figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mimi nnafurai kuona mwanaccm anapokemea uovu wa chama chakeMy take.
Muda si mrefu tutasikia Tanzania yashindwa kesi na DP world yatakiwa kulipa trillioni 15.
Njia mpya iliyobuniwa na wakubwa ndani ya serikali kuchota kodi za walala hoi, unasaini mkataba wa kijinga ambao ni kichaa tu anayeweza kuuvumilia alafu ukiulizwa unasema tumeshindwa kesi tulipeni tu.
hivi siu ukute alitumwa huyu aiseeMjadala wa Bandari ulikuwa unaenda vizuri sana Slaa kauharibu
Kwa Nchi hii inawezekana huyu Babu kawaingiza wenzake kwenye Uhaini ili wanyongwe halafu yeye ajifanye amesamehewa.hivi siu ukute alitumwa huyu aisee
Umeona na wewe Hali mbayaHili zimwi la Dp world ni la Dubai, lirudi Dubai.
Bora amani kuliko hela za Mwarabu.
Viongozi wasitumie vyeo vyao kufanikisha watakayo, kwa manufaa yao na familia yao na ndugu zao.
Hili la Dubai ni mradi wa watu?
Je, Tulio wakabidhi nchi wametusaliti?
View attachment 2719155
Amani na utulivu ni muhimu kiliko chochote utakachotuketea. Mtu anapenda fedha hadi anatamani kutoa uhai wa watu. Siku zote Tanganyika sio Wakorofi. Wazazi msiwachokoze watoto wenu wasije wakatenda mabaya. Kitu chema hakileti ugmvi bali upendo na furaha. Ugomvi unatoka wapi?
Tunataka wewe na nani?Tunakata huu mkataba wa bandari ufutwe mara moja na,wote wanaoshikiliwa na polisi waachiwe, huwezi kuuza bandari yetu watanganyika kama unauza uji kibarazani kwako
Umeanza kufuatilia siasa za nchi hii lini? Au una miaka mingapi?CCM wameamua kufanya political suicide.
Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyeweHili zimwi la Dp world ni la Dubai, lirudi Dubai.
Bora amani kuliko hela za Mwarabu.
Viongozi wasitumie vyeo vyao kufanikisha watakayo, kwa manufaa yao na familia yao na ndugu zao.
Hili la Dubai ni mradi wa watu?
Je, Tulio wakabidhi nchi wametusaliti?
View attachment 2719155
Amani na utulivu ni muhimu kiliko chochote utakachotuketea. Mtu anapenda fedha hadi anatamani kutoa uhai wa watu. Siku zote Tanganyika sio Wakorofi. Wazazi msiwachokoze watoto wenu wasije wakatenda mabaya. Kitu chema hakileti ugmvi bali upendo na furaha. Ugomvi unatoka wapi?
Kaharibu nini?Mjadala wa Bandari ulikuwa unaenda vizuri sana Slaa kauharibu
Kaja kupendekeza tuipindue Serikali yetu wakati tulikuwa tunajadili vizuri sanaKaharibu nini?
Nyimbo zuri sana....Amani kwanza.kwanini huyu mwana kwaya amesema yale makontena ya kanisa sasa kutozwa kodi mwanzo hilo halikuwepo.
Kongo, Tzania na Rwanda hawawezi kumtumia Emirates. Sisi ndio tunatumiwa. Mwafrika hajawahi kuwa na upeo, kujitambua, na uthubutu wa kumtumia mwarabu au mtu mwingine yeyote wa dunia hii.zimwi la unyarwanda siyo Mwarabu, mwarabu anatumika tu lkn Emirate hana interest yoyote na Tanzania, ishu ni Kongo drc, wanataka bandari ya kupitishia mali na damu ya Kongo ā¦
Punguza mihemko, maswali ukiulizwa kumhusu Dr. Slaa unashindwa kujibu, weqe utakuwa na ajenda yako ya siri, nenda kwa wale wana kikundi wenzio.Mjadala wa Bandari ulikuwa unaenda vizuri sana Slaa kauharibu