Huyu jamaa anaongeaga Ukweli , sa hv hata ikitokea Vita hii nchi watakaopigana ni wanajeshi wenyewe , 😁 wanazengo wanaweza kuwa betrayal wakubwa Sana ... Mana kuna gap kubwa na linazidi kuongezeka Kati ya wanaojiita watawala na wananchi , tuombee tuu amani Mungu aendelee kuishikilia .....
Hata uwe na jeshi kubwa lenye nguvu Kias gani bila support ya wananchi hamna kitu utafanya , Ukraine mpak hapo inasurvive sababu ya high civilian support ..
Ifike hatua watawala wajue thamani ya wananchi , na sio kuwasha umeme masaa 6 Kwa sku , ili ufanye biashara za mafuta, gesi na majenereta , hata hvyo kizazi cha mabumbumbu kinazd kupungua huku kizazi cha wakorofi kinazd kuchomoza , tutaelewana tuu badae kidog