha sajiliwa na ndio walewale wahanga wa mauaji ya kimbari! Kagame [emoji100][emoji3530][emoji3517] yana gonga chupi huko
 
Wanajeshi wa Kenya waliosakiziwa na Rais wao Mgeni Madarakani kuwa waende Kuungana na Jeshi Bovu na Goi Goi la Congo DR ili Wapambane na Waasi wenye Akili Kubwa za Kitutsi wa M23 sasa Wanajuta kwanini walikurupuka kwenda huko kutokana na Kipigo Kitakatifu wanachokipata.

Nichukue Fursa hii Kuwapongeza sana 'Mabwege Nation' kwa Kutokurupuka kupeleka Askari Wao kama Walivyokurupuka wa Kenya kwani kwa jinsi ninavyowajua Walivyo dhaifu kwa Siku za Karibuni kama wakipelekwa huko 400 watakaorejea 'Bwege Nation' watakuwa ni Wawili au Watatu na hata hawa pia kutokana na Majeraha watakayokuwa nayo wanaweza Kuondokea mazima ICU Kwao.

Hakuna wa Kumuweza Mtutsi EAC!!!
Pimbi wahead, Bhangi zimekuvuruga mpaka matakoni, unajamba moshi kenge wee!
 
Wanajeshi wa Kenya waliosakiziwa na Rais wao Mgeni Madarakani kuwa waende Kuungana na Jeshi Bovu na Goi Goi la Congo DR ili Wapambane na Waasi wenye Akili Kubwa za Kitutsi wa M23 sasa Wanajuta kwanini walikurupuka kwenda huko kutokana na Kipigo Kitakatifu wanachokipata.

Nichukue Fursa hii Kuwapongeza sana 'Mabwege Nation' kwa Kutokurupuka kupeleka Askari Wao kama Walivyokurupuka wa Kenya kwani kwa jinsi ninavyowajua Walivyo dhaifu kwa Siku za Karibuni kama wakipelekwa huko 400 watakaorejea 'Bwege Nation' watakuwa ni Wawili au Watatu na hata hawa pia kutokana na Majeraha watakayokuwa nayo wanaweza Kuondokea mazima ICU Kwao.

Hakuna wa Kumuweza Mtutsi EAC!!!
Bleeding Mental health,dishi lako lilishayumba Ni wa kukupuuza tuu
 
M23 ni ya rwanda chini ya kagame, na hata huyo anae iongoza sasa kateuliwa na kagame, sasa iweje UN ishirikiane na rwanda kuitafuta m23!!? Kagame kaitaka m23 irudishe miguu nyumbani huku akihitaji suluhu ya mezani baada ya raisi wa kongo kutaka vijana wajiunge na jeshi, vijana zaidi ya elfu2 wamesha sajiliwa na ndio walewale wahanga wa mauaji ya kimbari! Kagame [emoji100][emoji3530][emoji3517] yana gonga chupi huko
Hao vijana wakata mauno wataweza
Wanafikiri vita ni kucheza ndombolo
Vita ni strategy mzee....
Watu,vijana wa kikongo vita hawaiwezi maana akili zao zimejaa starehe na kukata mauno
Na sahv kn nchi mmj inaelekea kuwa kama kongo maana kutwa watu ni mziki na kukata mauno ya b...fleva

Ova
 
Waasi wenye Akili Kubwa za Kitutsi wa M23
Mpaka hapo umekubari kwamba mdhamini wao ni Kagame, Felixè Tsekedi karuhusu vijana 2000 wajiunge na jeshi, na vijana hao sio wengine bali ni vijana wa Kihutu wanaoishi Congo, M23 ni Watutsi chini ya ufadhiri wa Kagame, kwa hio hapo ni vita baina ya Wahutu na Watutsi nchini Congo
 
Hakuna wa Kumuweza Mtutsi EAC!!!
Ni sawa na kusema hakuna wa kumuweza Kagame EAC, ushaeleweka mkuu hio code tumeshaifungua ni code rahisi sana

Hivi ni nani yupo tayari kuona ndugu zake wanakufa ingali yeye yupo hai bila kuwasaidia au kuingilia kati? Behind all this M23 thing Kagame (Mtutsi) ni mhusika mkuu, atapinga ila hilo lipo wazi bila kupepesa macho, Congo vita ya waasi M23 ni baina ya Wahutu na Watutsi, vita ya Wahutu na Watutsi haijaisha bado, na sasa imeamia Congo
 
Hao vijana wakata mauno wataweza
Wanafikiri vita ni kucheza ndombolo
Vita ni strategy mzee....
Watu,vijana wa kikongo vita hawaiwezi maana akili zao zimejaa starehe na kukata mauno
Na sahv kn nchi mmj inaelekea kuwa kama kongo maana kutwa watu ni mziki na kukata mauno ya b...fleva

Ova
Sio wa mashariki.......wakata mauno wa huko magharibi.......mashariki kila siku mikiki hakuna muda wa mauno
 
Back
Top Bottom